Mpaluka Mdude Nyagali abadilishiwa mashtaka ya Uhujumu uchumi, asomewa ya Kusafirisha Dawa za Kulevya

Yule bwana pale Igunga hakujibiwa kwa kejeli,aliaambiwa kafanye kazi.
Watanzania hawashurutishwi kumkubali JPM bali wanamkubali kutokana na upigaji kazi wake.
Hao wanaotukana wanashughulikiwa kwa mujibu wa sheria.

Kilichosemwa wote tulikisikia, ila kwakuwa uko kwa ajili ya kutetea uovu, unataka kucheza na maneno. Huyo bwana aliyehoji alisema ana tatizo la kazi au kuna tatizo la mzunguko wa pesa? Au unadhani alichouliza yule jamaa na alichojibiwa ww tu ndio uliweza kusikia na kuelewa?
 
Kilichosemwa wote tulikisikia, ila kwakuwa uko kwa ajili ya kutetea uovu, unataka kucheza na maneno. Huyo bwana aliyehoji alisema ana tatizo la kazi au kuna tatizo la mzunguko wa pesa? Au unadhani alichouliza yule jamaa na alichojibiwa ww tu ndio uliweza kusikia na kuelewa?
Kwani alijibiwa nini? Maana unataka kupotosha.
 
Yule bwana pale Igunga hakujibiwa kwa kejeli,aliaambiwa kafanye kazi.
Watanzania hawashurutishwi kumkubali JPM bali wanamkubali kutokana na upigaji kazi wake.
Hao wanaotukana wanashughulikiwa kwa mujibu wa sheria.

Tuna ufahamu wa kuweza kujua kukubalika, na kulazimisha kukubalika. Unapoaminisha watu kuwa unakubalika, lakini chini yako kwenye chaguzi tunaona mambo ya kihayawani na ukatili wa wazi, hapo inabidi uwe mwandawazimu kuamini kuwa kuna kukubalika zaidi ya kushurutisha kukubalika.
 
Tuna ufahamu wa kuweza kujua kukubalika, na kulazimisha kukubalika. Unapoaminisha watu kuwa unakubalika, lakini chini yako kwenye chaguzi tunaona mambo ya kihayawani na ukatili wa wazi, hapo inabidi uwe mwandawazimu kuamini kuwa kuna kukubalika zaidi ya kushurutisha kukubalika.
Mh...
 
"Nimefurahi kuwaona hapa leo mimi nipo imara kwani sina kesi ya kufumaniwa wala sijaiba kuku ila ninalipa Gharama ya kupigania Demokrasia"

Maneno ya Mdude leo Mahakamani.

Hakika ni meno machache ila yanatafakalish sana na kutia simanzi.
IMG_20200527_161312.jpeg
 
Kumbe wala hukusikia alichojibiwa, lakini unahisi alijibiwa kwa usahihi!
Sikiliza kwa umakini ndio ujue umuhimu wa kutumia lugha nzuri. Na hakujibiwa vibaya.
 

Attachments

  • DUH-JAMAA-AJITOSA-KUMDAI-HELA-MAGUFULI-ACHIA-FEDHA-MAISHA-MAGUMU_-XI5nvs5iG4.mp3
    4 MB · Views: 1
"Nimefurahi kuwaona hapa leo mimi nipo imara kwani sina kesi ya kufumaniwa wala sijaiba kuku ila ninalipa Gharama ya kupigania Demokrasia"

Maneno ya Mdude leo Mahakamani.

Hakika ni meno machache ila yanatafakalish sana na kutia simanzi. View attachment 1460791
siyo maneno ya simanzi mkuu.
ni maneno yaliyojaa ujasiri mkubwa na kuleta hamasa ya mapambano kwa umma dhidi ya wakoloni weusi!
 
Na kuna wapuuzi wanamdanganya eti anapigania demokrasia

Hii Nchi ipo salama Kwasababu kuna watu hawalali kuna watu iliwagharimu maisha yao

Anapokuja mpuuzi mmoja km huyo kwa kisingizio cha demokrasia adhabu ndogo ni jela
Demokrasia gani anayoipigania huyu? anavuna alichokipanda
 
Back
Top Bottom