Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,316
- 8,013
Afungwe tu maana huyu jamaa sio aisee
Saguda47 the witchInawezekana wafuasi wa Chadema huwa hawakosei, wanatii Sheria zote za nchi na Ni wacha Mungu wote.
Mbunge wa Kishapu Suleiman Nchambi alipokamatwa kwa tuhuma za ujangili mlishangilia mkaanza kusema CCM wote majizi na majangili, huyo mdude yeye hakosei?
Siku zote akitiwa mbaroni mwanachadema mnaanza kusema anabambikizwa kesi au makosa, mwana CCM akikamatwa mnaunga mkono.
Tusiwe watetezi wa kusafisha tuhuma bila ushahidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
ALikuwa anasafirisha kutoka wapi na kwenda wapi? shame on you
Huyu jamaa angetawala kipindi cha giza (1985-1995) bila mitandao watu wangekoma haswa, kama haya anafanya sebuleni gizani ingekuwaje?Hawa watu wameishiwa mipango ila ni vema dunia iwajue sasa maana siyo siri tena
Nilipopata taarifa za huyu bwana kuwa mpiga deki kwenye choo cha stand nilianza kuielewa CHADEMA na wanachama wake.
kungekuwa na uhuru wa mahakama hiyo kesi wangeifukuza,hairuhusiwi kubadilisha mashitaka wakati kesi imeshafunguliwa,kama ni makosa ya mashitaka walitakiwa kuyaona hukohuko kabla ya kufungua kesi,!!
Siku akiunga mkono juhudi yote haya yatakwisha! Sijui kwa nini? Kesi ya Wema Sepenga iliishia wapi?
Don corleone Sicilian mafia kama wewe tena God Father hujui hapo wapi kuna afadhali? Umeniangusha bob ... wamedrop hizo za uhujumu probably kwasababu hawana ushahidi ... kesi ya madawa ni hatari ukitoa ya kuvuta ( kutumia ) hii ni mil chini ya mil 1 au miak 3 ... wamesema amesafirisha maana yake ni biashara hii maisha mkuu ... sema kitakacho msaidia ni kiasi alichokutwa nacho nahisi ni kidogo sana kwa biashara ( mi sio mwanasheria uhuni tu)LIPI HAPO LINA ANGALAU KATI YA LILE LA AWALI NA HILI
Marehemu Akwilina Akwilini alipanda nini mpaka akavuna kuuawa na wale wendawazimu? Unaweza ukaona uko salama sana lakini madhara ya udhalimu wa kichaa mmoja yakakuathiri bila kupenda.Mwana kulitafuta mwana kulipata anavuna alichopanda
Mmoja alionekana na shehena ya silaha kama ghala la kutunzia silaha la jeshi wakati wa pili hatujaona hiyo sembe akisafirisha kwa baiskel, bagadu, mkokoteni, mdomoni, ndani ya tumbo au kwenye soli ya viatu kama tulivyozoea kuwaona wanaokamatwa na hiyo sembe.Inawezekana wafuasi wa Chadema huwa hawakosei, wanatii Sheria zote za nchi na Ni wacha Mungu wote.
Mbunge wa Kishapu Suleiman Nchambi alipokamatwa kwa tuhuma za ujangili mlishangilia mkaanza kusema CCM wote majizi na majangili, huyo mdude yeye hakosei?
Siku zote akitiwa mbaroni mwanachadema mnaanza kusema anabambikizwa kesi au makosa, mwana CCM akikamatwa mnaunga mkono.
Tusiwe watetezi wa kusafisha tuhuma bila ushahidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa angetawala kipindi cha giza (1985-1995) bila mitandao watu wangekoma haswa, kama haya anafanya sebuleni gizani ingekuwaje?
Jibaba hakuna sehemu niliyosema naidharau kazi ya kupigandeki choo cha stand wala hakuna sehemu yeyote nimesema huyu bwana Hana haki ya kuishi.Mshamba na limbukeni anatambuliwa kwa maneno yake.
Unataka kutwambia kuwa msafisha choo hana sifa ya kuishi?
Leo hii kuna wahitimu kibao wa vyuo hawana kazi unadhani wataishi vipi wakaibe?
Kakulia kipindi cha giza mpk sasa ana amini watu bado wapo gizaniAnasahau kuwa technology haidanganyi
Mujumu uchumi Nchambi yuko nje kwa dhamana , mhujumu uchumi kisena yuko ndani !
Kakulia kipindi cha giza mpk sasa ana amini watu bado wapo gizani
Hawakosagi maji mkononi.Upande wa mashtaka umemuondolea kada wa CHADEMA, Mdude Nyagali shtaka la uhujumu uchumi lililokuwa likimkabili na kumfungulia shtaka la jinai la kusafirisha dawa za kulevya.
Hii ndiyo taarifa mpya kutoka mahakamani huko Mbeya .
Sasa amebambikwa mashitaka mapya ya usafirishaji wa madawa ya kulevya .
Tuendelee kumuombea .
Pi soma
Mbeya: Mpaluka Nyagali Mdude akamatwa na Heroine, apandishwa kizimbani akikabiliwa na mashtaka ya Uhujumu Uchumi - JamiiForums
1). Dar, Kinondoni: Yaliyojiri Mkutano wa CHADEMA na Wanahabari, Mdude Nyagali awadai Polisi fidia ya Mil 500 - JamiiForums
2). Mdude Nyagali: Mnanunua ndege kwa pesa taslimu halafu mnaenda kukopa dawa za binadam Bohari Kuu. Tukiwambia mnavuta bangi bila malengo mnalalamika - JamiiForums
3). Mdude Nyagali kufungua kesi mahakamani kwa hati ya dharura kuhusu pesa za wahanga tetemeko Kagera - JamiiForums
4). John Mnyika: Watu wenye silaha wamemchukua Mwanachama wa CHADEMA, Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA) - JamiiForums
5). Mbeya: Mdude Nyagali apatikana akiwa hai baada ya kupotea kwa siku 4 - JamiiForums
6). Mdude Nyagali na lugha yake ya kiukosoaji katika mitandao ya kijamii - JamiiForums