Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Hii inathibitisha kuwa hakuna aliyejuu ya sheria hapa Tanzania.Huyo mwanaccm aliyekamatwa alikuwa mkosoaji wa mungu wa nchini?
Hii inathibitisha kuwa hakuna aliyejuu ya sheria hapa Tanzania.Huyo mwanaccm aliyekamatwa alikuwa mkosoaji wa mungu wa nchini?
Nani athibitishe??? anayetuhumu ndio mwenye dhamana ya kuthibitisha tuhuma sio mshtakiwa.Tumuombee kwa kipi sasa, anatakiwa athibitishe mahakamani.
Kwani sisi ndio tulimtuma kumiliki heroine au kutukana viongozi.
Kwanza wewe mzushi unaandika kabambikiwa. Umejuaje? Acha mahakama iamue
Atakayetoa vifaa vya korona abambikwe kesi ya hujumu uchumi alisikika akisemaWanatenda sana, ila kuna kutenda makosa na kubambikiwa makosa ila kushikishwa adabu.
Hii inathibitisha kuwa hakuna aliyejuu ya sheria hapa Tanzania.
Wewe mbona hujakamatwa? Au unadhani wanakamata watu hovyo tu?Hayo ni maandishi tu kwenye lile gazeti la udaku liitwalo katiba. Hakuna mwenye mamlaka anafuata hilo.
Wewe mbona hujakamatwa? Au unadhani wanakamata watu hovyo tu?
Kwa hiyo unakiri kuwa una makosa huwa unafanya ila hiyo fake Id ndio inakubeba?Situmii verified iD
Umeona kesi ya kutukana kiongozi hapo?Tumuombee kwa kipi sasa, anatakiwa athibitishe mahakamani.
Kwani sisi ndio tulimtuma kumiliki heroine au kutukana viongozi.
Kwanza wewe mzushi unaandika kabambikiwa. Umejuaje? Acha mahakama iamue
Kwa hiyo unakiri kuwa una makosa huwa unafanya ila hiyo fake Id ndio inakubeba?
tindo umesema hujakamatwa sababu huna verified account. Nini maana yake.Acha kunilisha maneno ya kipuuzi, wapi nimekiri kuwa huwa ninafanya makosa. Mimi ni mkosoaji na tatizo ni ukosoaji.
Kawaida tu hiyoooMwana kulitafuta mwana kulipata anavuna alichopanda
Serikali haijazuia watu kukosoa. Ndio maana kuna mtu pale Igunga alimwambia JPM kwa lugha nzuri hali ni ngumu aruhusu mzunguko wa pesa. Ila ukitukana matusi hilo ni kosa.Umesema kama wanakamatwa hovyo mbona mimi sijakamatwa, jibu langu likawa ni kutumia fake I'd kwakuwa tatizo ni ukosoaji.
hao ndio dola tufanyeje wanaweza kubadilisha mashitaka kadiri wanavyotaka kulingana na malengo yaoUpande wa mashtaka umemuondolea kada wa CHADEMA, Mdude Nyagali shtaka la uhujumu uchumi lililokuwa likimkabili na kumfungulia shtaka la jinai la kusafirisha dawa za kulevya.
Hii ndiyo taarifa mpya kutoka mahakamani huko Mbeya .
Sasa amebambikwa mashitaka mapya ya usafirishaji wa madawa ya kulevya .
Tuendelee kumuombea .
Pi soma
Mbeya: Mpaluka Nyagali Mdude akamatwa na Heroine, apandishwa kizimbani akikabiliwa na mashtaka ya Uhujumu Uchumi - JamiiForums
1). Dar, Kinondoni: Yaliyojiri Mkutano wa CHADEMA na Wanahabari, Mdude Nyagali awadai Polisi fidia ya Mil 500 - JamiiForums
2). Mdude Nyagali: Mnanunua ndege kwa pesa taslimu halafu mnaenda kukopa dawa za binadam Bohari Kuu. Tukiwambia mnavuta bangi bila malengo mnalalamika - JamiiForums
3). Mdude Nyagali kufungua kesi mahakamani kwa hati ya dharura kuhusu pesa za wahanga tetemeko Kagera - JamiiForums
4). John Mnyika: Watu wenye silaha wamemchukua Mwanachama wa CHADEMA, Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA) - JamiiForums
5). Mbeya: Mdude Nyagali apatikana akiwa hai baada ya kupotea kwa siku 4 - JamiiForums
6). Mdude Nyagali na lugha yake ya kiukosoaji katika mitandao ya kijamii - JamiiForums
Serikali haijazuia watu kukosoa. Ndio maana kuna mtu pale Igunga alimwambia JPM kwa lugha nzuri hali ni ngumu aruhusu mzunguko wa pesa. Ila ukitukana matusi hilo ni kosa.
Yule bwana pale Igunga hakujibiwa kwa kejeli,aliaambiwa kafanye kazi.Serekali haijazuia kwa kutangaza, lakini inafanya hivyo kwa matendo, na wakosoaji wanakutana na balaa zote ikiwemo kubambikiwa kesi, kuharibiwa shughuli zao nk. Haya sio mambo ya kificho bali yako wazi. Huyo unayesema alikosoa kwa lugha nzuri, alipewa majibu ya kejeli na wote tulisikia. Sasa kinachofanyika wananchi wanashurutishwa kumkubali Magufuli na ccm yake, katika mazingira ya siasa za kushurutisha, unawezaje kukosoa ukabaki salama? Hivi unadhani hatuna akili ya kujua mambo haya?
Basi tufanye Nchambi amebambikiwaMbunge wa Kishapu Suleiman Nchambi alipokamatwa kwa tuhuma za ujangili mlishangilia mkaanza kusema CCM wote majizi na majangili, huyo mdude yeye hakosei?