G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,560
- 8,425
Good good
Sawa
Sawa
Huyo na Bia yetu ni taasisi moja ya kumsifu Jiwemkuu huyo kijana analipwa atakupotezea muda
Tanzania ni nchi ambayo ni heri ukaishi bila kujua unavyoishi maana utakuwa na raha zaidi kuliko ukijua unavyoishi. Kujua sana matokeo ndo kama hayo yanayomkuta bwana mdogoPole sana maana inawezekana ulienda shule kupata buruga tu
Nyie ni wahuni tuEndelea kuota maana ni haki yako
Wanazidi kumbadilishia mashtaka tu ili kumkomoa. Inasikitisha sana
Huyo na Bia yetu ni taasisi moja ya kumsifu Jiwe
Tanzania ni nchi ambayo ni heri ukaishi bila kujua unavyoishi maana utakuwa na raha zaidi kuliko ukijua unavyoishi. Kujua sana matokeo ndo kama hayo yanayomkuta bwana mdogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie ni wahuni tu
Serikali yoyote ambayo imeshindwa kuletea maendeleo wananchi wake kazi kubwa huwa ni kumpambana na raia wake wote wanajitambua ili wasije kuwaamsha mbumbumbu wengine.Serekali haijazuia kwa kutangaza, lakini inafanya hivyo kwa matendo, na wakosoaji wanakutana na balaa zote ikiwemo kubambikiwa kesi, kuharibiwa shughuli zao nk. Haya sio mambo ya kificho bali yako wazi. Huyo unayesema alikosoa kwa lugha nzuri, alipewa majibu ya kejeli na wote tulisikia. Sasa kinachofanyika wananchi wanashurutishwa kumkubali Magufuli na ccm yake, katika mazingira ya siasa za kushurutisha, unawezaje kukosoa ukabaki salama? Hivi unadhani hatuna akili ya kujua mambo haya?
Noted dubwasha
Siku akiunga mkono juhudi yote haya yatakwisha! Sijui kwa nini? Kesi ya Wema Sepenga iliishia wapi?Tumuombee kwa kipi sasa, anatakiwa athibitishe mahakamani.
Kwani sisi ndio tulimtuma kumiliki heroine au kutukana viongozi.
Kwanza wewe mzushi unaandika kabambikiwa. Umejuaje? Acha mahakama iamue
Bora yake inampa ufahamu....unayovuta ww imekufanyw uwe kibwengu zobaAkili za bangi hizo
Siku akijua anajipotezea muda wa kuanzisha famila atakua hana uwezo wa kujaza mimba mwanamke
Endeleeni kumjaza ujinga muda hausubiri wajinga km hao