Kwani wakati wa muungano mwaka 1964, pwani ilikuwa zanzibar?
Kusema kweli it may sound odd lkn kama mikoa inapimwa ni bora kigezo hichohicho kikatumika znz. Inawezekana kabisa muungano hautenganishiki hasa kutokana na swali hili. If that is the case basi tujipange Znz iwe mikoa ya nchi moja else huu muungano lzm ubaki kama ulivyo ila tujitahidi kumaliza kero za muungano.
nadhani Buguruni itakuwa sehemu ya jamhuri ya watu wa zanzibar!maana wale wapemba pale buguruni ukiwambia eti hiyo siyo zanzibar patakuwa hapatoshi!
Uko mbele ya Zanzibar kwenyewe.
Eneo lote la Zanzibar liko ndani ya mpaka upande wa Bara,
Wao eneo lao ni baada ya Zanzibar kule majini kuendelea mbele/mbali
Mzee mmoja ameniambia Zanzibar ipo ndani ya Tanganyika, Imepakana na Tanganika pande zoteUko mbele ya Zanzibar kwenyewe.
Eneo lote la Zanzibar liko ndani ya mpaka upande wa Bara,
Wao eneo lao ni baada ya Zanzibar kule majini kuendelea mbele/mbali
kwani wakati wa muungano mwaka 1964, pwani ilikuwa zanzibar?
mpaka uko katikati ya bahari ya hindi kwani vipi..
Baada ya nchi zote; Tanganyika na Zanzibar kuwa chini ya Uingereza hiyo mipaka haikuwepo tena na Zanzibar haikuwa huru tena ndio maana Sultan akirudi kutawala Zanzibar huenda akadai mipaka ya enzi za Germany EA na Sultan.Kwani wakati wa uhuru wa Tanganyika mwaka 1961, Pwani ilikuwa Zanzibar
Haya ramani hiyo, na tuvisiwa tupo ndani, Mpaka utakuwa wapi
View attachment 61572
Muungano Utadumu Maana Zanzibar ni Koloni letu na hatuko tayari kukabidhi Koloni Letu kwa Sultan
Hiyo avatar yako hilo jeshi ni tanganyika