Nani ameruhusu wanyama wa bara kupelekwa Zanzibar, lini maliasili na utalii imehamia Muungano?

USSR

JF-Expert Member
Jul 15, 2015
9,896
22,666
1. Baada ya kutajiwa ma-DC 23 wa kutoka Zanzibar wanaofanya kazi bara huku TAMISEMI ikiwa sio Wizara ya Muungano nikajua mama anazingua.

2. Baada ya kuoa Leo mkurugenzi wa bandari huku Tanganyika akijikosha mbele ya Rais Samia Saluhu kuwa watachukua pesa za barndari huku Tanganyika walizopata kwenye shugli zao wakajenge majengo ya shule na zahanati kule Zanzibar nikona wamevuka mipaka ila Kuna Hilo

KUNZISHWA KWA MBUGA MPYA YA KIZIMKAZI ENEO LA PAJE ILI WATALII WANAOTUA ZANZIBAR WAENDELEE KUBAKIA HUKOHUKO WASIJE BARA MAANA WANYAMA WATAKUWA HUKO.

MKuu wa mkoa wa Kusini Unguja amemshukuru Rais Samia Saluhu kwa kuongeza wanyama wengi kwenye MBUGA ya Paje ilikuwa msitu na sasa ina wanyama wakubwa kama Simba ,chui na faru na sasa wanataka tembo na kiboko Ili kukamilisha big five Ili watalii wabakie kule na kukuza utalii.

Nimejiuliza wakati wanyama wanapelekwa Chato (Tanganyika) watu walipiga kelele na sasa ni nje ya Tanganyika na wanyama hawa sio jambo la Muungano mbona kimya.

Baada ya miaka saba watalii wanaokuja Tanganyika hasa mikoa ya Kaskazini hawatalazimika kuja na watasalia ZANZIBAR.

USSR
 
Ni hii miaka saba ndio tutapita kwenye pito hili.
Mapito kama haya kwenye taifa ni muhimu sana ili kupatakujifunza.

Kuanguka na kuinuka kupo, safari hii kwa kiasi chake tumeanguka, nadhani wakati ujao tutakua tumejifunza uhalisia wa mwanamke kama kiongozi, na pia wenzetu upande wa pili namna yao ya kuongeza jinsi ililivyo. Sidhani kama tutarudia tena.
 
1. Baada ya kutajiwa ma-DC 23 wa kutoka Zanzibar wanaofanya kazi bara huku TAMISEMI ikiwa sio wizara ya Muungano nikajua mama anazingua .

2.Baada ya kuoa Leo mkurugenzi wa bar-ndari huku Tanganyika akijikosha mbele ya Rais Samia Saluhu kuwa watachukua pesa za bar-ndari huku Tanganyika walizopata kwenye shugli zao wakajenge majengo ya shule na zahanati kule Zanzibar nikona wamevuka mipaka ila Kuna Hilo

KUNZISHWA KWA MBUGA MPYA YA KIZIMKAZI ENEO LA PAJE ILI WATALII WANAOTUA ZANZIBAR WAENDELEE KUBAKIA HUKOHUKO WASIJE BARA MAANA WANYAMA WATAKUWA HUKO .

MKuu wa mkoa wa kusini unguja amemshukuru Rais Samia Saluhu Kwa kuongeza wanyama wengi kwenye MBUGA ya paje ilikuwa msitu na sasa Ina wanyama wakubwa kama Simba ,chui na faru na sasa wanataka tembo na kiboko Ili kukamilisha big five Ili watalii wabakie kule na kukuza utalii .

Nimejiuliza wakati wanyama wanapelekwa chato (Tanganyika) watu walipiga kelele na sasa ni nje ya Tanganyika na wanyama hawa sio jambo la Muungano mbona kimya .

Baada ya miaka saba watalii wanaokuja Tanganyika hasa mikoa ya kaskazini hawata lazimika kuja na watasalia ZANZIBAR.

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Ndoa ya Tanganyika na Zanzibar ina mengi sana ambayo yanashangaza

Hebu fikiria Rais wa Zanzibar alienda Dodoma kwa ajili ya kikao cha chama lkn kilichotokea ndani ya kikao Rais husika alitoka km raia wa kawaida na kuwekwa kifungo cha nyumban ndani ya Tanganyika bila kupata nafas ya kurud ktk eneo la mamlaka yake

JPM licha ya ubishi wake wote lkn swala la Zanzibar lilimshinda

Alitishia kuwakatia umeme km wasipolipa bili zao na wao wakamjibu akate tu wapo tayar kutumia koroboi lkn bili hawatalipa na kwel mpaka leo umeme haujakatwa

Kwa hiyo unapozungumzia swala la muungano kuna mambo mengi yapo nyuma ya pazia hayasemw na mamlaka husika
 
Ndoa ya Tanganyika na Zanzibar ina mengi sana ambayo yanashangaza


Hebu fikiria Rais wa Zanzibar alienda Dodoma kwa ajili ya kikao cha chama lkn kilichotokea ndani ya kikao Rais husika alitoka km raia wa kawaida na kuwekwa kifungo cha nyumban ndani ya Tanganyika bila kupata nafas ya kurud ktk eneo la mamlaka yake


JPM licha ya ubishi wake wote lkn swala la Zanzibar lilimshinda


Alitishia kuwakatia umeme km wasipolipa bili zao na wao wakamjibu akate tu wapo tayar kutumia koroboi lkn bili hawatalipa na kwel mpaka leo umeme haujakatwa


Kwa hiyo unapozungumzia swala la muungano kuna mambo mengi yapo nyuma ya pazia hayasemw na mamlaka husika
Kwani wala ulojo hawalipi umeme? Wanatumi free je kweli hilo mkuuu kma kweli basi kuna hatari naiona inakuja
 
Wacha uzezeta watalii hupenda kutazama Wanyama kwenye Natural habitat ,Mbona hapa DSm ipo na wananchi na watalii huenda huko lakini ,ubora ni kuona akiwepo mbugani kwenyewe.
wacha kufananisha stafeli na fenesi.

Unazungumzia ZOo ambazo zimeenea dunia nzima na zina wanyama mbali mbali ambao wengine hata hawapatika hapa TZ.

Hata wewe unaweza kujenga zoo huko kijijini kwenu na watalii watafika kuona maajabu,
 
Back
Top Bottom