sumu-ya-panya
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 628
- 570
Wananchi wa Kenya wenye asili ya Somalia leo asubuhi wamefunga mpaka kwa kuchoma Matairi na kuweka vizuizi katika barabara inayoingia Tanzania na Iinayoingia Kenya Baada ya Watu wasiojulikana kumteka mtoto wa mfanyabiashara mkubwa NAMANGA na kutokomea nae kusikojulikana usiku wa kuamkia Leo, Raia Hao wenye asili ya somalia na wengine wanaishinikiza Serikali zote mbili kupatikanakwa mtoto huyo haraka.
Inadhaniwa baada ya tukio hilo watu wasiojulikana walielekea Tanzania.
Taarifa zaidi zitawajia hivi punde
Update
Moto umeongezwa zaidi moshi mweusi
Sauti ya makopo ya gas kulipuka katika moto inasikika
Mtoto anaedhaniwa kutekwa ni mrithi wa mali za familia kwa maana ye ndie tajiri.
Anamiliki magari ya Gas nchini Kenya.
Inadhaniwa baada ya tukio hilo watu wasiojulikana walielekea Tanzania.
Taarifa zaidi zitawajia hivi punde
Update
Moto umeongezwa zaidi moshi mweusi
Sauti ya makopo ya gas kulipuka katika moto inasikika
Mtoto anaedhaniwa kutekwa ni mrithi wa mali za familia kwa maana ye ndie tajiri.
Anamiliki magari ya Gas nchini Kenya.