Mpaka Sasa Yanga SC Wameweka kibindoni (kabatini) makombe mawili, JE Simba SC Wana Nini?!!

Mpaka Sasa Yanga SC Wameweka kibindoni (kabatini) makombe mawili, JE Simba SC Wana Nini?!!

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
11,271
Reaction score
14,512
Poleni sana Mashabiki wenzangu Wa Simba SC!!

Ukitoa mafanikio ya kufika nusu fainali shirikisho tena mafanikio ambayo wenzetu (Yanga SC) walishavuka,

ukitoa mafanikio ya Yanga SC kushindwa kesi huko CAS na tulipata furaha mno tena mno

na ukitoa mafanikio ya sisi wanasimba (Mashabiki) kuwacheka Yanga SC Kuwa tumewazidi kete kwenye usajili Wa Yusuph Kagoma,

Na ukitoa mafanikio yetu ya TFF , BODI YA LIGI wanavyotubeba haswa tunapokua na mechi ngumu mno kama ya Simba vs Mashujaa,

Na ukitoa mafanikio yetu ya kushangilia kwa nguvu na Kucheza mno Baada ya kumuona Feisal salumu kawaacha Yanga SC.

Mafanikio makubwa ya Kufungua What's up Channel tuliyoyapata hakika hii ni hatua kubwa mno

Hayo ndiyo mafanikio makubwa kwetu wakati wenzetu Yanga SC wameshaweka makombe mawili kibindoni.

Hakika sisi Tumefanikiwa mno Kuliko Wao (Yanga SC).

Ngao ya jamii na Muungao siyo kitu kwetu sisi ni wakimataifa.
 
 
Watu wako busy wanawaza jinsi ya kubeba CAF Super Cup, wewe upo hapa unajivunia kumfunga Zimamoto ya Chakechake, Pemba.

1000076823.jpg


Na watu walivyo wahuni wakawadanganya ile ni Super League, hahah. Ndiyo maana hata mashabiki wenu wakawasusa pale bandarini, naona wamechoka kufanywa watoto wadogo.
 
Hongera mwakakikundi kwa kubeba ubingwa wa CAF Champion mapinduzi Cup na lile kombe la Toyota cup
 
Poleni sana Mashabiki wenzangu Wa Simba SC!!

Ukitoa mafanikio ya kufika nusu fainali shirikisho tena mafanikio ambayo wenzetu (Yanga SC) walishavuka,

ukitoa mafanikio ya Yanga SC kushindwa kesi huko CAS na tulipata furaha mno tena mno

na ukitoa mafanikio ya sisi wanasimba (Mashabiki) kuwacheka Yanga SC Kuwa tumewazidi kete kwenye usajili Wa Yusuph Kagoma,

Na ukitoa mafanikio yetu ya TFF , BODI YA LIGI wanavyotubeba haswa tunapokua na mechi ngumu mno kama ya Simba vs Mashujaa,

Na ukitoa mafanikio yetu ya kushangilia kwa nguvu na Kucheza mno Baada ya kumuona Feisal salumu kawaacha Yanga SC.

Mafanikio makubwa ya Kufungua What's up Channel tuliyoyapata hakika hii ni hatua kubwa mno

Hayo ndiyo mafanikio makubwa kwetu wakati wenzetu Yanga SC wameshaweka makombe mawili kibindoni.

Hakika sisi Tumefanikiwa mno Kuliko Wao (Yanga SC).

Ngao ya jamii na Muungao siyo kitu kwetu sisi ni wakimataifa.
Ngao ya hisani siyo kombe. Yanga wenye akili ni wawili tu. 😀 😀
 
kwanza makombe gani ayo!, yametengenezwa na mabati ya kuezekea nyumba kutoka Alaf steell.
Hakikisheni hayagusi maji,yakipata unyevuunyevu tu yanaota kutu.
 
Poleni sana Mashabiki wenzangu Wa Simba SC!!

Ukitoa mafanikio ya kufika nusu fainali shirikisho tena mafanikio ambayo wenzetu (Yanga SC) walishavuka,

ukitoa mafanikio ya Yanga SC kushindwa kesi huko CAS na tulipata furaha mno tena mno

na ukitoa mafanikio ya sisi wanasimba (Mashabiki) kuwacheka Yanga SC Kuwa tumewazidi kete kwenye usajili Wa Yusuph Kagoma,

Na ukitoa mafanikio yetu ya TFF , BODI YA LIGI wanavyotubeba haswa tunapokua na mechi ngumu mno kama ya Simba vs Mashujaa,

Na ukitoa mafanikio yetu ya kushangilia kwa nguvu na Kucheza mno Baada ya kumuona Feisal salumu kawaacha Yanga SC.

Mafanikio makubwa ya Kufungua What's up Channel tuliyoyapata hakika hii ni hatua kubwa mno

Hayo ndiyo mafanikio makubwa kwetu wakati wenzetu Yanga SC wameshaweka makombe mawili kibindoni.

Hakika sisi Tumefanikiwa mno Kuliko Wao (Yanga SC).

Ngao ya jamii na Muungao siyo kitu kwetu sisi ni wakimataifa.
Wana dadako
 
Poleni sana Mashabiki wenzangu Wa Simba SC!!

Ukitoa mafanikio ya kufika nusu fainali shirikisho tena mafanikio ambayo wenzetu (Yanga SC) walishavuka,

ukitoa mafanikio ya Yanga SC kushindwa kesi huko CAS na tulipata furaha mno tena mno

na ukitoa mafanikio ya sisi wanasimba (Mashabiki) kuwacheka Yanga SC Kuwa tumewazidi kete kwenye usajili Wa Yusuph Kagoma,

Na ukitoa mafanikio yetu ya TFF , BODI YA LIGI wanavyotubeba haswa tunapokua na mechi ngumu mno kama ya Simba vs Mashujaa,

Na ukitoa mafanikio yetu ya kushangilia kwa nguvu na Kucheza mno Baada ya kumuona Feisal salumu kawaacha Yanga SC.

Mafanikio makubwa ya Kufungua What's up Channel tuliyoyapata hakika hii ni hatua kubwa mno

Hayo ndiyo mafanikio makubwa kwetu wakati wenzetu Yanga SC wameshaweka makombe mawili kibindoni.

Hakika sisi Tumefanikiwa mno Kuliko Wao (Yanga SC).

Ngao ya jamii na Muungao siyo kitu kwetu sisi ni wakimataifa.
Makombe ya mwaliko au sio...
Makombe ya kuchagua nani acheze na nani asicheze.
Ila utopolo mnashida sanaa
 
Poleni sana Mashabiki wenzangu Wa Simba SC!!

Ukitoa mafanikio ya kufika nusu fainali shirikisho tena mafanikio ambayo wenzetu (Yanga SC) walishavuka,

ukitoa mafanikio ya Yanga SC kushindwa kesi huko CAS na tulipata furaha mno tena mno

na ukitoa mafanikio ya sisi wanasimba (Mashabiki) kuwacheka Yanga SC Kuwa tumewazidi kete kwenye usajili Wa Yusuph Kagoma,

Na ukitoa mafanikio yetu ya TFF , BODI YA LIGI wanavyotubeba haswa tunapokua na mechi ngumu mno kama ya Simba vs Mashujaa,

Na ukitoa mafanikio yetu ya kushangilia kwa nguvu na Kucheza mno Baada ya kumuona Feisal salumu kawaacha Yanga SC.

Mafanikio makubwa ya Kufungua What's up Channel tuliyoyapata hakika hii ni hatua kubwa mno

Hayo ndiyo mafanikio makubwa kwetu wakati wenzetu Yanga SC wameshaweka makombe mawili kibindoni.

Hakika sisi Tumefanikiwa mno Kuliko Wao (Yanga SC).

Ngao ya jamii na Muungao siyo kitu kwetu sisi ni wakimataifa.
Wana mabilioni ya kutinga Fainali ya Cafcc

Wewe baki na makombe yako ya supu za vyura na nyani.😎😎😎
 
Nimefungua uzi nikajua makombe ya maana unaongelea kumbe makombe ya umiseta na ndondocup, Simba wanawaza kombe la Caf
 
Ngao ya Jamii sio Kombe.
Kombe alilochukua Yanga , Simba hakushiriki.
Alikuwa na Majukumu makubwa zaidi.
Kwahiyo, makombe yote yanayobebwa na timu moja, kama nyingine haikushiriki yanakuwa siyo makombe???

Mbumbumbu katika ubora wako.
 
Back
Top Bottom