Lizarazu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 6,334
- 7,868
Unataka tofauti ya R9 na Zlatani au?Niambie tofauti zao, unaanzaje kumlinganisha gaucho na iyo takataka?
Kwa maana ndio nilichokubishia mimi
Unataka tofauti ya R9 na Zlatani au?Niambie tofauti zao, unaanzaje kumlinganisha gaucho na iyo takataka?
Hahahahahah nilitaka nimjibu ila kwakuwa umetangulia basi naachamkuu bado unatumia p5 mpaka leo.? aibu
Kwani gaucho kacheza manchester? Acha uzezeta wewe, watu wanaongelea fact, umeshika utakua manchesterHahahaha hahahaha ngoja nkuache tu bana.....Ila utakua shabiki wa Man Utd wewe
Unauliza jibu? Wewe vpi? Au huna uhakika na ulichobishia? Ronaldo hana tofauti na zlatan na pengine zlatan nibora kuliko huyo delimaUnataka tofauti ya R9 na Zlatani au?
Kwa maana ndio nilichokubishia mimi
Mashabiki karibia wote wa Man Utd wanamchukia saaana Messi, ndo maana nikajua tu uyo jamaa atakua huko Man UKwani gaucho kacheza manchester? Acha uzezeta wewe, watu wanaongelea fact, umeshika utakua manchester
Sishangai kwakua hata simu unayotumia ni yakizamani
Ukishindana na matoleo ya simu utakuwa maskinimkuu bado unatumia p5 mpaka leo.? aibu
Nyie watoto tafuteni video za Kombe la dunia 1986 huko Mexico halafu mrudi hapa tuzungumze
Naoan umekuja kujibu ukiwa na mihemko ya ushindi na ikichagizwa hasa na huyo Zlatan.Unauliza jibu? Wewe vpi? Au huna uhakika na ulichobishia? Ronaldo hana tofauti na zlatan na pengine zlatan nibora kuliko huyo delima
Unaweza ukajua kila kitu lakini usiwe bora,,,hakika hakuna anayebisha kama gaucho si fundi wa mpira,,.kumbuka kizuri ni kizuri lakini chenye ubora ni bora zaidi,,hapa si mwingine ni messiiiiiiiHabari Wakuu!
Tokea ninakua mpaka sasa bado sijawahi ona ona mchezaji Mpira anayemfikia GAUCHO kwa ubora.
kwa wanaomjua Gaucho wataungana na Mimi na hawatanishangaa nikimkubali huyu mchezaji ambaye wataalamu tunamuita Mchawi wa Soccer.
Gaucho alikuwa mahiri kwa kuukontroli Mpira. Alikuwa anauwezo wa kuuweka mpira sehemu yoyote ya mwili.
Aidha Mbrazili huyu kwenye swala za dribbling bado hakuna anayemkamata.
Hutotamani mpira uondoke mguuni mwake pindi afanyapo mambo yake.
Gaucho ni miongoni mwa Wachezaji wakali kuwahi kutokea duniani.
Je wewe unadhani ni nani anayemkaribia huyu Mchawi wa Soccer kwa maana kwa wakumzidi bado hayupo.
Tumchukie kwa lipi? si afadhali useme arsenal ndo wamchukie, maana kila msimu anawadhalilishaMashabiki karibia wote wa Man Utd wanamchukia saaana Messi, ndo maana nikajua tu uyo jamaa atakua huko Man U
Acha kumfananisha gaucho na vitu vya kipumbavuNaoan umekuja kujibu ukiwa na mihemko ya ushindi na ikichagizwa hasa na huyo Zlatan.
Una umri gani kwanza? Nisije nikawa nabishana na mtu ambaye sio wa calibre yangu kisoka.