Ndo hapo sasa nashangaa sijui kwanini mnamchukia Messi wakati ilibidi Arsenal ndo wamchukie.Tumchukie kwa lipi? si afadhali useme arsenal ndo wamchukie, maana kila msimu anawadhalilisha
Lete ushahidi wa hicho ulichoandikaNdo hapo sasa nashangaa sijui kwanini mnamchukia Messi wakati ilibidi Arsenal ndo wamchukie.
Vyote tumeshaona hakuna aliewahi kukaribia kiwango cha saint gauchoNyie watoto tafuteni video za Kombe la dunia 1986 huko Mexico halafu mrudi hapa tuzungumze
Mpaka Leo naishabikia Barca, sababu moja wapo ni GauchoGaucho hana mfano! Nilipenda kuangalia mechi za barca enzi hizo lengo likiwa nimuone saint gaucho akicheza na nilitamani wampe Paso zote ili niweze kufaidi utundu wake... Kuna ndugu yangu mmoja humu anaitwa Gang Chomba yeye ndio anaweza kumuelezea Gaucho vizuri.. Huyo jamaa alicheza mpira Wa sayari ingine bana.. Tuache tu mungu aitwe mungu!
Kiburudani, Gaucho mwisho wa matatizo.Ila kiufundi Zizou baba.Ilifika wakati Vicente aliwaambia wachezaji wa Madrid kuwa ukikosa sehemu ya kupiga mpira mpe Zizou bila kujali yupo eneo ganiwengi humu wamezaliwa juzi.
nataka waliowaona hawa wachezaji waje tuzungumze...zidane..stephen efernberg...dinho..
figo ...luis enrique...raul...rivaldo...nedved..batistuta....
mwaka 1998..hata rogger romere aliwaambia wafaranzaKiburudani, Gaucho mwisho wa matatizo.Ila kiufundi Zizou baba.Ilifika wakati Vicente aliwaambia wachezaji wa Madrid kuwa ukikosa sehemu ya kupiga mpira mpe Zizou bila kujali yupo eneo gani
Gaucho hana mfano! Nilipenda kuangalia mechi za barca enzi hizo lengo likiwa nimuone saint gaucho akicheza na nilitamani wampe Paso zote ili niweze kufaidi utundu wake... Kuna ndugu yangu mmoja humu anaitwa Gang Chomba yeye ndio anaweza kumuelezea Gaucho vizuri.. Huyo jamaa alicheza mpira Wa sayari ingine bana.. Tuache tu mungu aitwe mungu!
Kakukataa mwenyeweHabari Wakuu!
Tokea ninakua mpaka sasa bado sijawahi ona ona mchezaji Mpira anayemfikia GAUCHO kwa ubora.
kwa wanaomjua Gaucho wataungana na Mimi na hawatanishangaa nikimkubali huyu mchezaji ambaye wataalamu tunamuita Mchawi wa Soccer.
Gaucho alikuwa mahiri kwa kuukontroli Mpira. Alikuwa anauwezo wa kuuweka mpira sehemu yoyote ya mwili.
Aidha Mbrazili huyu kwenye swala za dribbling bado hakuna anayemkamata.
Hutotamani mpira uondoke mguuni mwake pindi afanyapo mambo yake.
Gaucho ni miongoni mwa Wachezaji wakali kuwahi kutokea duniani.
Je wewe unadhani ni nani anayemkaribia huyu Mchawi wa Soccer kwa maana kwa wakumzidi bado hayupo.
hatarihatarihatari eheehe hakunaga kama dino dino yaani unalipa kiingilio miezi 8 kabla ya mechi no one yaani unipige uniue namwacha manzi ndani nakwenda kumwangalia dino saizi nacheka eti nesi eti christian nononono
Aliuita mpira ukaja...
Kisha akauamuru uende anakotaka bila hata ya kuangalia...
Ukisemea mpira wakuu, duniani so siri mungu kawapa ndugu zetu wabrazil vipaji vya soka.