Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,894
- 52,486
Kikubwa tuwape watoto elimu huku tukiwajengea misingi ya kujitegemea mapemaaa..........................So mkuu kipi bora,experience with STD 7 kichwani au cheti cha chuo bila kazi mtaani huku darasa la saba tena failure wakikumbiza kimaisha?
Sikatai elimu ni muhimu but how graduates wa miaka hii wengine wanafikia kujutia muda waliopoteza darasani?unadhani bado hii elimu ya kukariri inamfaa kila mtoto wa Kitanzania?na hata serikali yenyewe haina plan B kwamba hawa wahitimu wanaomaliza kila mwaka iwapeleke wapi....hii ni hatari sana kwa kizazi hiki.
Sent using Jamii Forums mobile app