Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 10,905
- 19,734
Wenyewe washaonana
washaonana kwa hiyo tutulieKwani king Kong huwa ni mdada??
washaonana kwa hiyo tutulieKwani king Kong huwa ni mdada??
Aisee usiombe yakukuteKwaweli kuna muda akili kama inastack.
Ila mkuu una mil2 hapo bado unalialoa tu kuna mwingine anahitaji lak5 tu iwe kama mtaji. Na hana wala hajui anaitoa wapi?
Sina kipaji chochote cha sanaa, sjui kuimba, sjui kuchekesha wala mpira,,It is now or never. Kwanza accept hiyo situation na usijute kwa nini alikwenda Chuo. It is never too late. Muda pekee ambao inakuwa late ni pale moyo umesimama (kifo)Maisha ni safari. Huna kipaji cha kufanya comed ?Maana umesoma sanaa wewe. Anza kujirecord fanya vichekesho kina Assas watakuona na utatangaza maziwa yao. Mdogo mdogo.
Una haki pia ya kutulaumu sishangai hiloUbaya mnaaminishwa kuwa shule ndo Kila kitu
Kila mtu anajua kuimba,kuchekesha. Sasa umesoma sanaa halafu hauwezi kuact ?????Wewe unapenda nini?Sina kipaji chochote cha sanaa, sjui kuimba, sjui kuchekesha wala mpira,,
Nilijukuta tuu Niko bize na kusoma
Mkuu kwanza badala ya kulaumu, anza kushukru Mungu kwamba Una hiyo 2M, mimi nimehitimu 2018 kama wewe na sijabahatika hata kupata kazi ya kuajiriwa
Huku mtaani kiukweli mambo sio rahisi kiasi hicho, 2M kwangu mimi ni pesa kubwa sanaaaa mimi nauza samaki na dagaa kutoka Mwanza nikipata hiyo 2M napanuka pakubwa mno.
Zingatia ushauri wa wanaJF kama walivyokushauri hapo juu, kama ni kununua bodaboda basi nunua ila shukru Mungu unakianzio
Kila mtu anajua kuimba,kuchekesha. Sasa umesoma sanaa halafu hauwezi kuact ?????Wewe unapenda nini?
Sanaa ni talent na si profession mkuu, na kipaji lazima kiendelezwe tokea utotoni LA sivyo kitakufa,Kila mtu anajua kuimba,kuchekesha. Sasa umesoma sanaa halafu hauwezi kuact ?????Wewe unapenda nini?
Mkuu shukuru Mungu kukupa hicho ulicho nacho sasa kamwe ustukane wengine Mlungu chibidu ...Hivi mbwa kama wewe huko vyuoni mnafundishwa nini, yani huwezi hata kufungua kakibanda ka chips akawaweka madogo
Au basi hata kam-pesa ka kishikaji nako hutaki kukafikilia.Kiufupi mkubwa unatia aibu
Hata graduates usiwaone ni wazembe, experience inawabeba hao lasaba BNAWAKUBALI SANA STANDARD SEVEN ni Risk takers mno.
Mkuu toka October hadi hii Disemba bado itakuwa ni 2 milioni??Hiyo M 2 imeisha au bado ipo mkuu
Labda anunue used ya 1.5 milioni maana hawezi kuwa na 2m kwa sababu lazima ale na mahitaji mengine muhimu humo humo.Fanya hivi haraka Kama bado unayo million 2 hyo kanunue pkpk haraka hutojutia sababu utakua na kipato Cha elfu 15 kwa SKU uhakika hapo,
Nashukuru
Anaendesha mwenyewe na kuisimamia mkuu, hatakosa pesa ya kula daily.Mkuu pikipiki zina risk sana mtoe uko unampoteza hela yenyewe anayo hiyohiyo
Ukweli ndo huo standard seven ni Risk takers sisi graduate tuna Aibu,Woga na Kukataa Kukubaliana na hali halisi.Hata graduates usiwaone ni wazembe, experience inawabeba hao lasaba B
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]Mkuu wa kuanzia ili asiwe na stress Bora aanzie huko wakat anatafuta ajira nyingine maana akikaa na hyo ml 2 muda mfup Sana itakata na biashara za uchuuz wa vtu itapotea yote Bora anunue pkpk mtaji uwe mafuta tu, atakuwa hakosi angalau 15
Hizo ni risks ambazo zipo hata akiamua kununua matenga ya nyanya au matikiti... Hata ufugaji kuku wanaweza kufa wengi but you must take risks, uoga wako Ndiyo umaskini wako...Na ikiibiwa je atafanya nini
.......................So mkuu kipi bora,experience with STD 7 kichwani au cheti cha chuo bila kazi mtaani huku darasa la saba tena failure wakikumbiza kimaisha?Hata graduates usiwaone ni wazembe, experience inawabeba hao lasaba B