Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 10,546
- 22,980
Achana nae na uje kwangu fastaaaMtoto nipo hapa najaribu kumwambia shida nini anafanya hvi hakuna majibu sahihi...
Inaniumiza sana kichwa
Achana nae na uje kwangu fastaaaMtoto nipo hapa najaribu kumwambia shida nini anafanya hvi hakuna majibu sahihi...
Inaniumiza sana kichwa
Thanks alot mkuustop simping women, love yourself, use No contact theory you will thank me later
Wee mbona ni mtoto...Achana nae na uje kwangu fastaaa
Mkuu huu si uungwana
ivi mtoto ni mwisho miaka mingap,,coz mm nna 29 saivWee mbona ni mtoto...
Pesa natoameans itakuwa hampii helaaa ?
Siwezi kabisa mkuu najaribu ila wapiPiga chini hiyo kiumbe fasta.
Kama una miaka hiyo basi tunaweza fanya kitu mkuu..ivi mtoto ni mwisho miaka mingap,,coz mm nna 29 saiv
Mmmh mkuu mbona umekamia hivoHakutaki !
Pesa nampa ila sms ni nyingi kuliko pesaHuko kujitoa kwenyewe usikute ni kutuma masms kila muda.
Hela unampa!?
Sasa mbona unantisha unaanza kulialia mapema ivo🙄Kama una miaka hiyo basi tunaweza fanya kitu mkuu..
Njoo PM ila please sitaki uniumize kama huyu wa kwanza 😭😭😭😭😭
Mapenzi yananitesaSasa mbona unantisha unaanza kulialia mapema ivo🙄
Daaah kwa sasa yupo mkoa hiko kitendo nitafanya akirudi...Hakutaki mpotezee au kama huwezi tafuta pisi kali kuliko yeye hakikisha ameijua, hata km ni kwa kuikodi tu umuonyeshe kuwa na wewe unao uwezo wa kumiliki demu mkali kumliko, atajileta kiulaini sana
basi tafuta tu hela,, namimi kuna mda nitakuboost kdogo na matukioMapenzi yananitesa
Au ndio mc pilipili mwenyewe🤣🤣Sasa mbona unantisha unaanza kulialia mapema ivo🙄
Pesa sio tatizo kwangu... Au nitafute shilingi ngapi.basi tafuta tu hela,, namimi kuna mda nitakuboost kdogo
Onhoo,,umenkumbsha,yawezekana aseeeeAu ndio mc pilipili mwenyewe🤣🤣
Sasa mwanaharamu unaposema nikae nae mbali we unaweza mkuu na mtu nampensaMpe nafasi nawe ukae mbali.
Muda utasema asiposhtuka ujue hakuwa wako.
Watendee kama wao wanavyokutendea.
ooh na bado penzi la kutesa,,wacha nije nikutulize😌Pesa sio tatizo kwangu... Au nitafute shilingi ngapi.