Wakuu mpaka sasa Najiona Nishakata TAMAA kabisa ya kuoa.kwa ninayoona kakazangu watatu walionitangulia wanavyofanyiwa ndani ya ndoa inanitia hasira Zaidi nikisikia neno ndoa.
Kiufupi ndugu zangu wanazipambania Sana familia zao lakini awo shemeji mambo yao ni hovyo tena Kila mtu anachangamoto zake.
Hivi kweli wanawake wana akili timamu muda wote?, Ivi unaanzaje kumdharau mtu uliyeanza kumpenda anayekulisha na kukuvisha na kukupa Kila kitu kisa mtu anayekupa buku ya vocha?
Yaani hapa Kuna namna nahisi huwa inakuwa akili tofauti na ya binadamu WA kawaida .
Sijui wakuu mlio ndani ya ndoa mnawezaje kupangua hizi ngumi za moto hivi maana kwangu Mimi Najiona kabisa nitashindwa na siku nitaua mtoto WA mtu bure kwaio Bora nisioe tu wanawake ni changamoto kubwa Sana. yaani vinavotokea kwenye ndoa za ndugu zangu vinaniuma utafikiri ni zangu je ndio mojawapo iwe yangu kweli naweza ozea jera wakuu!
Kiufupi ndugu zangu wanazipambania Sana familia zao lakini awo shemeji mambo yao ni hovyo tena Kila mtu anachangamoto zake.
Hivi kweli wanawake wana akili timamu muda wote?, Ivi unaanzaje kumdharau mtu uliyeanza kumpenda anayekulisha na kukuvisha na kukupa Kila kitu kisa mtu anayekupa buku ya vocha?
Yaani hapa Kuna namna nahisi huwa inakuwa akili tofauti na ya binadamu WA kawaida .
Sijui wakuu mlio ndani ya ndoa mnawezaje kupangua hizi ngumi za moto hivi maana kwangu Mimi Najiona kabisa nitashindwa na siku nitaua mtoto WA mtu bure kwaio Bora nisioe tu wanawake ni changamoto kubwa Sana. yaani vinavotokea kwenye ndoa za ndugu zangu vinaniuma utafikiri ni zangu je ndio mojawapo iwe yangu kweli naweza ozea jera wakuu!