Mpaka sasa Najiona Nishakata tamaa kabisa ya kuo

Mpaka sasa Najiona Nishakata tamaa kabisa ya kuo

Kama waliweza kuwadharau wazazi wao waliwalea,waliowalisha na kuwasomesha kisha dushe sembuse mume wa kujuana ukubwani!!?

Ni karma kama kaja kwako kwa kuwadharau waliomlea na kutowasikiliza jua inakurudia vile vile. Mtu unampa options mtoto wa watu eti chagua kati yangu na wazazi yupi bora kinakulamba vizuri tu.
Duuhhh
 
Wakuu mpaka sasa Najiona Nishakata TAMAA kabisa ya kuoa.kwa ninayoona kakazangu watatu walionitangulia wanavyofanyiwa ndani ya ndoa inanitia hasira Zaidi nikisikia neno ndoa.

Kiufupi ndugu zangu wanazipambania Sana familia zao lakini awo shemeji mambo yao ni hovyo tena Kila mtu anachangamoto zake.

Hivi kweli wanawake wana akili timamu muda wote?, Ivi unaanzaje kumdharau mtu uliyeanza kumpenda anayekulisha na kukuvisha na kukupa Kila kitu kisa mtu anayekupa buku ya vocha?

Yaani hapa Kuna namna nahisi huwa inakuwa akili tofauti na ya binadamu WA kawaida .

Sijui wakuu mlio ndani ya ndoa mnawezaje kupangua hizi ngumi za moto hivi maana kwangu Mimi Najiona kabisa nitashindwa na siku nitaua mtoto WA mtu bure kwaio Bora nisioe tu wanawake ni changamoto kubwa Sana. yaani vinavotokea kwenye ndoa za ndugu zangu vinaniuma utafikiri ni zangu je ndio mojawapo iwe yangu kweli naweza ozea jera wakuu!
Usikate tamaa ya kuoa mdogo wangu..wewe ukioa jitahidi uwe bandidu wanawake sio wa kucheka nao 😝😝Yaan hakikisha mkeo hakuelewi..Ukishindwa utanitafuta nikuunganishe na mmja kati ya kaka zangu akupe muongozo .Mwanaume hutakiwi kuwa soft soft halafu ndoa burudan sana japo kwenye hili sina uhakika
 
Huyu jamaa ni Kabudi, nilimuacha Shybush ananilindia shamba la viazi vitamu, ila nilimkopea simu kwa Watu Simu. Naona sasa ameamua kujikita na mitandao ya kijamii. Nikikuta mfuma zangu zimekauka utanieleza
 
Usikate tamaa ya kuoa mdogo wangu..wewe ukioa jitahidi uwe bandidu wanawake sio wa kucheka nao 😝😝Yaan hakikisha mkeo hakuelewi..Ukishindwa utanitafuta nikuunganishe na mmja kati ya kaka zangu akupe muongozo .Mwanaume hutakiwi kuwa soft soft halafu ndoa burudan sana japo kwenye hili sina uhakika
Usi kute huyo Kaka ndie mleta uzi 😂🤣
 
Ishi na mwanamke,zaa watoto,Jenga makazi!wape mahitaji ya msingi huku ukiwapa room ya ku fight ndoto zao!
Akikuzingua anzisha tabia mpya,ukimya sio makelele tafuta mpenzi TU was nje na yeye aendelee na Alie nae!maisha yasonge,Kila mmoja abebe hatma yake!!

Ukijifanya yesu au mtume kwenye mahusiano watakuchezea hai viumbe hadi utakufa Kwa msongo!!

Using'ang'anie mahusiano mambo yanapoharibika mkuu!utajuta sana Tena sana!!ishi mwenyewe empty your mind usinwazie mtu uliekutana name ukubwani kana kwamba bila yeye maisha yako yatasimama!!

Mara nyingi Huwa najivunia kuona watoto Wana kwao hasta kama haparidhishi ndio kwao,mengine watatafuta vya kwao!!
Usi complicate life!ACHA kabisa!!
 
Wakuu mpaka sasa Najiona Nishakata TAMAA kabisa ya kuoa.kwa ninayoona kakazangu watatu walionitangulia wanavyofanyiwa ndani ya ndoa inanitia hasira Zaidi nikisikia neno ndoa.

Kiufupi ndugu zangu wanazipambania Sana familia zao lakini awo shemeji mambo yao ni hovyo tena Kila mtu anachangamoto zake.

Hivi kweli wanawake wana akili timamu muda wote?, Ivi unaanzaje kumdharau mtu uliyeanza kumpenda anayekulisha na kukuvisha na kukupa Kila kitu kisa mtu anayekupa buku ya vocha?

Yaani hapa Kuna namna nahisi huwa inakuwa akili tofauti na ya binadamu WA kawaida .

Sijui wakuu mlio ndani ya ndoa mnawezaje kupangua hizi ngumi za moto hivi maana kwangu Mimi Najiona kabisa nitashindwa na siku nitaua mtoto WA mtu bure kwaio Bora nisioe tu wanawake ni changamoto kubwa Sana. yaani vinavotokea kwenye ndoa za ndugu zangu vinaniuma utafikiri ni zangu je ndio mojawapo iwe yangu kweli naweza ozea jera wakuu!
Usikate tamaa mkuu wake zao sio mke wako
 
Sijui wakuu mlio ndani ya ndoa mnawezaje kupangua hizi ngumi za moto hivi maana kwangu Mimi Najiona kabisa nitashindwa na siku nitaua mtoto WA mtu bure kwaio Bora nisioe tu wanawake ni changamoto kubwa Sana. yaani vinavotokea kwenye ndoa za ndugu zangu vinaniuma utafikiri ni zangu je ndio mojawapo iwe yangu kweli naweza ozea jera wakuu!
Endelea kukua ukikua hayo hutoyawazia sana ukubwa sio Ndevu Ndevu ni mapambo tu na urembo kwa hio km wewe mrembo fuga Ndevu uwe na Madevu
 
Mdogo angu mmoja mwanajeshi alipokuja ku learn late about what happened to me, alinambia neno kuwa "braza nashukuru mimi sio wewe, mimi saa hii ningekua jela"😂
 
Tafuta pesa kwanza ndiyo uoe

Ishi na mwanamke,zaa watoto,Jenga makazi!wape mahitaji ya msingi huku ukiwapa room ya ku fight ndoto zao!
Akikuzingua anzisha tabia mpya,ukimya sio makelele tafuta mpenzi TU was nje na yeye aendelee na Alie nae!maisha yasonge,Kila mmoja abebe hatma yake!!

Ukijifanya yesu au mtume kwenye mahusiano watakuchezea hai viumbe hadi utakufa Kwa msongo!!

Using'ang'anie mahusiano mambo yanapoharibika mkuu!utajuta sana Tena sana!!ishi mwenyewe empty your mind usinwazie mtu uliekutana name ukubwani kana kwamba bila yeye maisha yako yatasimama!!

Mara nyingi Huwa najivunia kuona watoto Wana kwao hasta kama haparidhishi ndio kwao,mengine watatafuta vya kwao!!
Usi complicate life!ACHA kabisa!!
Hii nimeichukua Asante Sana mkuu nimepata mwanga
 
Endelea kukua ukikua hayo hutoyawazia sana ukubwa sio Ndevu Ndevu ni mapambo tu na urembo kwa hio km wewe mrembo fuga Ndevu uwe na Madevu
Unamaanisha kuwa Kuna vitu vingine ndio nitavipa airtime Sana🧐
 
Usikate tamaa ya kuoa mdogo wangu..wewe ukioa jitahidi uwe bandidu wanawake sio wa kucheka nao 😝😝Yaan hakikisha mkeo hakuelewi..Ukishindwa utanitafuta nikuunganishe na mmja kati ya kaka zangu akupe muongozo .Mwanaume hutakiwi kuwa soft soft halafu ndoa burudan sana japo kwenye hili sina uhakika
🤣🤣🤣 Naomba nifafanulie vizuri hii
 
Huyu jamaa ni Kabudi, nilimuacha Shybush ananilindia shamba la viazi vitamu, ila nilimkopea simu kwa Watu Simu. Naona sasa ameamua kujikita na mitandao ya kijamii. Nikikuta mfuma zangu zimekauka utanieleza
🤣🤣Nani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom