Mpaka sasa Najiona Nishakata tamaa kabisa ya kuo

Mpaka sasa Najiona Nishakata tamaa kabisa ya kuo

Principle ya ndo kwa mwanaume ni nyepesi, hakikisha unaoendwa na upo tayari kumpoteza, Yani akizingua potea bila kufikiri mara 2, utawapoteza au Kaka zako kwa ujinga wao!
 
Principle ya ndo kwa mwanaume ni nyepesi, hakikisha unaoendwa na upo tayari kumpoteza, Yani akizingua potea bila kufikiri mara 2, utawapoteza au Kaka zako kwa ujinga wao!
Hii imenikaa mkuu 🙏 🙏
 
Kwamba ukipiga mashine sana ndio wanaacha kuchepuka au ndo kinga ya mwanaume kuachwa kicheatiwa..?! Ingekua hivyo sidhani kama hizi kesi zingekua zinaibuka kila siku..

Mwanamke anaweza cheat kwa kitu kidogo sana ambacho ukikaa ukatafakari unashindwa kuelewa kabisa kwanini kafanya hivyo licha ya kua unaweza kua una mtimizia kila kitu na show unapiga mpaka nunu yake inavimba..
Eti mpaka nunu ivimbe. Mkuu huwa unahakikisha zimevimba ndio unashuka?
 
Si kila ndoa ni sumu wala kila mwanamke ni shida. Wapo wanawake wa heshima, wenye upendo wa kweli.
 
Kiufupi wote ni malaya balaa
yaani Juzi mmoja kaaga anaenda kwa mama ake kumbe kachukua chumba gest na kiben10 Cha siku tatu alafu pesa kaiba za mumewe...
Yaani ni jau balaa
Halafu kaka yako alivyo mjinga na Fala,anajua kabisa shemeji yako alienda gest house na bado anaendelea kuishi naye.Sasa kwa namna hiyo kwa nini huyo mwanamke asizidi kumdharau.
 
Kiufupi ni kuwa ili uweze kuishi na mwanamke yyte hapa Duniani ni lazima ujitoe akili zako uwe kama ndondocha-usiwe mtu wa ku reasons.Ndio maana hakuna mtubyoyote hapa Duniani mwenye akili nyingi hasa wanasanyansi wakubwa au wavumbuzi waliwahi kuishi na wanawake.
Mwanamke ni zaidi ya usumbufu,asilimia chache sana wapo exceptional.kwanza kufanya argument na mtu anayetumia hisia na sio fact ni issue inayohitaji kujitoa ufahamu.
 
Kama waliweza kuwadharau wazazi wao waliwalea,waliowalisha na kuwasomesha kisha dushe sembuse mume wa kujuana ukubwani!!?

Ni karma kama kaja kwako kwa kuwadharau waliomlea na kutowasikiliza jua inakurudia vile vile. Mtu unampa options mtoto wa watu eti chagua kati yangu na wazazi yupi bora kinakulamba vizuri tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom