- Thread starter
- #61
Lakini ni agano mkuu🤣🤣Ndoa ni utapeli mkuu!
Lakini ni agano mkuu🤣🤣Ndoa ni utapeli mkuu!
Hapana 💯💯Usi kute huyo Kaka ndie mleta uzi 😂🤣
Pole. Hata wanaume na nyie mna changamoto zenu lukuki, ni kuvumiliana ikishindikana kila mtu apite hivi.Kiufupi wote ni malaya balaa
yaani Juzi mmoja kaaga anaenda kwa mama ake kumbe kachukua chumba gest na kiben10 Cha siku tatu alafu pesa kaiba za mumewe...
Yaani ni jau balaa
KUOA NI KWA LOW MINDED TU...Wakuu mpaka sasa Najiona Nishakata TAMAA kabisa ya kuoa.kwa ninayoona kakazangu watatu walionitangulia wanavyofanyiwa ndani ya ndoa inanitia hasira Zaidi nikisikia neno ndoa.
Kiufupi ndugu zangu wanazipambania Sana familia zao lakini awo shemeji mambo yao ni hovyo tena Kila mtu anachangamoto zake.
Hivi kweli wanawake wana akili timamu muda wote?, Ivi unaanzaje kumdharau mtu uliyeanza kumpenda anayekulisha na kukuvisha na kukupa Kila kitu kisa mtu anayekupa buku ya vocha?
Yaani hapa Kuna namna nahisi huwa inakuwa akili tofauti na ya binadamu WA kawaida .
Sijui wakuu mlio ndani ya ndoa mnawezaje kupangua hizi ngumi za moto hivi maana kwangu Mimi Najiona kabisa nitashindwa na siku nitaua mtoto WA mtu bure kwaio Bora nisioe tu wanawake ni changamoto kubwa Sana. yaani vinavotokea kwenye ndoa za ndugu zangu vinaniuma utafikiri ni zangu je ndio mojawapo iwe yangu kweli naweza ozea jera wakuu!
AhaliTafuta pesa kwanza ndiyo uoe
No reform no election ⚒️ 💯Wakuu mpaka sasa Najiona Nishakata TAMAA kabisa ya kuoa.kwa ninayoona kakazangu watatu walionitangulia wanavyofanyiwa ndani ya ndoa inanitia hasira Zaidi nikisikia neno ndoa.
Kiufupi ndugu zangu wanazipambania Sana familia zao lakini awo shemeji mambo yao ni hovyo tena Kila mtu anachangamoto zake.
Hivi kweli wanawake wana akili timamu muda wote?, Ivi unaanzaje kumdharau mtu uliyeanza kumpenda anayekulisha na kukuvisha na kukupa Kila kitu kisa mtu anayekupa buku ya vocha?
Yaani hapa Kuna namna nahisi huwa inakuwa akili tofauti na ya binadamu WA kawaida .
Sijui wakuu mlio ndani ya ndoa mnawezaje kupangua hizi ngumi za moto hivi maana kwangu Mimi Najiona kabisa nitashindwa na siku nitaua mtoto WA mtu bure kwaio Bora nisioe tu wanawake ni changamoto kubwa Sana. yaani vinavotokea kwenye ndoa za ndugu zangu vinaniuma utafikiri ni zangu je ndio mojawapo iwe yangu kweli naweza ozea jera wakuu!
AhaliTafuta pesa kwanza ndiyo uoe
🤣🤣🤣🤣🤣Bora nimekuona tajiri, huu mguu ulikuwa unakuja kwako... kuna ahadi hujaitekeleza mkuu, au unataka uanze kuwa na baya? Stori ya jishangazi tunaisubiri tajiri
Kama kawaida uwajibikaji unawashinda kabisa. Kila kitu mnatafuta sababu ya kurudisha lawama kwa mwanaume. Kwani hao wanawake kabla hawajakubali kufunga ndoa hawakujua kama waume zao watarajiwa hawapigi mashine ipasavyo?Hao Kaka zako mashine wanapiga ipasavyo?!
Aaaa weee haiwezekani...hawa kaka zangu akili zao wanazielewa wenyeweUsi kute huyo Kaka ndie mleta uzi 😂🤣
KATAA NDOA LINDA MAISHA YAKOAaaa weee haiwezekani...hawa kaka zangu akili zao wanazielewa wenyewe
KATAA NDOA LINDA MAISHA
Hujakutana na mwanamke akakufurahisha wewe.Nijaribu mimi basi😉KATAA NDOA LINDA MAISHA YAKO
Hakikisha hata mkeo hakuelewi.🤣🤣🤣 Naomba nifafanulie vizuri hii
Selikavu, Razorblade oneni majaribu haya, comrade si ata nipiga 😂 😂Hujakutana na mwanamke akakufurahisha wewe.Nijaribu mimi basi😉
Wacha uoga weweSelikavu, Razorblade oneni majaribu haya, comrade si ata nipiga 😂 😂
I'd yaki ya zamani ni ipi?Wacha uoga wewe
Sina Id ya zamani.Japo ni mzoefu jukwaani sijawah kuwa na Id yoyote ni msomaj mzuri tuI'd yaki ya zamani ni ipi?
Kama unaogopa mie nipo mbele kama target man piga through pass itanikuta 😂Selikavu, Razorblade oneni majaribu haya, comrade si ata nipiga 😂 😂