sembela
Member
- Aug 8, 2013
- 80
- 21
Mlizoea kupiga deal ndyo maana mnaona mambo magumu sasa hivi...unataka mpka serikal ikununulie mboga nyumbam ndyo ukubali kma inachapa kazi...fanya kazi kwa bidii mkuu. Acha kukaa tu then usubiri kila kitu uletewe. Serikal ya jpm ipo makini, na inafanya kazi vizur tu...heri yake mtu asiye na mashaka nayo..viva jpm.