Mugabe one
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 2,327
- 1,681
Kweli atakuwa na wafuasi wengi sana wenye mapungufu ya akili, majuha, machizi, vichaa, na mongor kama weweKwa jinsi alivyo, kwa siasa zake, kwa mikakati yake, kwa uvumilivu inasemekana kua mvuto wake wa kisiasa unapaa kwa kasi ajabu nchini.
Mh Lowassa anaenda kuvuna kundi kubwa sana la vijana na wasomi watakao mpa nguvu katika mapambano yake juu ya kile anachokiamiani kua anaweza kua kiongozi bora kabisa ndani ya taifa hili.
Thubutu