Cha kushangaza ni sisi watanganyika ndio hatutaki uvunjike. Lakini wenyewe wanataka.Mkopo tunalipa bara wao wanapewa bure, huu muungano uvunjwe
Uwepo wa mh.Samia Kama Rais wa JMT kutawanyong'onyeza sana maadui wa mh.Mwinyi ndani ya CCM Zanzibar......Raisi anaweza akawa na nia njema kweli ila mambo mawili yatamkwamisha tu
1. Kuwa Mwana CCM tu ni tatizo sababu hiki chama kama kina laana ivi
2. Wana CCM wa Zanzibar wabinafsi sana na hao ndo wapinzani wake wakuu kabla ya wapinzani
Hakika 😍Nusu ya wafanyakazi Zanzibar wanatoka Bara..
Kadri wanavyopiga hatua wanazidi kuajiri watanganyika...
East Timor ni miongoni mwa nchi maskini dunianiNa hakuma kisiwa duniani kikawa masikini isipokuwa Ni Zanzibar pekee.
Wenyewe wangapi?!!!Cha kushangaza ni sisi watanganyika ndio hatutaki uvunjike. Lakini wenyewe wanataka.
Ni kweli maana pesa za kiarabu haziamini katika riba, wangejitenga wenyewe hata serikali ingewakopesha kwenye mabenki yao bila riba angalau wakafanya maendeleo ya watu.Wazanzibar wajinga wenyewe. Hiyo nchi ingekuwa mbali sana kitambo wangeachana na mambo ya bara ya kiccm kiccm. Wangejitenga kitambo wangekuwa mbali sana. Pesa kwao za waarabu ziko nje nje. Wanapigwa pin tu na miccm
Zanzibar ni nchi? Hayo ni maendeleo ya county, which is also good.Kwanza kwa sasa wana rais anayejielewa sana. Si mtu wa blah blah. Na pili wanatengewa pesa nyingi sana za maendeleo. Nimesikia wametengewa bilioni 250 ya pesa za Covid.
Ni pesa inayoweza kufanya makubwa sana ukizingatia kuwa Zanzibar ni nchi ndogo na yenye watu wachache sana.
Zanzibar isipoendelea awamu hii haitakuja kuendelea tena.
Si pesa za kiarabu....sema labda pesa zenye mafungamano na imani ya dini.....Ni kweli maana pesa za kiarabu haziamini katika riba, wangejitenga wenyewe hata serikali ingewakopesha kwenye mabenki yao bila riba angalau wakafanya maendeleo ya watu.
Aaaaamin aaaaamin aaaaamin🙏Rais Dk. Mwinyi ataipeleka mbali Zanzibar kimaendeleo. Mwenyezi Mungu ambariki.
Kwanza kwa sasa wana rais anayejielewa sana. Si mtu wa blah blah. Na pili wanatengewa pesa nyingi sana za maendeleo. Nimesikia wametengewa bilioni 250 ya pesa za Covid.
Ni pesa inayoweza kufanya makubwa sana ukizingatia kuwa Zanzibar ni nchi ndogo na yenye watu wachache sana.
Zanzibar isipoendelea awamu hii haitakuja kuendelea tena.
Mwenye kuthubutu kuuvunja muungano atavunjika YEYE mgongo......Mpaka awamu hii kuisha, nadhani Zanzibar itakuwa nchi iliyoendelea zaidi Afrika na wataachana na kitu kinachoitwa muungano.
Itakuwa kama nchi tajiri za ghuba kama EU, Kuwait nk. Asilimia kubwa ya watu na wafanyakazi ni wageni raia wanakaa tu lakini ni matajiri wa kutupwa. Rai wana previleges kibao.Nusu ya wafanyakazi Zanzibar wanatoka Bara..
Kadri wanavyopiga hatua wanazidi kuajiri watanganyika...
Watanganyika tuna matatizo mazito sana. Watu zaidi ya 50m tunaburuzwa na watu milioni 1?!Mkopo tunalipa bara wao wanapewa bure, huu muungano uvunjwe
Unakijua kisiwa cha Haiti au unazingua, vipi Madagascar? Ukerewe sio kisiwa pia?Na hakuma kisiwa duniani kikawa masikini isipokuwa Ni Zanzibar pekee.
Ni mambo ya kijinga snWatanganyika tuna matatizo mazito sana. Watu zaidi ya 50m tunaburuzwa na watu milioni 1?!