Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila kiswahili kiko perfect na italia.....
Ndivyo wenyewe wanavyojiita...na sio italy...
Ila kiswahili kiko perfect na italia.....
Ndivyo wenyewe wanavyojiita...na sio italy...
walau mozambique inafanana fanana kidogo na msumbiji,
na hii je?!....
Portugal = ureno!!
Nadhani magwiji na waasisi wetu wa lugha hawakuipenda nchi hii na wakoloni wake!! Lol
Moreno=dark skinned,dark haired.Walau Mozambique inafanana fanana kidogo na Msumbiji,
Na hii je?!....
Portugal = Ureno!!
Nadhani magwiji na waasisi wetu wa lugha hawakuipenda nchi hii na wakoloni wake!! lol
na ulaya je?????walitoa wapi hii ulaya??????
Tushaona hapo juu waswahilii hutanguliza U katika majina ya nchi, kwa hiyo "U" = Nchi ya.na ulaya je?????walitoa wapi hii ulaya??????
Tushaona hapo juu waswahilii hutanguliza U katika majina ya nchi, kwa hiyo "U" = Nchi ya.
Na laya = liar
Unless someone has a better theory.
Hivi hii tafsir ya Mozambique ilitoka wapi na kuwa Msumbiji?
Sasa Kenya itakuwa nini kwa kidhungu?
Au neno Zanzibar ni kiswahili kweli?
Labda ulipata jibu la:Marekani=United States ndio utaweza kujua hilo
Jitu jinga huwa haliwezi kuficha ujinga na upumbavu wake.Kwanini ilie?
<br />Hivi hii tafsir ya Mozambique ilitoka wapi na kuwa Msumbiji?<br />
<br />
Sasa Kenya itakuwa nini kwa kidhungu? <br />
<br />
Au neno Zanzibar ni kiswahili kweli?
sisi wataalamu wa vishazi tunafahamu sana kuwa language ( lugha) is arbitrary. ie. hakuna uhusiano wa neno na tafsiri yake haka kama kimatamshi linafanana fanafa. hapo hatukutafsiri majina hayo ya nchi bali tumetunga yetu ya kisw. na hakuna kuhoji. ni sawa na mchanga ( sand) kuitwa mchanga hakuna uhusiano wowote!!