Hapa kuna mawili kuna wale wanaoangalia fursa na kuna mapenzi. Suu ya mapenzi ni maudhi, kama ni kwa fursa, anaweza kwenda ila kwa mapenzi ni big no.Nkafikir miaka 15 ya ndoa.
Bado shost ako anaweza rejesha jesh kwa jamaa na wakaendelea na maisha mrad tu ndoa ya kwanza iwe imekufa kifo kikuu las ivyo atakua anajimezesha bomu
Sure Bratan..Sijui anataka kugundua nn huyu..Mi nadhani abaki alone tuu..Moyo ushakuwa suguMkuu Kaboom, huyo shost yake nae ni fungu la kukosa 'if at all nae anayataka mahusiano stable'. 15yrs bila bila, 40's huyo asipoangalia atakuwa sehemu ya vidume kupumzikia na kusepa tu.
Mkuu wako kwenye 40's sasa hivi
Hapo ndipo kwenye tatizo sasa..Huyu hata akija kuolewa huyo mwanamme ana kibarua cha ziadaAlikuwa anatafuta mwenye qualities za jamaa
Kvp mkuu?Wanaume wanashindwa kuelewa kuwa na sisi ni binadamu
Haya ni maneno aliyotamkiwa shots na boyfriend miaka 15 iliyopita. Wakati huo shost mapenzi yalikuwa yamejaa tele kwa jamaa. Hakuwa na jinsi aliuguza majeraha, wakati hup jamaa alishampata mwingine wa kifunga nae ndoa.
Yaliyotokea kwenye ndoa ni siri Yao lakini kwa kifupi ndoa chali na jamaa Yule anamwangukia shost penzi lianze upya, shost aliponieleza jana sikuwa na jibu la kumpa ukizingatia na joto la huku kwetu Kwamtogole na hasira niliyokuwa nayo. Mnaweza kumshauri shost hapa wakuu?
Mwambie maisha hayaendi hivyo hakuna wa kufanana...Chagua chagua ilikuwa kwa sana maana jamaa alikuwa na combination zote mzuri, shule, status kwahiyo alikuwa anatafuta wa kulingana nae
Shosti nae hana mtu hadi leo??
Wananifurahisha wanaume wanapoondoka kwa mbwebwe yakiwafika wanarudi wakiwa wadogo
Khaaaaa
Sasa hivi moyo wa jamaa ndio umempenda???
Shosti wanaume wote hawa hawaoni mpaka akale makombo???
Nafasi imejirudia sasa.Alikuwa anatafuta mwenye qualities za jamaa
Adjustments ni nyingi hapo, mlidate mkuwa vijana sasa anakuja na watoto wake ghafla tu umekuwa mama wa kamboKama anamfeel amkubalie tu mara nyingine inakuchukua miaka 20 kujifunza jambo la muda mchache isitoshe maneno ya wakati huo yalikuwa sahihi wakati huo mambo yashabadilika sasa. Watu hukosea elimu itakuwa mwenza.