nosspass
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 5,819
- 4,796
so kipindi chote anapakuliwa na wakwavi tofauti tofauti,,,,, atakuwa amekongoroka kweli kweli.....jamaa na yeye bwege mtozeni.....wote hawana jinsi......mwambie aanzishe vikao vya kumsent off....Chagua chagua ilikuwa kwa sana maana jamaa alikuwa na combination zote mzuri, shule, status kwahiyo alikuwa anatafuta wa kulingana nae