Moyo wangu haujawahi kukupenda

Moyo wangu haujawahi kukupenda

Wananifurahisha wanaume wanapoondoka kwa mbwebwe yakiwafika wanarudi wakiwa wadogo
 
Mwanaume akitafuta sababu ya kukuacha hataikosa
 
Kuna mambo madogo madogo kutoka kwa wanawake huwafanya wanaume kuwakimbia wanawake. Siku wanawake wakilifanyiakazi hili mahusiano uatadumu.
Jamani sasa mwanaume anakwambia muda wote mnadu hajawahi kukupenda mbona ni maudhi
 
Duuh..Kwa miaka 15??..Au bado alikuwa anauguza majeraha ya kuachwa
Mkuu Kaboom, huyo shost yake nae ni fungu la kukosa 'if at all nae anayataka mahusiano stable'. 15yrs bila bila, 40's huyo asipoangalia atakuwa sehemu ya vidume kupumzikia na kusepa tu.
 
Wanaelewa ila wanajitoa fahamu,sasa mtu kama huyo mie namkumbusha kua bwana wewe ulisema 12345,sasa ebu fikiria tena hapo kanikuta na mood nzuri akiwakuta wenyewe wamo ndio namwambia mie wala ulikua huniridhishi nilikua nastahmili tuu sasa kurudia matapishi sorry lakini siwezi..lol
Hahahahhahahaa uuwiiii umeniachaa hooiii mbayaaaa. Mamaaeee zake huyo jamaaa.
 
Mkuu Kaboom, huyo shost yake nae ni fungu la kukosa 'if at all nae anayataka mahusiano stable'. 15yrs bila bila, 40's huyo asipoangalia atakuwa sehemu ya vidume kupumzikia na kusepa tu.
Unataka amkubali jamaa yaishe? Akiamua kuokoka je?
 
Kakaa na mke miaka kumi na tano wemeachana.
Huyu miaka kumi na tano hajaolewa anatafuta wa type ya yule,,,,,,ebu tumrudie MUNGU maana ule mwisho unakaribia
 
Kakaa na mke miaka kumi na tano wemeachana.
Huyu miaka kumi na tano hajaolewa anatafuta wa type ya yule,,,,,,ebu tumrudie MUNGU maana ule mwisho unakaribia
Hakuwa mke miaka 15 waliachana miaka 15, jamaa akaoa Amelia na mke roughly miaka 5 ndoa ikafa natural death sasa anabeg kurudi kwa zilipendwa
 
Amkubali tu, sasa 40's atampata nani wa kuwa nae kwenye stable relationship?
Mimi ningeanza kudanga upya huyu kila akiniudhi hii sentence haitanitoka kichwani
 
Yaani huyo ni wa kumsamehe ila sio kumrudia... Unamuacha awe karibu aone baraka za !ungu zinavyokumwagikia katika mahusiano yako mapya.
 
Yaani huyo ni wa kumsamehe ila sio kumrudia... Unamuacha awe karibu aone baraka za !ungu zinavyokumwagikia katika mahusiano yako mapya.
Kwakweli mpendwa maana ndoa yake ingeshamiri wala asingekumbuka kama upo duniani
 
Hakuwa mke miaka 15 waliachana miaka 15, jamaa akaoa Amelia na mke roughly miaka 5 ndoa ikafa natural death sasa anabeg kurudi kwa zilipendwa
Nkafikir miaka 15 ya ndoa.
Bado shost ako anaweza rejesha jesh kwa jamaa na wakaendelea na maisha mrad tu ndoa ya kwanza iwe imekufa kifo kikuu las ivyo atakua anajimezesha bomu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom