Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,371
Bila shaka mkuu ulitendwaSometimes wanawake mnazingua bhana, Isikute hapo wewe ndo ulizingua, ulikuwa chanzo kupelekea ndoa yenu kuvunjika sasa unavuna ulichokipanda ulie tuu coz hakuna namna uliyataka mwenyewe wacha uisome namba. wanawake soma hiyoooooo........!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
HakikaUshauri wako uko biased, hujasikiliza pande zote. Umejudge kwa kusikia one side only.
LabdaMmh nahisi kuna details unatuficha, mpaka huyo mwanaume kakwambia kuwa unamtafta coz una maisha magumu, huyo mwanaume labda anahisi ulimpendea hela..or there is a bad behavior about u ndo maana akakutumia hiyo text Mamaa Africa
ThanksPole sana..
Na hilo pia litapita..
Utasahau..
Omba kwa sana.. Hiyo sasa ni opportunity ya kuwa karibu na Mungu wako
Wewe umeongea ukweli mtupu lkn mgumu kumeza ilishwah nikutaga...nlilia nkaapa cttomtaka tena maisha alikuwa n mpenz tu lkn alivyord nkajikuta moyo unarmed cjui kwann cna roho ngumu...yani nlilia mpka macho yakakauka akaja kunrdia kiulain Sana..ila now cpo naye tena...ila hyo point ngumu kumeza I wish ningekuwa nawezaCry all you need darling. Cry your heart out, ila ukishamaliza promise yourself you will never shed tears over the same man again.
Sisi wanawake, when we love, we love for real. Na ndo maana tukiachwa huwa hatuelewi. We still believe there is a chance ya kurekebisha mambo and to try again.
Ila wenzetu wapo tofauti and especially when they meet someone new. It's easy for them to move on.
Kubali yaishe sweets. Kubali kwamba umefika mwisho and he will no longer be happy with you. Na wewe kubali kwamba hutawahi kuwa happy kuishi na mtu ambae moyo wake upo kwingine. Let him go.
Kama una watoto, focus more on them. Kama umeajiriwa weka na kamradi kengine ka kukuweka bize. You are going to be okay. Usijiulize watu watakuonaje. Wewe sio wa kwanza kuachika na sio wa mwisho.
It's just a matter of time atakuja kukugongea wanting to come back. Hapo umesha move on na kukutana na mtu anaekupenda na kukuthamini.
Pole sana karibu pm kwa faraja zaidiHabari
Najua sikupaswa kupost hapa lakini namna navyojisikia anaeelewa ni Mungu pekee, nipo ndani na mwanangu nimelia sana nahisi nakosa control hadi mtoto naye analia, nikaona acha nipost Jf yamkini nikakaa sawa
Tumekuwa na mgogoro mwaka sasa ndani ya ndoa uliopelekea kutengana japo si kisheria
Si mgogoro mzito kwa watu wenye kuijua thamani ya ndoa mana ni miss understanding za kawaida hasa kwa sababu tumetofautiana kimitazamo kimalezi na hata mazingira tuliyokulia.
Nimekaa kimya mda mrefu sijamtafuta mwenzangu mana alisema niachane naye nisimtafute leo nikamkumbuka sana sababu ni mwanaume nayempenda kupita kiasi nikapiga moyo konde nisimtafute but hisia zikazidi akili nikampigia kama mara 7 hakupokea, nikamtext kumplease tuongee tofauti zetu kwa mara nyingine ikiwezekana tujirekebishe tuendelee na maisha.
Katika kuchart chart nikawa najaribu kujishusha nambembeleza tu yaishe akanitumia hii sms iliyolowanisha moyo wangu kwa machozi
Nanukuu
"" "
Hata hivyo, najua unaning'ang'ania kwasababu una maisha magumu, laiti ungekuwa na maisha mazuri, tusingesumbuana hapa kila leo. Nakuombea Mungu akupe maisha mazuri ili tuache kusumbuana, "
Nimehisi kama moyo unapasuka kwa sms hii, kiukweli sina maisha magumu kama nilivyoambiwa angalau naweza kula vizuri kuvaa mimi na mwanangu na mambo mengine mengi ila nishaambiwa maisha magumu ndo yanapelekea nimsumbue kutaka kuelewana.
Naombeni mnifariji mana moyo unabubujika machozi nimelia sana kwa maneno hayo toka kwa mume
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtanisamehe.Ushauri wako uko biased, hujasikiliza pande zote. Umejudge kwa kusikia one side only.
Yani kama nakuona ambavyo upo now hakuna kitu kinaenda kwako...kila mud unamuona yeye..ila piga moyo konde huyo hajakupenda kama ww ulivyompnda..kubali matokeo mpnz hayo n mambo y kawaida japo magumu mnooooo kukubaliana nayo...mm ilishanikutaga nkasema ngoja njrd yaishe tuendlee na mpnz wangu lkn ndo aliniona boya mara 100 akzd kunidharau...cjui wanaume wamebwaje...mwanaume hawez kukthamini upendo unaompa...mm kuna mkaka alinitolea maneno makali nice kufa..kila nkimuona moyo ulikuwa unapasuka...nakushaur u move on japo co rahc..na hakna step ngumu kama hyo..mm mwnyw ilinshndaga nkawa kinganganiz yalinikuta nlijikuta moyo wenywe unaelewa...kaza moyo sana kubali matokeo