Moyo unabubujika machozi

Moyo unabubujika machozi

Pole sana mpenzi, ila vumilia yanapita.
Ila naona kosa lako unatumia hasira sana.
Mf alisema usimtafute na ww ukakausha .yan hapo ulikuwa unauzika upendo wenu, mtafute kwa wakat mwingine muongee mwambie umuhimu wa kulea mtt pamoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Polee sana dada!

Yaani nakutana na thread za migogoro ya ndoa kila kona, mpaka naona sikufanya makosa kusogeza mbele vikao vya harusi!
 
Mnawatoto wangapi? Tuanzie hapo kwanza, ili tukushauri.
 
Habari

Najua sikupaswa kupost hapa lakini namna navyojisikia anaeelewa ni Mungu pekee, nipo ndani na mwanangu nimelia sana nahisi nakosa control hadi mtoto naye analia, nikaona acha nipost Jf yamkini nikakaa sawa

Tumekuwa na mgogoro mwaka sasa ndani ya ndoa uliopelekea kutengana japo si kisheria

Si mgogoro mzito kwa watu wenye kuijua thamani ya ndoa mana ni miss understanding za kawaida hasa kwa sababu tumetofautiana kimitazamo kimalezi na hata mazingira tuliyokulia.

Nimekaa kimya mda mrefu sijamtafuta mwenzangu mana alisema niachane naye nisimtafute leo nikamkumbuka sana sababu ni mwanaume nayempenda kupita kiasi nikapiga moyo konde nisimtafute but hisia zikazidi akili nikampigia kama mara 7 hakupokea, nikamtext kumplease tuongee tofauti zetu kwa mara nyingine ikiwezekana tujirekebishe tuendelee na maisha.

Katika kuchart chart nikawa najaribu kujishusha nambembeleza tu yaishe akanitumia hii sms iliyolowanisha moyo wangu kwa machozi

Nanukuu

"" "
Hata hivyo, najua unaning'ang'ania kwasababu una maisha magumu, laiti ungekuwa na maisha mazuri, tusingesumbuana hapa kila leo. Nakuombea Mungu akupe maisha mazuri ili tuache kusumbuana, "

Nimehisi kama moyo unapasuka kwa sms hii, kiukweli sina maisha magumu kama nilivyoambiwa angalau naweza kula vizuri kuvaa mimi na mwanangu na mambo mengine mengi ila nishaambiwa maisha magumu ndo yanapelekea nimsumbue kutaka kuelewana.

Naombeni mnifariji mana moyo unabubujika machozi nimelia sana kwa maneno hayo toka kwa mume











Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli inauma, pole sana aunty.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duhh kuna baadhi ya WANAUME wenzetu. Ni manyang'au ...hata kama haumtaki " siunatafuta njia nzuri tu ya kuachana nae . Kuliko kumpatia manyanyaso ambayo yanaweza kupelekea kuuchukua uhai wake ...

Dooh pole dada " muda ni hakimu mzuri na hakika hayo ni mapito utamsahau tu " .....

Na ulimwengu utakupatia hitaji lako la kwel la MOYO wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari

Najua sikupaswa kupost hapa lakini namna navyojisikia anaeelewa ni Mungu pekee, nipo ndani na mwanangu nimelia sana nahisi nakosa control hadi mtoto naye analia, nikaona acha nipost Jf yamkini nikakaa sawa

Tumekuwa na mgogoro mwaka sasa ndani ya ndoa uliopelekea kutengana japo si kisheria

Si mgogoro mzito kwa watu wenye kuijua thamani ya ndoa mana ni miss understanding za kawaida hasa kwa sababu tumetofautiana kimitazamo kimalezi na hata mazingira tuliyokulia.

Nimekaa kimya mda mrefu sijamtafuta mwenzangu mana alisema niachane naye nisimtafute leo nikamkumbuka sana sababu ni mwanaume nayempenda kupita kiasi nikapiga moyo konde nisimtafute but hisia zikazidi akili nikampigia kama mara 7 hakupokea, nikamtext kumplease tuongee tofauti zetu kwa mara nyingine ikiwezekana tujirekebishe tuendelee na maisha.

Katika kuchart chart nikawa najaribu kujishusha nambembeleza tu yaishe akanitumia hii sms iliyolowanisha moyo wangu kwa machozi

Nanukuu

"" "
Hata hivyo, najua unaning'ang'ania kwasababu una maisha magumu, laiti ungekuwa na maisha mazuri, tusingesumbuana hapa kila leo. Nakuombea Mungu akupe maisha mazuri ili tuache kusumbuana, "

Nimehisi kama moyo unapasuka kwa sms hii, kiukweli sina maisha magumu kama nilivyoambiwa angalau naweza kula vizuri kuvaa mimi na mwanangu na mambo mengine mengi ila nishaambiwa maisha magumu ndo yanapelekea nimsumbue kutaka kuelewana.

Naombeni mnifariji mana moyo unabubujika machozi nimelia sana kwa maneno hayo toka kwa mume











Sent using Jamii Forums mobile app
pole madam,Sms hiyo ikupe chachu ,hari na nguvu ya kupambana zaidi na zaidi ili ufanikiwe zaidi ya ulipo.
Make money mamy,make your life more better,pambana bila kuchoka huku ukimlilia Mungu wako.
PROVE HIM WRONG,muonyeshe ajue kuwa unaweza na umeweza bila yeye na hata ulimwengu ujue hilo,,Weep not dear mama
 
Pole... Migogoro katika maisha haikwepeki ikichangiwa zaidi na tofauti zetu na zenu.

Samahani wanawake kwa kulisema hili:

Nyie ni watu wagumu saana wa kudeal nao mgogoro unapotokea. Na sio kupenda kwenu ndivyo mlivyoumbwa.

Ndiyo maana mimi mwanamke akishakasirika tu nakaa kimya...
 
Keith Urban -Blue Ain't Your Color

I can see you over there
Starring at your drink
Watchin' that ice sink
All alone tonight
And chances are,

You're sittin' here in this bar
'Cause he ain't gonna treat you right
Well, it's probably not my place
But I'm gonna say it anyway,

'Cause you look like
You haven't felt the fire
Had a little fun
Hadn't had a smile in a little while
Baby,

Blue looks good on the sky
Looks good on that neon buzzin' on the wall
But darling, it don't match your eyes
I'm tellin' you
You don't need that guy
It's so black and white
He's stealin' your thunder
Baby, blue ain't your color,

I'm not tryna
Be another just
Pick you up
Kinda guy
Tryna drink you up
Tryna take you home,

But I just don't understand
How another man
Can take your sun
And turn it ice cold
Well, I've had enough to drink
And it's makin'
Me think that I just might
Tell you if I were a painter I wouldn't change ya
I'd just paint you bright
Baby,

'Cause blue looks good on the sky
Looks good on that neon buzzin' on the wall
But darling, it don't match your eyes
I'm tellin' you
You don't need that guy
It's so black and white
He's stealin' your thunder
Baby, blue ain't your color
No no no
Blue ain't your colour baby.

Be crazy, Be Weird, Be whatever coz life is too short to be anything but HAPPY.
 
Mungu alipokuumba kwa upekee ,uzuri wa sura na umbo na moyo hekima na upendo, hakukosea !!!.


Lkn ni yeye ambaye ameruhusu upitie huo wakata wasasa , ninan anajua kama amekuandalia kitu bora zaidi mbele??? Nan anajua kama yawezekana kabisa anataka kukufundisha kitu fulan??? Ninan anajua kua yawezekan kupitia hilo anataka uyafunue macho yako nausimame ww kama ww???.


Yaan ilo lako dogo mpaka ukoswe raha kiasi cha kumfanya mtoto akoswe raha pia???.

Nakwann kama shida nihisia za mazoea, usizikabidhi kwa mbingu nauwe huru?? Utaishi kwa muda gan namaisha yaivo??.

Mtu anakuona kama mzigo, umempenda sababu unashida??? Hajui tena kua mmezaa alikupenda ktk wakat ambao bado ulikua namaisha hayohayo????...nabado unakomaa tuuu???.

Mbona unanguv kubwa sana lkn hauichukulii nguvu.
changamana na rafiki zako wapendwa
enjoy na pumzisha mwili wako
tembea ,tembeaa usikae tuuuuu
fanyisha mwili wako maziezi
Omba Mungu

Na usikae kumuona mtoto wako kua nimzigo .


Kama Mwanaume, atakuja tu hata km sio baba mtoto wako,, uzuri sisi wanaume ,tunaangaliaga Mridhiko wa roho, tumia hii changamoto unayoipitia kujifunza na kujiongezea thaman zaidi nazaidi.



Nb...humu ndan mafis ni mengi, Una matatizo lkn kuna mafis yatageuza matatizo yako kujinufaisha...so UWE MAKIN.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom