Moyo sukuma damu.. RIP Bro

Moyo sukuma damu.. RIP Bro

Status
Not open for further replies.

Namge

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2016
Posts
1,446
Reaction score
1,991
f1fb9c2f0cc1c00e68483c7d2355564b.jpg
f3b7e3cf037e06a5ca585cd9bacabd99.jpg
23dc26dde0b422a1f74ab346c085c749.jpg
 
Ngoja niangalie tarehe, labda ni ile sikukuu ya wajinga
 
amrchukua maamuzi magumu. Ila wenzake wanaendelea kula dunia
 
amrchukua maamuzi magumu. Ila wenzake wanaendelea kula dunia
 
Kama bado hajajiua afanye haraka ili tumzike leo leo,tumsahau tuendelee na mambo mengine!
 
Huwezi jua labda alikuwa mfanyakazi hewa.. Plus uchumi wa Magufuli.. Lazima tu Utafte breaking point
 
Masha ni kama riadha, ukichoka unakaa pembeni wenzako wanaliendeleza .
 
Kweli mapenzi huumiza lakini kufikia hatua ya kufa kwa ajili ya mwanamke ni UBOYA wa daraja la kwanza. Labda kama kuna kurogana, ila handsome kabisa huyu alikosa nini duniani hapa ambapo hata ukiamua kuwa nao saba ni juu yako. Kwanza mwanamke mwenyewe alikuwa HAMPENDI na akathibitisha hilo kwa kwenda kwa jamaa mwingine. Kilichomuua huyu mura ni fedheha labda. Ila si kosa lake, alikosa mwalimu mzuri wa maisha na mahusiano akayavagaa mambo kwa pupa ni bwana mdogo tu wa 1990.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom