Mkuu hii
Tuwekee ya ukweli na picha ya huyo rose kama si mariumMkuu hii
1. barua siyo kweli,
2. huyo demu anaitwa Marium
3. Hii barua siyo aliyoacha marehemu
Fatilita vizuri
Kikubwa ni fundisho kuhusu barua sio ya kweli sio dili hivi unaenda kujitoa uhai sababu ya demu hujui kama familia yako inakutengemea pamoja na taifa lakoMkuu hii
1. barua siyo kweli,
2. huyo demu anaitwa Marium
3. Hii barua siyo aliyoacha marehemu
Fatilita vizuri
We nawe poyoyo nambari wane unamtawaza demu baada ya kukata kimba duuuuuuh......Ila najua huyo mwanamke atakua anakufikilia hadi atakapokufa boya weweUnajuwa bana mapenzi ni ujinga sana. Mimu nadhani aalikosa washauri nina imani hakuwahi kupenda kama mimi kufika mahali mwanamke unamtawaza akishusha vitu vyake,kumfulia nguo zake za ndani 6 yrs siku akabadilika nakusema wewe sio dream yake. Mimi nilisimama namshukuru Mungu nilijifunza jambo moja hata ukipoteza vyote bado ipo njia kufikia malengo yangu. Jambo moja kubwa sana nina amini ambalo wengi hawaamini niule usemi unasema kulipiza kisasi kwa wabaya wako sio kujiuwa au kukata tamaa ila kusimama kwa miguu yako nakufanya kazi kwa bidii ukiwaonyesha unaweza. Kukata tamaa nikuwapaushindi wabaya wako. Polen sana
Mkuu na wewe zinakukumbusha nini ulivokaribiaga kujiua....pole sanaHizi habari zisiwe zinawekwa humu aisee futa hii moderator