Moyo mpweke

Moyo mpweke

Afu una kesi kubwa na mimi ujue ooh lol

"The greatest happiness of existence is to love and to be loved"
But ni afya zaidi kuanza kujipenda wewe mwenyewe kabla ya watu wengine hawajaanza kukupenda. Na sio muda wote watu watakupa furaha unayoitaka, so it's better ukajifunza kujipa furaha wewe mwenyewe

Tunawish sana kupenda na kupendwa na wale tunaowataka, but ikitokea hakuna mtu anayekupenda in return, au hawajali ule upendo wako, utafanyaje? Utalazimisha watu kukupenda?, hell no. Afu ukijua kujipenda pia ndo unajua na thamani yako na ya furaha yako. So mtu akikuzingua unamuangalia tu afu unamcheka coz there is no way utaruhusu mtu apoteze furaha yako kwa kukutreat anyhow. You simply deserve to be happy, whether upo single au una mtu. Happiness is a choice

Mmmhhh wewe mimi ntakuwezea wapi....haya niambie hiyo kesi yangu ni ipi
 
Mmmhhh wewe mimi ntakuwezea wapi....haya niambie hiyo kesi yangu ni ipi
Teh na kwa nini usiniweze
Kesi yangu ni kwamba niliweka order ya keki tangu mwaka jana lakini hadi na mwaka huu kimyaaaa
 
Kwa mazingira niliyokAa nae tangu nimfaham siwezi mfanya mpenzi
Mbona ndege inabadili gia angani sembuse weye. Jaribu utaona na mapenzi yatadumu mamito. Dunia ni kujaribu na mapenzi ni hisia tu chongo unakigeuza kuwa kengeza
 
Kotelyimola hapana bwana sina hisia nae
Naona unaanza kuwa na hisia. Fumba macho mfikirie utaanza kumpenda. Kumbuka mwanamke huwa hapendi bali hupendwa. Aisee ana dushe zuri hilo utapenda mamito. Jioni hii mwandikie ujumbe 'I miss U darling' utaona.
 
Naona unaanza kuwa na hisia. Fumba macho mfikirie utaanza kumpenda. Kumbuka mwanamke huwa hapendi bali hupendwa. Aisee ana dushe zuri hilo utapenda mamito. Jioni hii mwandikie ujumbe 'I miss U darling' utaona.

Aigoooo, Una nini lakni, simpendi hata yy hanipendi maana kishawahi Nambia hivyo,
 
Aigoooo, Una nini lakni, simpendi hata yy hanipendi maana kishawahi Nambia hivyo,
Hakuna mwanaume anayeweza kujivunga katika k bwana tusitaniane!!!!! Alikuwa anakutania ila moyoni anajisemea kuwa nitampata lini. Jiongeze mamito
 
Hakuna mwanaume anayeweza kujivunga katika k bwana tusitaniane!!!!! Alikuwa anakutania ila moyoni anajisemea kuwa nitampata lini. Jiongeze mamito

Yule hapana na wewe hujui chochote kuhusu yeye usimpigie debe, nielewe mpendwa wangu, nishauri kingine
 
Back
Top Bottom