Umesema kweli: Sasa nataka nimsaidie ndugu Belo kuhusu rekodi ya mafanikio ya Madrid na utamaduni wao wa kufukuza makocha. Alisema kwamba Madrid wameanza kufukuza makocha mwaka 2002. Ngoja nitoe takwimu kwa faida yake na ya wengine wanaopenda kujua, maana hii ni JF Home of Great thinkers:
Makocha wa Real De Madrid CF tangu mwaka 1992:
1. Radomir Antic =91-92.
2. Leo Beenhakker = 92(miezi michache)
3. Benito Floro = 92-94.
4. V. Del Bosque =94(miezi michache)
5. Jorge Valdano = 94-96.
6. V. Del Bosque = 96(miezi michache)
7. Arsenio Iglesias = 96(miezi michache)
8. Fabio Capello = 96-97.
9. Jupp Heynckes =97-98(aliwapa ubingwa wa UCL na akatimuliwa)
10. Jose A. Camacho =98
11. Guus Hiddink =98-99.
12. John Toshack =99.
13. V.Del Bosque = 99-2003.(aliwapa UCL, super cup, na la liga) alitimuliwa baada yakutolewa kwenye nusu fainali za UCL, walifungwa na Juventus, enzi hizo Michael Owen alikuwa Real Madrid.
14. Carlos Queroz(msaidizi wa SAF) = 2003-2004.
15. J.A. Camacho = 2004.
16. Mariano Remon = 2004.
17. Luxemburgo = 2004.
18. Juan Lopez Caro = 2005-2006.
19. Fabio Capello = 2006-2007(aliwapa ubingwa wa la liga, akatimuliwa,D.Beckham alikwa Real Madrid enzi hizo.)
20. Bernd Schuster = 2007-2008.
21. J. Ramos = 2008-2009.
22. Manuel Pelegrin 2009-2010.
23. Jose Mourinho = 2010-2013[kawapa Copa de Rey, ubingwa wa La Liga, nusu fainali 3 za UCL, hata hivyo katimuliwa.)
24. Carlo Ancelotti.
Makocha wa Real De Madrid CF tangu mwaka 1992:
1. Radomir Antic =91-92.
2. Leo Beenhakker = 92(miezi michache)
3. Benito Floro = 92-94.
4. V. Del Bosque =94(miezi michache)
5. Jorge Valdano = 94-96.
6. V. Del Bosque = 96(miezi michache)
7. Arsenio Iglesias = 96(miezi michache)
8. Fabio Capello = 96-97.
9. Jupp Heynckes =97-98(aliwapa ubingwa wa UCL na akatimuliwa)
10. Jose A. Camacho =98
11. Guus Hiddink =98-99.
12. John Toshack =99.
13. V.Del Bosque = 99-2003.(aliwapa UCL, super cup, na la liga) alitimuliwa baada yakutolewa kwenye nusu fainali za UCL, walifungwa na Juventus, enzi hizo Michael Owen alikuwa Real Madrid.
14. Carlos Queroz(msaidizi wa SAF) = 2003-2004.
15. J.A. Camacho = 2004.
16. Mariano Remon = 2004.
17. Luxemburgo = 2004.
18. Juan Lopez Caro = 2005-2006.
19. Fabio Capello = 2006-2007(aliwapa ubingwa wa la liga, akatimuliwa,D.Beckham alikwa Real Madrid enzi hizo.)
20. Bernd Schuster = 2007-2008.
21. J. Ramos = 2008-2009.
22. Manuel Pelegrin 2009-2010.
23. Jose Mourinho = 2010-2013[kawapa Copa de Rey, ubingwa wa La Liga, nusu fainali 3 za UCL, hata hivyo katimuliwa.)
24. Carlo Ancelotti.
Jurgen Klopp,diego simeone wa a.m,hao wote ni makocha sahihi wa kuifundisha man u,na kama hao hawakufai au utaona ni makocha wa muda mfupi na kama unahitaji ambae ana experience na mpira wa uingereza basi kwangu mimi hata harry redknap ni kocha mzuri wa kuifundisha man u napenda sera zake,aina ya mpira wake na msimamo aliokuwa nao, spurs ingawaje alikuja kufukuzwa na hata qpr kushuka daraja i blv ni kocha mzuri(huyu nimeamua kumtolea maelezo coz usije ukaleta critism kwamba mbona qpr imeshuka daraja.?) kumbuka aliipeleka spurs uefa na inter alikula magoli 6-5 na kumbuka aina ya mpira ambao spurs ilicheza