Moyes sio kocha sahihi wa manchester

Moyes sio kocha sahihi wa manchester

KAMA ARSENE WENGER AMEWEZA KUKAA PALE
EMIRATES MIAKA 9 BILA KUCHUKUA KIKOMBE
HATA CHA KAHAWA NA MASHABIKI MISUKULE
WA ARSE8 NDANI YA MIAKA HIYO YOTE 9
WAMEVUMILIA NA MIAKA YOTE HIYOO WAMEKUA
WAKIJIGAMBA WANA TIMU BORA WKT MWISHO
WA MSIMU WANAAMBULIA PATUPU
NASHANGAZWA NA BAADHI YA MASHABIKI WA
MAN UTD WANAOMPONDA MOYES AMBAE NDIO
KWANZA MSIMU WAKE WA KWANZA OLD
TRAFFORD,NAJUA MNAWEZA KUSEMA KUA ARSE8
NI TIMU NDOGO KULINGANISHA NA MAN UTD
LKN MBONA MISUKULE YA ARSE8 IMEWEZA
KUVUMILIA NA MPK SASA HV BADO INAENDELEA
KUVUMILIA WKT HAINA KIKOMBE
CHOCHOTE,ACHENI ZENU BANA MWACHENI
MOYES AJENGE TIMU YAKE THEN BAADA YA
MISIMU 3 IKIWA MAMBO HAYAJAENDA SAWA
HAPO NDIO TUNAWEZA KUONGEA MINGINE,BT
FOR NW MUACHENI MOYES AJENGE TIMU YAKE.

send near Oxford, United Kingdom
 
Kuna aibu kubwa inakuja Man U mpaka April itashika nafasi ya 19 kwenye ligi. Inatarajia kupoteza mechi 14 na kutoa sare 3 katika mechi 17 zilizosalia.
 
Siku nakutana na Moyes Nampiga Gumi la Roho....
 
KAMA ARSENE WENGER AMEWEZA KUKAA PALE
EMIRATES MIAKA 9 BILA KUCHUKUA KIKOMBE
HATA CHA KAHAWA NA MASHABIKI MISUKULE
WA ARSE8 NDANI YA MIAKA HIYO YOTE 9
WAMEVUMILIA NA MIAKA YOTE HIYOO WAMEKUA
WAKIJIGAMBA WANA TIMU BORA WKT MWISHO
WA MSIMU WANAAMBULIA PATUPU
NASHANGAZWA NA BAADHI YA MASHABIKI WA
MAN UTD WANAOMPONDA MOYES AMBAE NDIO
KWANZA MSIMU WAKE WA KWANZA OLD
TRAFFORD,NAJUA MNAWEZA KUSEMA KUA ARSE8
NI TIMU NDOGO KULINGANISHA NA MAN UTD
LKN MBONA MISUKULE YA ARSE8 IMEWEZA
KUVUMILIA NA MPK SASA HV BADO INAENDELEA
KUVUMILIA WKT HAINA KIKOMBE
CHOCHOTE,ACHENI ZENU BANA MWACHENI
MOYES AJENGE TIMU YAKE THEN BAADA YA
MISIMU 3 IKIWA MAMBO HAYAJAENDA SAWA
HAPO NDIO TUNAWEZA KUONGEA MINGINE,BT
FOR NW MUACHENI MOYES AJENGE TIMU YAKE.

send near Oxford, United Kingdom
Man U Sio timu ya Majaribio akwendege zake mmmxiiiiiiiiiiiiiiiiiiiuuuu!
 
Kuna aibu kubwa inakuja Man U mpaka April itashika nafasi ya 19 kwenye ligi. Inatarajia kupoteza mechi 14 na kutoa sare 3 katika mechi 17 zilizosalia.

Pole. Ndoto za mchana
 
waswahili wanasema siku zote wa mbili havai moja. ulitegemea nini kwa kocha ambaye hana track record ya kubeba hata kombe la mbuzi kufanya kile ambacho hajawahi kukifanya.

hii timu bora iendelee kuboronga na mapato yapungue hawa washenzi wamerikani washindwe kulipa madeni yao. wapuuzi kabisa akina glaziers.

moyez alifanya kosa kubwa kufukuza benchi lote la ufundi la SAF wakati hajui mila, miiko, desturi, ya Timu anayokwenda kufundisha na mbaya zaidi timu iliyofundishwa na mtu mmoja zaidi ya miaka 26.

Vibonde wote wanarekebisha records zao mbaya mbaya utasikia mara ya mwisho kushinda ni miaka 25, 30, 50 iliyopita.
 
KAMA ARSENE WENGER AMEWEZA KUKAA PALE
EMIRATES MIAKA 9 BILA KUCHUKUA KIKOMBE
HATA CHA KAHAWA NA MASHABIKI MISUKULE
WA ARSE8 NDANI YA MIAKA HIYO YOTE 9
WAMEVUMILIA NA MIAKA YOTE HIYOO WAMEKUA
WAKIJIGAMBA WANA TIMU BORA WKT MWISHO
WA MSIMU WANAAMBULIA PATUPU
NASHANGAZWA NA BAADHI YA MASHABIKI WA
MAN UTD WANAOMPONDA MOYES AMBAE NDIO
KWANZA MSIMU WAKE WA KWANZA OLD
TRAFFORD,NAJUA MNAWEZA KUSEMA KUA ARSE8
NI TIMU NDOGO KULINGANISHA NA MAN UTD
LKN MBONA MISUKULE YA ARSE8 IMEWEZA
KUVUMILIA NA MPK SASA HV BADO INAENDELEA
KUVUMILIA WKT HAINA KIKOMBE
CHOCHOTE,ACHENI ZENU BANA MWACHENI
MOYES AJENGE TIMU YAKE THEN BAADA YA
MISIMU 3 IKIWA MAMBO HAYAJAENDA SAWA
HAPO NDIO TUNAWEZA KUONGEA MINGINE,BT
FOR NW MUACHENI MOYES AJENGE TIMU YAKE.

send near Oxford, United Kingdom

Chifu, watu wengine sijui wametokea wapi?!
Kuwa shabiki wa timu, ina maana ya kuipenda na kuipa support kwenye shida na raha.....

Sasa hawa glory hunters ndio shida yao....

Haya alitaka Kagawa na Fabio wacheze, wamecheza.....Fabio kuingia tu anafanya foul ya kipuuzi na kuambulia kadi nyekundu....Shinji alijitahidi ila siyo kwa kiwango alichonacho......halafu mtu anamtupia lawama kocha!!!!

Kama hawezi kuwa mshabiki wa #ManUnited ahamie huko wanakofanya vizuri......
 
Timu angepewa pep ile. Sema babu anawivu sana, anajua yakija majembe yatavunja record yake then mchango wake kwa man u utaonekana ni jambo la kawaida.
 
watu hawamlaumu moyez bali ni selection process ya babu na mbaya zaidi ya mtu ambaye hakuwa na track record na vigezo vya kuongoza timu kubwa yenye mafanikio.

unajenga nini? kama mbigili, visiki na miti vilishachimbuliwa, na nyumba nzuri ikajengwa well furnished unahitaji kujenga nini? zaidi ya kumtafuta mtu atakayeitunza na kuihudumia hiyo nyumba vizuri !

Bayern Munich walimtimua kocha ambaye aliwaletea mafanikio ambayo hawajawahi kuyaonya miaka ya karibuni pamoja na kutwaa ubingwa wa ulaya, ujerumani na vikombe vya ndani, lakini wakaenda kumchukua 'Master'.

Babu dhambi ya ukabila na ubinafsi wake na akina glaziers kiwewe cha kulipia madeni yao vinawatafuna sasa hivi.
 
Haituusu sana ii sisi wapitaji tu ngoja waje wenyewe
cc: Nzi wa mslani
 
Pole kaka sio mke huyo tafuta raha .welcome where footbal belongs
 
Huwezi kubadilisha kabila ukizaliwa Mgogo utaendelea kuwa Mgogo sana watasema labda Chotara wa Kigogo au Mgogo aliyeendelea au Mmarekani aliye na asili ya Kigogo.
 
Swala la mtu kusema amestaafu Manchester afu baada ya muda akarudi sio geni..alifanya hivyo Scholes tunakumbuka.
Sasa nafikiri nikipindia muafaka Sir Alex utengue maamuzi yako ebu rudi kwenye Manchester yetu...huyu mzee uliyetuchagulia tunamuheshimu lakini naona kazi uliyompa imemshinda.
Kwa kweli hii sio Manchester United tena nahisi tunakaribia kuwa Leeds United
 
Swala la mtu kusema amestaafu Manchester afu baada ya muda akarudi sio geni..alifanya hivyo Scholes tunakumbuka.
Sasa nafikiri nikipindia muafaka Sir Alex utengue maamuzi yako ebu rudi kwenye Manchester yetu...huyu mzee uliyetuchagulia tunamuheshimu lakini naona kazi uliyompa imemshinda.
Kwa kweli hii sio Manchester United tena nahisi tunakaribia kuwa Leeds United

ha ha ha ha ha haaaaaaaa ferg kasema anawaletea kibadeni na julio mwezi wa pili.......man u hoyeeeeeeeeee......sema man wakifungwa huwa nasika raha utamu,utamu rahaaaaaa..
 
Back
Top Bottom