Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,914
- 10,273
Watu wengi wanataka Moyes afukuzwe but kuna kocha gani ambae yuko available atakuja kumrithi?
Kwa viwango vya wachezaji wa Man United only SAF ndio anaweza kupata mafanikio na hao wachezaji hata angekuja Klopp au Mourinho asingefanya chochote na wachezaji kama Cleverley,Giggs,Anderson,Fabio,Buttner
Kwa viwango vya wachezaji wa Man United only SAF ndio anaweza kupata mafanikio na hao wachezaji hata angekuja Klopp au Mourinho asingefanya chochote na wachezaji kama Cleverley,Giggs,Anderson,Fabio,Buttner