Moyes sio kocha sahihi wa manchester

Moyes sio kocha sahihi wa manchester

Moyes ni si kocha sahihi kwa sababu sasa mnashika # 7.
Naona unataka kubadilisha kabisa mada inayojadiliwa hapa,hizo statistics za makocha wa Madrid sio mada.Mwanzo umesema kwamba sababu ya Madrid kuchukua makombe mengi ya UCL ni kufukuza makocha nikakwambia sababu ya Madrid kuchukua ubingwa mara nyingi walichukua ubingwa mara 5 mfululizo kombe lilivyoanzishwa(1955-1960) wakati ambao hata timu zinazoshiriki kwenye mashindano zilikuwa chache.Del Bosque ndio kocha wa mwisho kuwapa mafanikio (2 UCL+la liga) baada ya kumfukuza yeye karibia kila msimu wanqbadilisha makocha but hakuna mafanikio ya maana waliyopata ukilinganisha na investment ya wachezaji waliofanya.
Lets go back to the topic,Why Moyes is wrong coach for Man United
 
Moyes si kocha sahihi Man Utd:
1. Hajawahi kuwa bingwa
2. Anatengeneza makundi.
3. Hajui kusoma mchezo na kufanya mabadiilko yanayofaa.
4. Moyes hujui kusajili.(mfano alimsajili Fellaini kwa kazi gani?)
5. Moyes hana hamasa(amezubaa sana)
to be honest kweli watapata tabu ila as long as ninavyowajua watasajili,nimemuona klopp sub anazofanya na nimemuona simeone sub anazofanya na kikosi anchopanaga nimeridhika navyo thats y naamini katika wao na pili ninaamini watasajili,kwa aina ya mpira wanaoutaka watasjili wachezaji wenye uwezo wa kupiga pasi fupifupi za haraka kitu ambacho kinahitaji wachezaji wacheze mara kwa mara wazoeane ktu ambacho moyes hajakifanya alikuwa anafanya rotation ya wachezaji wa manu amba[o team chemistry ikapotea kabisa ,kuhusu redknapaa nakubaliana na ww no argument hapo,na kama klopp anakuwa kocha wa germany basi man u pale kuna timu ya scout makocha wapo wengi duniani sio lazima tuchukue wa ulaya au tunaowajua sisi,anani alikuwa anamjua martino wa barca kabla hajatua barca so scout inaweza kufanya kazi yake kama hakutakuwa na interest za mtu binfsi kwenye kuteua kocha as long as best available ndio anaehitajika coz ukiachilia mbali sababu nyingine naamini moyes ameteuliwa coz ni mscotish mwenzake ferguson
 
to be honest kweli watapata tabu ila as long as ninavyowajua watasajili,nimemuona klopp sub anazofanya na nimemuona simeone sub anazofanya na kikosi anchopanaga nimeridhika navyo thats y naamini katika wao na pili ninaamini watasajili,kwa aina ya mpira wanaoutaka watasjili wachezaji wenye uwezo wa kupiga pasi fupifupi za haraka kitu ambacho kinahitaji wachezaji wacheze mara kwa mara wazoeane ktu ambacho moyes hajakifanya alikuwa anafanya rotation ya wachezaji wa manu amba[o team chemistry ikapotea kabisa ,kuhusu redknapaa nakubaliana na ww no argument hapo,na kama klopp anakuwa kocha wa germany basi man u pale kuna timu ya scout makocha wapo wengi duniani sio lazima tuchukue wa ulaya au tunaowajua sisi,anani alikuwa anamjua martino wa barca kabla hajatua barca so scout inaweza kufanya kazi yake kama hakutakuwa na interest za mtu binfsi kwenye kuteua kocha as long as best available ndio anaehitajika coz ukiachilia mbali sababu nyingine naamini moyes ameteuliwa coz ni mscotish mwenzake ferguson
Kwa hawa wachezaji only SAF ndio anaweza kupata matokeo mazuri,wakija hao watachukua almost misimu 2 kuleta wachezaji wanaofaa kwenye mifumo yao.Soma hizo link hapo utajua kwamba timu inahitaji kujengwa upya


United's flops in the spotlight: Sportsmail's brutal assessment of the 27 players Moyes has used | Mail Online

BBC Sport - Manchester United: Robbie Savage says 12 players should go

http://espnfc.com/blog/_/name/espnfcunited/id/10887?cc=3888
 
Kwa hawa wachezaji only SAF ndio anaweza kupata matokeo mazuri,wakija hao watachukua almost misimu 2 kuleta wachezaji wanaofaa kwenye mifumo yao.Soma hizo link hapo utajua kwamba timu inahitaji kujengwa upya


United's flops in the spotlight: Sportsmail's brutal assessment of the 27 players Moyes has used | Mail Online

BBC Sport - Manchester United: Robbie Savage says 12 players should go

Wielding Manchester United's hypothetical axe: Who stays, who goes? by Nick Miller - ESPN FC

he speaks everything correct nakubaliana na yy asilimia mia.
 
Wapenzi wa Man utd jueni Moyes sio kocha mbaya kihivyo. Tatizo lenu kubwa ni hiyo timu imejaa wachezaji walio very below Man utd standard kwa zaidi ya miaka 2,3 kama sio zaidi. Fergie na jopo lake walikuwa wanajua jinsi ya kuwachezesha kupata ushindi. Tatizo kubwa linalowakabiri ni wachezaji kutokuwa na uaminifu kwa Moyes na jopo lake pia inawezekana uaminifu baina ya wachezaji usiwepo. Hilo la pili (uaminifu miongoni mwa wachezaji) linatokea kwa timu yoyote iliyo katika hali mbaya kiushindani, jambo kubwa ni kuwa na kocha anayeweza kumotivate na ku-inspire wachezaji kucheza vizuri nadhani hilo ndo linalowatengenisha makocha kama Fergie, Wenger, Mourinho, Capello, Sacchi na wengine. Kocha akiwa na sifa kama hizo mchezaji yoyote anakuwa na ari ya kucheza kumpendezesha kocha. Mpeni muda confidence aliyoijenga kwa wachezaji alipokuwa Everton haikuwa fluke
 
haya sasa hili galasa letu moyes bado anaendelea kuonyesha ugalasa wake tu katika watu anaowaahitaji eti cavani ndio top man u target na juzi zimeanza rumours kwamba man u tupo tayari kubi euro m 37 kwa ajili ya mata dah so bad kuona kwamba man u hatuna shida sana na namba 10 wala striker aina ya cavani bali tuna shida ya kufa mtu ni namba 8,6 na wings pamoja na mabeki yy eanamtaka kumsajili ata wakati mata kumi na pale rooney yupo hata kama anaumia kagawa bvb alikuwa anacheza namba kumi,kwa hiyo anaweza kucheza pia hiyo so bad hamtumii,tena hata katika mechi muhimu.na wakati timu na majeruhi kweeli huyu jamaa hajui nini anafanya
 
haya sasa hili galasa letu moyes bado anaendelea kuonyesha ugalasa wake tu katika watu anaowaahitaji eti cavani ndio top man u target na juzi zimeanza rumours kwamba man u tupo tayari kubi euro m 37 kwa ajili ya mata dah so bad kuona kwamba man u hatuna shida sana na namba 10 wala striker aina ya cavani bali tuna shida ya kufa mtu ni namba 8,6 na wings pamoja na mabeki yy eanamtaka kumsajili ata wakati mata kumi na pale rooney yupo hata kama anaumia kagawa bvb alikuwa anacheza namba kumi,kwa hiyo anaweza kucheza pia hiyo so bad hamtumii,tena hata katika mechi muhimu.na wakati timu na majeruhi kweeli huyu jamaa hajui nini anafanya


Unajua ndugu yangu Mndengereko kocha mzuri anapaswa kujua aina ya wachezaji anaohitaji na sababu kwa nini anawahitaji.
 
Unajua ndugu yangu Mndengereko kocha mzuri anapaswa kujua aina ya wachezaji anaohitaji na sababu kwa nini anawahitaji.
to be honest mimi siiangalii man u ya mwaka huu bali misimu mitatu mbele kama hakuna mabadiliko katika top managemnt ya mancheseter hasa kwenye coaching staff i can guarantee you epl title tutakuwa tunalisikia tu likipita kutoka london kwenda kwa majirani zetu man city,huo ndio ukweli hata kama kuna baadhi ya watu watauppinga sababu kuu moyes sio kocha sahihi wa kuwa man u hajui kupanga kikosi,haujui kufanya sub na hajui kusajili sasa angalia timu mbovu kiungo yy anataka kumnunua cavani na mata wakati mata kumi cavani forward,utasea anafaa huyo?
 
Duh eti kamtoa kagawa wakati mtu alikuwa ana dictate game poor sub.duh kweli moyes havumiliki kila siku makosa hayohayo.
 
Yaani januzaj ana miaka 18 unamchezesha dk 120 alafu kagawa experienced player unamtoa dk ya 55,yaani kila nikifikiria sielewi huyu mbwiga ilikuwaje akawa kocha wa man u na inakuwaje anaendelea kuwa kocha wa man u por him,in moyes i dont trust.
 
Yaani kesho asubuhi nisiposikia habari kwamba moyes kafukuzwa man utd,i will be more disapointed,f... him once again,enough is enough sasa its time ferguson kufanya kitu.hajui kupanga timu,hajui kufanya sub,hajui kusajili,hajui kwatia motisha wachezaji,hajui kupanga wapiga penalty,hajui chochote zaidi ya kuvaa koti la man tu.
 
Kwa maelezo haya naona tunaanza sail on the same boat kwamba moyes anauwezo mdogo sana kuliko mahitaji ya timu.
Na hii hiko wazi ukiangalia records zake za nyuma na mafanikio aliyowai kuyapata kwenye career yake ya umanager.
Just for the record tuache unafiki hakuna shabiki anaefurahia timu yake inapokua na matokeo mabaya kunyamazia mabaya haimaanishi we ndio shabiki damu wa Manchester..ushabiki wa mpira ni swala linalogusa feelings za mtu so uvumilivu unatofautiana.
Watu wanapaza sauti hapa ni kwa sababu ya mapenzi waliyonayo na timu kwahiyo wale wanaotuona si sio mashabiki wa dhati kwa kusema moyes hafai wao ndio sio washabiki wa kweli maana wanafumbia macho timu inapobolonga.

ndugu yangu umeongea vizuri sana,kamata vema yangu.kama ni madaraja ya ufaulu nakupa A+
 
Fague mwenyewe alichukua Man U na alianza kushinda michezo yote toka ulivyo chukua team
 
Fague mwenyewe alichukua Man U na alianza kushinda michezo yote toka ulivyo chukua team

kuna watu siju wamelishwa unga wa ndere hawalioni hilo wanakwambia moyes hajazoea timu,mara mgeni mara kaja na mbinu mpya mara tupo kipindi cha mpito mara wachezaji wanamuangusha ila yy kocha mzuri,ww ukimponda wanakwambia kibaraka umeanza kuangalia man u juzi,dah huwa nashindwa jinsi gani ya kuwasaidia watu kama hawa
 
mwendo pole pole mtunzeni atawarudisha nafasi ya saba wiki ijayo.
 
Nafikiri mnatakiwa kumpa imani kocha wenu ili apate morali ambayo nafikiri kwake umepotea.
In Moyes we belive to make History.

"Nlikuwepo":bolt:
 
Back
Top Bottom