Moyes sio kocha sahihi wa manchester

Moyes sio kocha sahihi wa manchester

nakubaliana na ww katika mambo mengi tu uliyoyasema lakini mimi bado hoja yangu kuu ni kwamba moyes sio kocha sahihi wa kuifundisha man u kulingana na hizo sababu nilizosema kwenye thread n anyyingine umefanikiwa kujibu vizuri tu,ngoja niendelee kujistify hhis weakness,kwanza katika dunia ya mpira wa sasa hivi mtu kama giggs huwezi kumpanga dk tisini tena katika mechi ambayo we real needed to win,hasa ukizingatia tumetoka kufungwa mechi mbili mfululizo na timu za kawaida,

kingine kocha mpya mara nyingi huwa anamfumo wake na aina ya uchezaji anaoutaka mooyes ndio kocha mpya pekee niliyemuona aliyekuja ttimu kubwa alafu akasajili mchezaji mmoja tena dk za mwisho tena kwa gharam akubwa awakati tungeweza kumpata kwa bei chini ya hapo ingawaje najua utamtetea kwamba ed woodward ndio wa kulaumiwa lakini na yy lawama zinamhusu kwa namna moja ama nyingine kwa sababu kama kocha lazima uwe na msisitizo na uwe na target zako ambazo inabidi uonyeshe jitihada walau tukuone sio kutaka kusajili mchezaji yupo spain alafu ww upo egland


kulingana na maelezo yako wachezaji wengi tu hawafai kuwepo man u kama ulivyowataja sasa kwa nini asiwauze na akanunua wengiine kwa kauli yake amesema kwamba mwezi huu january hasajili hapo pia utamweka edwoodward kwamba ni mhggeni au yy mwenyewe ni mzembe na kumbuka mwezi september alisema hana kikosi cha kucheza cl lakini mwezi huu pia anshindwa kusajili yupo seriouskweli huyu,


kama ulivyosema wachezaji wengi wa man u wameunderperform lakini wamepewa muda kwa nini kagawa na yy aasippewe muda wa kucheza mechi nyingi apate kuzoea epl kumbuka hata kipindi cha ferguson hakuwa anapata playtime ya kutosha,so hawezi kupata consistency kama mabavyo akina valencia, smalling pamoja na cleverleywanapata ingwaje viwango vyyao vya kawaida mno tena kuliko hata kagawa lakini wanapata playtime,kingine mtu kama carrick amechoka mr backpass inapaswa aondoke aje mwingine matokeo yake kaongezewa mkataba wa miaka miwil, kumbuka mechi na swansea carrick na cleverly kila walipokuwa wanapiga pasi ya nyuma walikuwa wanazomewa na mashabiki wa man u ot kabla ya mashabiki wa manu hawajaanza kuimba ataack ataack attackna ferdinand nae kaambiwa ataangaliwa kiwango chake mpk mwisho wa msimu ili apewe mkataba mpya ama la kwangu mimi hawa hawana nafasi carrick natimua ferdinand kiwango hana astaafu the same to giggs.akifaanya hivyo walau atakuwa serious.kinginne kama ulivyosema anakose kufanya right sub ambazo zingine zinztugharimu.
Hii issue ya wachezaji nimeshaileza sidhani kama ni sahihi kumlaumu Moyes,timu ilikuwa inastahili reshufle (hasa defence na midfield)misimu 3 au miwili iliyopita.Unakumbuka kuwa Scholes alistaafu then akarudi tena still hakuna kiungo aliyenunuliwa kumrithi.Kazi ya kusajili viungo hata SAF ilimshinda

Timu ikifanya vizuri ni ngumu sana kugundua ubovu wa wachezaji angalia Arsenal timu yao ndio hii ambayo ilikuwa mbovu almost miaka 8 wamemsajili mchezaji mmoja tu timu imebadilika cha msingi walewale wachezaji wa miaka yote wameimprove.Moyes lazima awe muangalifu kwenye usajili ammemsajili Fellaini ambaye ameshindwa kuperform kama ilivyotegemewa kila mtu anamlalamikia amenunua galasa.

Kagawa amepewa sana nafasi lakini ameshindwa kuonyesha kiwango kizuri kuna game ambazo Rooney & RVP hawajacheza alicheza tena namba 10 still hakuna assist wala goli

Carick ni mmojawapo wa wachezaji bora wa ManUnited msimu uliopita hata alivyoumia timu imeyumba sana kwa sasa bado hajawa fit

Giggs kwa sasa hastahili kucheza but Jones,Felaini majeruhi wanabaki Anderson na Cleverley nao hawana tofauti na Giggs
 
Nikweli sio kabisa. Katika mechi zinazokuja 3 akijatahidi point nyingi ni 1.
 
Nasikia amepewa pauni milioni 200 za usajili katika kipindi cha miezi 18 ijayo. Sidhani kama itaisadia sana. Amuulize Roberto Mancini. David Moyes just doesn't have the right chemistry for Man U. Viatu vya Alex Ferguson ni vikubwa mno kwake. Lakini pia ikumbukwe kuwa Man U ilifikia kilele cha mafanikio katika soka. Kulikuwa na sehemu moja tu ya kwenda baada ya hapo – chini. Kwa bahati mbaya sana, nahodha katika safari hiyo ya fedheha ni David Moyes.
 
Hii issue ya wachezaji nimeshaileza sidhani kama ni sahihi kumlaumu Moyes,timu ilikuwa inastahili reshufle (hasa defence na midfield)misimu 3 au miwili iliyopita.Unakumbuka kuwa Scholes alistaafu then akarudi tena still hakuna kiungo aliyenunuliwa kumrithi.Kazi ya kusajili viungo hata SAF ilimshinda

Timu ikifanya vizuri ni ngumu sana kugundua ubovu wa wachezaji angalia Arsenal timu yao ndio hii ambayo ilikuwa mbovu almost miaka 8 wamemsajili mchezaji mmoja tu timu imebadilika cha msingi walewale wachezaji wa miaka yote wameimprove.Moyes lazima awe muangalifu kwenye usajili ammemsajili Fellaini ambaye ameshindwa kuperform kama ilivyotegemewa kila mtu anamlalamikia amenunua galasa.

Kagawa amepewa sana nafasi lakini ameshindwa kuonyesha kiwango kizuri kuna game ambazo Rooney & RVP hawajacheza alicheza tena namba 10 still hakuna assist wala goli

Carick ni mmojawapo wa wachezaji bora wa ManUnited msimu uliopita hata alivyoumia timu imeyumba sana kwa sasa bado hajawa fit

Giggs kwa sasa hastahili kucheza but Jones,Felaini majeruhi wanabaki Anderson na Cleverley nao hawana tofauti na Giggs

sasa wewe unasema giggs hastahili kucheza at the sametime moyes anamchezesha alafu tena dk 90 still unasema moyes asilaumiwe.?? Tukueleweje??
 
Hii issue ya wachezaji nimeshaileza sidhani kama ni sahihi kumlaumu Moyes,timu ilikuwa inastahili reshufle (hasa defence na midfield)misimu 3 au miwili iliyopita.Unakumbuka kuwa Scholes alistaafu then akarudi tena still hakuna kiungo aliyenunuliwa kumrithi.Kazi ya kusajili viungo hata SAF ilimshinda

Timu ikifanya vizuri ni ngumu sana kugundua ubovu wa wachezaji angalia Arsenal timu yao ndio hii ambayo ilikuwa mbovu almost miaka 8 wamemsajili mchezaji mmoja tu timu imebadilika cha msingi walewale wachezaji wa miaka yote wameimprove.Moyes lazima awe muangalifu kwenye usajili ammemsajili Fellaini ambaye ameshindwa kuperform kama ilivyotegemewa kila mtu anamlalamikia amenunua galasa.

Kagawa amepewa sana nafasi lakini ameshindwa kuonyesha kiwango kizuri kuna game ambazo Rooney & RVP hawajacheza alicheza tena namba 10 still hakuna assist wala goli

Carick ni mmojawapo wa wachezaji bora wa ManUnited msimu uliopita hata alivyoumia timu imeyumba sana kwa sasa bado hajawa fit

Giggs kwa sasa hastahili kucheza but Jones,Felaini majeruhi wanabaki Anderson na Cleverley nao hawana tofauti na Giggs
kushindwa kwa ferguson kusajili kingo hakumhalalishii uzembe wa moyes yy pia kushindwa kusajili kiungo mzuri anaehitajika,kocha mpya anakuja na mbinu mpya,idea pamoja na chezaji upaya cha ajabua anawatumia wachezaji walewale wa zamani,

alafu pia unasema giggs hastahili kucheza at the sametime moyes anamchezesha alafu tena dk 90 still unasema moyes asilaumiwe.?? Tukueleweje??
 
Nasikia amepewa pauni milioni 200 za usajili katika kipindi cha miezi 18 ijayo. Sidhani kama itaisadia sana. Amuulize Roberto Mancini. David Moyes just doesn't have the right chemistry for Man U. Viatu vya Alex Ferguson ni vikubwa mno kwake. Lakini pia ikumbukwe kuwa Man U ilifikia kilele cha mafanikio katika soka. Kulikuwa na sehemu moja tu ya kwenda baada ya hapo – chini. Kwa bahati mbaya sana, nahodha katika safari hiyo ya fedheha ni David Moyes.

hata kama umefikia kilele cha mafanikio hailazimishi uanze kuporomoka bayern mwaka jana kachukua treble lakini mpk sasa hivi anamaintain status yake the same to barca,speed ya kuporomoka kwa manchester ni kubwa mno kuliko uhalisia na hicho ndicho kinachopigiwa kelele
 
Moyes kapewa timu iliyomzidi yy saizi yake timu ndogondogo sio man u.
Ila kwa upande wa pili wanawake wa wapenzi wa man u wanamkubali sn coz safari za bar na mabandani kuchek mechi za Man U zmeisha,na hata tukiwa home tinasubr matokeo tu wa wanakandamiza tamthilia zao km kawa
 
sasa wewe unasema giggs hastahili kucheza at the sametime moyes anamchezesha alafu tena dk 90 still unasema moyes asilaumiwe.?? Tukueleweje??

Naona hatuelewani nimekwambia viungo karibia wote hawafai,Felaini +Jones majeruhi viungo waliopo ni Anderson,Cleverley,Giggs . Sawa Giggs asicheze wacheze Cleverley au Anderson ndio unaona wataisaidia timu?
Sioni kama kuna nafuu Giggs,Cleverley ,Anderson wote ni vimeo
 
Naona hatuelewani nimekwambia viungo karibia wote hawafai,Felaini +Jones majeruhi viungo waliopo ni Anderson,Cleverley,Giggs . Sawa Giggs asicheze wacheze Cleverley au Anderson ndio unaona wataisaidia timu?
Sioni kama kuna nafuu Giggs,Cleverley ,Anderson wote ni vimeo

kama ni vimeo maana yake angekuwa kocha mzuri angewauza walau watatu na kununua wengine.
 
Mndengereko,

Naomba nijibu baadhi ya hoja/lawama ambazo umemtupia David Moyes



Hii issue ya usajili wengi wanamlaumu Moyes but sidhani kama anastahili kulaumiwa,Moyes alivyopewa timu aligundua tatizo kubwa la kiungo la muda mrefu ambalo SAF alishindwa kulifanyia kazi.Wachezaji ambao Moyes alikuwa anawataka (Thiago,Fabregas,Herrera na Mondric) Ukiangalia utagundua hao ndio aina ya wachezaji ambao Man United inapaswa kuwa nao.Kumbuka ukiacha SAF pia David Gill nae aliondoka, baada ya Abromovic kumchukua Peter Kenyon(Mtaalamu wa fitina za usajili) Gill ndio alimrithi nae taratibu akawa mtaalamu kwenye usajili.Mrithi wa Gill Ed Woodward ni mtu ambae hana kabisa uzoefu na masuala ya usajili huyu ndio mtu wa kulaumiwa kwenye issue ya usajili




Moja ya sababu kubwa ya Man United kufanya vibaya msimu huu ni wachezaji wengi kucheza chini ya kiwango na Kagawa ni mmojawapo.Moyes amewapa nafasi wachezaji karibia wote,mechi ambayo Kagawa alicheza vizuri na Leverkusen the rest mechi kiwango chake still ni average.Msimu huu Kagawa hajafunga goli na hana assist hata moja ingawa unasema game alizocheza UCL timu imeshinda(Rooney ndio ameibeba timu).Ligi ya England inahitaji kasi na nguvu sana kuliko Champions League ndio maana Kagawa anaonekana anacheza vizuri kwenye UEFA kuliko kwenye ligi




Moyes alivyokuja alijaribu kutumia viungo (Cleverley,Kagawa,Giggs,Felaini,) lakini viungo wamechemka ndio maana akarudi kutumia mawinga ambao at least walianza kuonyesha matumaini (Nani,Januzaj,Valencia,Young) at least wamefunga/kutengeneza magoli kuliko viungo ambao wamekuwa butu kufunga/kutengeneza magoli




Nakubalina na wewe kwamba Smalling ni weak link kwenye defence kinachomsaidia ni uwezo wa kucheza zaidi ya nafasi moja but I doubt kama unafahamu kiwango cha Fabio,Fabio alitegemewa sana kuwa msaidizi na baadae mrithi wa Evra lakini kiwango chake kinazidi kuwa kibovu siku zinavyozidi kwenda.Nafikiri umemuona juzi alivyoingia,mwenzake Rafael hana mpinzani beki wa kulia kama akiwa fit

David Moyes kweli anaweza akawa kocha mbovu, moja ya weakness zake ni kufanya sub mbovu, lakini ni mapema sana kumpa mzigo wa lawama zote Man United inavyofanya vibaya.Timu nzima inahitaji reshufle kuanzia defence,midfield na foward nafikiri hii kazi ilipaswa kufanywa na SAF, wachezaji kama Anderson,Giggs,Buttner,Nani,Rio,Cleverley,Smalling,Fletcher,Fabio hawastahili kabisa kuchezea Man United kwa sasa while wachezaji kama Evra,Carick,Rooney,Vidic wanastahili kupatiwa wasaidizi,Kagawa,Felaini,Valencia nao wanapaswa kuimprove viwango vyao

Mdau naona unatumia nguvu nyingi sana kumdefend huyu Daudi..hamna jipya atakoleta hapo OT.
mark my words "Moyes uwezo wake ndio huo" matokeo haya tunayopata Manchester ndio hayo hayo aliyokua anayapata wakati yupo Everton.
Watu mnaosema apewe muda sijui mnakuwa mnamuangalia Moyes kwa angle gani...maana kama alishindwa kufanya influence ya mchezaji aliyekua nae timu moja ebu ona usajili wa Fellaini ulivyokua wa magumashi lakini mtakumbuka nguvu na ushawishi aliokua anautumia SAF kwenye usajili mfano mzuri usajili wa barbartov, sa sijui apewe muda wa kufanya muujiza gani...
Swala la kutoizoe timu mbn halimkutu kocha wa Buyern au wa R.Madrid.
Tulipokubali kumleta Moyes ambae ni kocha wa level ya kati kwa timu kubwa na yenye big expectations ka Manchester it was a big mistake. Angalia PSG,Chelsea,Buyern,R.Madrid hata Man city timu zote hizi zina aim kwny big names kwny makocha
Hivi ushalifikiria na hili..ni kiasi gani cha mapato timu itapoteza kama hisiposhiriki champions league ijayo..?? Ua utapataje world class player ka wanajua timu yako haishiriki EUFA..
Pamoja na kutochukua kikombe chochote kwa muda mrefu wenzetu Arsenal hawajai miss champions league kwa kipindi chote hicho..hii hapo kwangu naona ni mafanikio tosha..
Swali kwa Manchester hii ambayo inaonekana mbovu machoni pako unataka kuniambia ingelikua na matokeo haya kama SAF angeendelea kuwa kocha wake.
Kwa ufupi mi namuona Daudi timu imemzidi uwezo matokeo yake hajui nini anataka au afanye ili kuleta ushindi tusijipe false hopes hakuna jipya atakaloleta
 
Mdau naona unatumia nguvu nyingi sana kumdefend huyu Daudi..hamna jipya atakoleta hapo OT.
mark my words "Moyes uwezo wake ndio huo" matokeo haya tunayopata Manchester ndio hayo hayo aliyokua anayapata wakati yupo Everton.
Watu mnaosema apewe muda sijui mnakuwa mnamuangalia Moyes kwa angle gani...maana kama alishindwa kufanya influence ya mchezaji aliyekua nae timu moja ebu ona usajili wa Fellaini ulivyokua wa magumashi lakini mtakumbuka nguvu na ushawishi aliokua anautumia SAF kwenye usajili mfano mzuri usajili wa barbartov, sa sijui apewe muda wa kufanya muujiza gani...
Swala la kutoizoe timu mbn halimkutu kocha wa Buyern au wa R.Madrid.
Tulipokubali kumleta Moyes ambae ni kocha wa level ya kati kwa timu kubwa na yenye big expectations ka Manchester it was a big mistake. Angalia PSG,Chelsea,Buyern,R.Madrid hata Man city timu zote hizi zina aim kwny big names kwny makocha
Hivi ushalifikiria na hili..ni kiasi gani cha mapato timu itapoteza kama hisiposhiriki champions league ijayo..?? Ua utapataje world class player ka wanajua timu yako haishiriki EUFA..
Pamoja na kutochukua kikombe chochote kwa muda mrefu wenzetu Arsenal hawajai miss champions league kwa kipindi chote hicho..hii hapo kwangu naona ni mafanikio tosha..
Swali kwa Manchester hii ambayo inaonekana mbovu machoni pako unataka kuniambia ingelikua na matokeo haya kama SAF angeendelea kuwa kocha wake.
Kwa ufupi mi namuona Daudi timu imemzidi uwezo matokeo yake hajui nini anataka au afanye ili kuleta ushindi tusijipe false hopes hakuna jipya atakaloleta

Nimeshasema kuwa Moyes anaweza kuwa mbovu lakini lawama nyingi anazopewa sio zake kwa sasa,sawa SAF alikuwa na ushawishi but hutaki kuzungumzia alishindwa kusajili kiungo kwa kipindi cha miaka mingi then unategemea Moyes aweze ndani ya miezi 3

Hebu niambie Manuel Pelegrini amepata mafanikio gani alivyokuwa Vilareal,Malaga au Madrid?

Then inaonekana hujui power ya SAF hapo Man United kumbuka bila influence yake huyo David Moyes hasingekuwepo Man United

Hivi unajua SAF alikaa misimu mingapi ndio akachukua kombe? Even Arsenal kama wasingekuwa na uvumilivu na Wenger wasingekuwa hapo walipo

Kuna tofauti sana kati ya PSG,Man City na Man United hizo ni timu ambazo spending power yake ni kubwa kuliko Man United.Kabla hata Anceloti hajapewa timu Madrid walikuwa wamewasajili kina Isco,Ilaramendi.Huwezi linganisha Alonso,Isco,Bale,CR7,Khedira,Mondric,Mota,Matuidi,Verati,Zlatan,Cavani,Silva,Moura na hawa average players like Cleverley,Rio,Giggs,Anderson,Kagawa
 
kama ni vimeo maana yake angekuwa kocha mzuri angewauza walau watatu na kununua wengine.

Biashara ya wachezaji sio kama machungwa,kwenye timu changes zinafanywa taratibu.SAF alikuwa kwenye position nzuri ya kuwauza sababu alikaa nao muda mrefu.Hata Wenger aliweza kuwa ondoa magarasa yote taratibu (Djorou,Squilaci,Denilson,Arshavin,Santos,Gervinho,Chamakh,Almunia
 
Nashangaa kamati ya ufundi kwa nini hawataki kumtimua, au ndio tuseme wao wameridhika na anachokifanya ndani ya timu
 
Mdau naona unatumia nguvu nyingi sana kumdefend huyu Daudi..hamna jipya atakoleta hapo OT.
mark my words "Moyes uwezo wake ndio huo" matokeo haya tunayopata Manchester ndio hayo hayo aliyokua anayapata wakati yupo Everton.
Watu mnaosema apewe muda sijui mnakuwa mnamuangalia Moyes kwa angle gani...maana kama alishindwa kufanya influence ya mchezaji aliyekua nae timu moja ebu ona usajili wa Fellaini ulivyokua wa magumashi lakini mtakumbuka nguvu na ushawishi aliokua anautumia SAF kwenye usajili mfano mzuri usajili wa barbartov, sa sijui apewe muda wa kufanya muujiza gani...
Swala la kutoizoe timu mbn halimkutu kocha wa Buyern au wa R.Madrid.
Tulipokubali kumleta Moyes ambae ni kocha wa level ya kati kwa timu kubwa na yenye big expectations ka Manchester it was a big mistake. Angalia PSG,Chelsea,Buyern,R.Madrid hata Man city timu zote hizi zina aim kwny big names kwny makocha
Hivi ushalifikiria na hili..ni kiasi gani cha mapato timu itapoteza kama hisiposhiriki champions league ijayo..?? Ua utapataje world class player ka wanajua timu yako haishiriki EUFA..
Pamoja na kutochukua kikombe chochote kwa muda mrefu wenzetu Arsenal hawajai miss champions league kwa kipindi chote hicho..hii hapo kwangu naona ni mafanikio tosha..
Swali kwa Manchester hii ambayo inaonekana mbovu machoni pako unataka kuniambia ingelikua na matokeo haya kama SAF angeendelea kuwa kocha wake.
Kwa ufupi mi namuona Daudi timu imemzidi uwezo matokeo yake hajui nini anataka au afanye ili kuleta ushindi tusijipe false hopes hakuna jipya atakaloleta
you are absolutely right na mimi sijamtetea moyes hata kidogo sanasana na mpinga na tamani hata leo atimuliwe nashangaa watu wanaosema apewe umda eti hjazoea timu,madrid kocha mpya inafanya vizuri,man city kocha mpya infanya vizurii,barca kocha mppaya inafanya vizur,chelsea kocha mpya inafanya vizuri,bayern kocha mpya inafany vizuri the same to psg.watu wanaemuona moyes kwenye mtizamo tofauti na wetu kwamba sio kocha kwanggu mimi wana matatizo katika uangaliaji wao wa mpira
 
Biashara ya wachezaji sio kama machungwa,kwenye timu changes zinafanywa taratibu.SAF alikuwa kwenye position nzuri ya kuwauza sababu alikaa nao muda mrefu.Hata Wenger aliweza kuwa ondoa magarasa yote taratibu (Djorou,Squilaci,Denilson,Arshavin,Santos,Gervinho,Chamakh,Almunia
ok lets summarize kwa hiyo kwa maono yako moyes anafaa kuwa kocha wa man u??
 
Nashangaa kamati ya ufundi kwa nini hawataki kumtimua, au ndio tuseme wao wameridhika na anachokifanya ndani ya timu
as long as hasara,maumivuu hatupatii peke yetu mpk hao watendaji,wamili na waajiriwa wa man u ppia wanapata waache waendelee kuboronga tu man man u ikishakuwa timu ya kawaida watajifunza kama moyes atabaki mpk mwisho wa msimu basi tutavuna tulchopanda
 
you are absolutely right na mimi sijamtetea moyes hata kidogo sanasana na mpinga na tamani hata leo atimuliwe nashangaa watu wanaosema apewe umda eti hjazoea timu,madrid kocha mpya inafanya vizuri,man city kocha mpya infanya vizurii,barca kocha mppaya inafanya vizur,chelsea kocha mpya inafanya vizuri,bayern kocha mpya inafany vizuri the same to psg.watu wanaemuona moyes kwenye mtizamo tofauti na wetu kwamba sio kocha kwanggu mimi wana matatizo katika uangaliaji wao wa mpira

Mkuu Mimi ni Man u damu, ila kama ulivyosema Moyes sio chaguo sahihi, kwanza sio kocha wa dunia I mean ni kocha wa level ya wastani Sana hivyo kumshawishi world class player aende man united kwa sasa ni ndoto, kwa sababu kwanza performance ya United kwa sasa sio nzuri, pili influence ya Moyes ni ndogo Sana na ndio maana kipindi kile mtu kama Fransesc alishindwa kumshawishi, uwezo wake wa kusajili utaishia kwa wachezaji wa Everton tu, hivyo suluhisho pekee ni KUMTIMUA TU MOYES kama united inataka kurejesha heshama.
nitaendelea
 
Mkuu Mimi ni Man u damu, ila kama ulivyosema Moyes sio chaguo sahihi, kwanza sio kocha wa dunia I mean ni kocha wa level ya wastani Sana hivyo kumshawishi world class player aende man united kwa sasa ni ndoto, kwa sababu kwanza performance ya United kwa sasa sio nzuri, pili influence ya Moyes ni ndogo Sana na ndio maana kipindi kile mtu kama Fransesc alishindwa kumshawishi, uwezo wake wa kusajili utaishia kwa wachezaji wa Everton tu, hivyo suluhisho pekee ni KUMTIMUA TU MOYES kama united inataka kurejesha heshama.
nitaendelea
ahsantekwa kuliona hilo mdau mwenzangu
 
ok lets summarize kwa hiyo kwa maono yako moyes anafaa kuwa kocha wa man u??
Kwangu mimi ni mapema kusema anafaa au la but unatakiwa uelewe matatizo ya timu kwanza.Man United imekuwa average misimu 3au 4 lakini influence ya SAF na viwango vibovu vya wapinzani (Chelsea,Arsenal,ManCity,Liverpool)
Ndio vilifunika weakness ya timu
Kwa kuwa timu inafanya vibaya obvious kocha ataonekana mbovu
 
Back
Top Bottom