kuna watu wamekosa heshima kabisa toka moyes aanze kuharibu
...tatizo vibonde wetu wansema sana bhana, angalau basi awe anagonga droo,sio anavunja rekodi tu za kufungwa traffod..If you can't support us when we are in difficult, don't support us when we win!! You are job now is to standby the new manager by giving him more time!!! This is a long term project, so relax buddy while we reconfigure the structure of our club.
...kiongozi uzalendo tunao,tabu yetu hatujazoea maisha ya kufungwa na kukosa makombe. mbaya zaidi tarehe kama hizi tunakuwa tushafunga hesabu ya mwaka tunasubiri champions legue tu. hicho tu ndo kinatusumbua....
mi nishaongea sana mpk nishachoka kwamba hili garasa halifai
watanielewa tu kidodkidogoPole sana swahiba, maana ulianzisha "thread" kusema "Moyes si kocha sahihi Manchester" wakaja watu wakakupinga sana. Mimi nimefurahi tumewafunga ili angalau kuwasaidia mfukuze DM pale atawaharibia timu. Kuhusu ubingwa imebaki rekodi moja tu ya kuwapa matumaini. Blackburn Rovers walichukua ubingwa 1995 ingawa walikuwa wamepoteza mechi 7. Sasa kuna watu wanajifariji kwamba hata Moyes anaweza kufanya hivyo.
Wale wenye mapenzi mema na ya dhati plus mahaba na Man U tunasema enough is enough hatuwezi kufumbia macho udhalilishaji huu unafanywa na Moyes akishirikiana na bench la ufundi.
Amekaa Everton kwa muda gani na kapata mafanikio gani kwa kipindi chote hicho alichokua hapo Everton...??
Ebu check Swansea sioni utafauti wa budget ya usajili waliyonayo Swansea na Everton kipindi cha moyes sasa ebu ona mafanikio ya Swansea ya muda mfupi huu toka imepanda kwny EPL kulinganisha na ya Everton ya Moyes...?? Sasa maisha ya Everton ndio yanatukuta Man U..
Kwa kigezo hicho tu kimoja kabla sijaongelea na vingine na conclude kusema #Moyesout
co chaka hakuna timu iliyobora miaka yote rise & fall kipind cha mpito kila timu inapitia river plate ya argentina ilishuka daraja mpinzan wa bocca junioh
co chaka hakuna timu iliyobora miaka yote rise & fall kipind cha mpito kila timu inapitia river plate ya argentina ilishuka daraja mpinzan wa bocca junioh