Moyes havumiliki,aondoke..

Moyes havumiliki,aondoke..

DUH inanishangaza sana kusikia kutoka kwa fans wa MAN U.Inaonesha ni jins gan sio wavumilivu.Hebu fuatilia fans wa liverpool ambayo zaid ya miaka 20 haijabeba PREMEAR Arsenal zaid ya miaka 8 hawajabeba kombe lolote pia liverpool misimu mi4 haijashirik UCL Bado masgabiki wake wanaiunga mkono.Mapema mno kumhukumu MOYES cha mhm n kusubir msim uishe.lkn kumbuka MOYES alpewa uangaliz wa miaka 2 kwenye mkataba wake endapo atafanya vbaya ndan ya miaka miwili ndipo atafukuzwa.AMA KWEL MTENDA AKITENDWA ANAUNIA SANA.
 
Watu hatuna uhuru,kila gemu tunapigwa tu..!aaaghh...! Hatuwezi kuongea lolote hata mbele ya vibonde wa ligi maana wanaweza kutufunga ! Huyu jama anatupeleka ilipokuwa timu yake,aondoke tu hafai bhana. Naenda kulala..!!??

pitia hapa kidogo mkuu..
http://instagram.com/p/jZXXKZJYHq/
 
DUH inanishangaza sana kusikia kutoka kwa fans wa MAN U.Inaonesha ni jins gan sio wavumilivu.Hebu fuatilia fans wa liverpool ambayo zaid ya miaka 20 haijabeba PREMEAR Arsenal zaid ya miaka 8 hawajabeba kombe lolote pia liverpool misimu mi4 haijashirik UCL Bado masgabiki wake wanaiunga mkono.Mapema mno kumhukumu MOYES cha mhm n kusubir msim uishe.lkn kumbuka MOYES alpewa uangaliz wa miaka 2 kwenye mkataba wake endapo atafanya vbaya ndan ya miaka miwili ndipo atafukuzwa.AMA KWEL MTENDA AKITENDWA ANAUNIA SANA.

Hili ndo tatizo la wapenzi wengi wa mpira. Hii timu yao ingekuwa inashinda usingesikia wanampiga madongo Moyes, kama unavyoona Arsenal walikuwa wanataka Wenger afukuzwe miezi saba au nane iliyopita sasa hivi wametuliza. Subiri Arsenal tufungwe(God forbid) mechi 2 au 3 utawasikia wanavyotoka mafichoni. Badala ya kusupport timu na vision za kocha wanataka afukuzwe. Atakayekuja itakuwa hayo hayo.
 
Hili ndo tatizo la wapenzi wengi wa mpira. Hii timu yao ingekuwa inashinda usingesikia wanampiga madongo Moyes, kama unavyoona Arsenal walikuwa wanataka Wenger afukuzwe miezi saba au nane iliyopita sasa hivi wametuliza. Subiri Arsenal tufungwe(God forbid) mechi 2 au 3 utawasikia wanavyotoka mafichoni. Badala ya kusupport timu na vision za kocha wanataka afukuzwe. Atakayekuja itakuwa hayo hayo.

Huu ushauri wako huu .........
 
Huu ushauri wako huu .........

Ushauri mzuri nyie mnataka muwe kama Chelsea, Madrid au Spurs kila siku mnafukuzafukuza. Jifunzeni kwa Arsenal na Liverpool. Anyway, Moyes akiendelea kuwepo patakuwa na stability katika ligi.
 
Ushauri mzuri nyie mnataka muwe kama Chelsea, Madrid au Spurs kila siku mnafukuzafukuza. Jifunzeni kwa Arsenal na Liverpool. Anyway, Moyes akiendelea kuwepo patakuwa na stability katika ligi.

Kuzunguka kwako kote nilikuwa ninajua nini lengo lenu lol
 
Kuzunguka kwako kote nilikuwa ninajua nini lengo lenu lol

Mambo yakiendelea hivi wale wapenzi bendera fuata upepo utawaona watakavyojichanganya na City. Afu naona watu wanamlaumu Fergie peke yake, David Gill naye alaumiwe sababu ile influence ndani ya FA/Premier League imekufa.
 
Mambo yakiendelea hivi wale wapenzi bendera fuata upepo utawaona watakavyojichanganya na City. Afu naona watu wanamlaumu Fergie peke yake, David Gill naye alaumiwe sababu ile influence ndani ya FA/Premier League imekufa.


Ondoa shaka msimu ujao kila kitu kitakuwa sawa upande wetu.

Gill bado yupo FA , ila yeye hafanyi vitu kama alivyokuwa anafanya Dein {kuipendelea ile timu yake}
 
Msiomkubali Moyes hata Ferguson mngemkataa enzi hizo
 

Attachments

  • 1390265934743.jpg
    1390265934743.jpg
    64.2 KB · Views: 45
Watu hatuna uhuru,kila gemu tunapigwa tu..!aaaghh...! Hatuwezi kuongea lolote hata mbele ya vibonde wa ligi maana wanaweza kutufunga ! Huyu jama anatupeleka ilipokuwa timu yake,aondoke tu hafai bhana. Naenda kulala..!!??
Mnae huyo Moyes for the next several years. Nothing ever stay the same! Ni miaka ya maumivu tu, wenzenu Liverpool weshazoea manake nap walikuwa wakishinda vikombe vyote kama mali yao miaka hiyoo na kwa sasa weshajizoelea. Zamu yenu. Usiwe na wasiwasi mtazoea tu. Kama Gooners kabati ni tupu toka 2006 na wameshazoea kwa nini nyie msizoee?
Pellegrini atawatesa sana hadi muiuze timu
 
Na wamemwambia hawatampa eti timu ina ukata fergoson anamhujumu moyes kwa kukataa bench la ufundi.juzi kampendekeza conte hakuna kocha atakayekubali kukaa na wachezaji wa kariba ya wellbeck.
 
Hili ndo tatizo la wapenzi wengi wa mpira. Hii timu yao ingekuwa inashinda usingesikia wanampiga madongo Moyes, kama unavyoona Arsenal walikuwa wanataka Wenger afukuzwe miezi saba au nane iliyopita sasa hivi wametuliza. Subiri Arsenal tufungwe(God forbid) mechi 2 au 3 utawasikia wanavyotoka mafichoni. Badala ya kusupport timu na vision za kocha wanataka afukuzwe. Atakayekuja itakuwa hayo hayo.

Kwa nyongeza masgabiki wa man u sio wazalendo na tim yao wahame il wakwepe matuc kutoka kwa wapinzan wao YNWA
 
msipaki basi pakini tren kabisa si mnatujua lakini? tarehe 1st march 2013! mnabidi mje kabisa mmejifukiza udi ili msi- ruin our dating! sorry usijiue coz we still need you guyz!

...tunaahidi kuwashangaza mkuu,lazima tuwastukize kwa 2 - 0....!
 
Kwa nyongeza masgabiki wa man u sio wazalendo na tim yao wahame il wakwepe matuc kutoka kwa wapinzan wao YNWA

...kiongozi uzalendo tunao,tabu yetu hatujazoea maisha ya kufungwa na kukosa makombe. mbaya zaidi tarehe kama hizi tunakuwa tushafunga hesabu ya mwaka tunasubiri champions legue tu. hicho tu ndo kinatusumbua....
 
Mnae huyo Moyes for the next several years. Nothing ever stay the same! Ni miaka ya maumivu tu, wenzenu Liverpool weshazoea manake nap walikuwa wakishinda vikombe vyote kama mali yao miaka hiyoo na kwa sasa weshajizoelea. Zamu yenu. Usiwe na wasiwasi mtazoea tu. Kama Gooners kabati ni tupu toka 2006 na wameshazoea kwa nini nyie msizoee?
Pellegrini atawatesa sana hadi muiuze timu
....daahhh ukweli mchungu mkuu,yaani huyu jamaa tumeingia chaka baya sana...!!???
 
Back
Top Bottom