Moyes havumiliki,aondoke..

Moyes havumiliki,aondoke..

IN TRUST WE MOYES!!! Tuvumilieni tu na tuombe angalau UEFA tuingie tu next season, maana tukikosa nafikiri mitaani tutapiga sura zetu zikiwa chini!
 
Nimeona mwingine anaomba tanesco et wakate umeme. La kuvunda halina ubani!!
 
kumbuka ilimchukua miaka kadhaa sir fergie hadi alipoanza kushinda. Lazima mzoee maumivu kama pool ama gooners.
End of an era!!!
Ni mwaka wa pellegrini huu

...ngumu kumeza...
 
tafuta nani alikuwa manager wa MAUTD wkt flani alikuwa mzur kuliko fergue, na akastaafu kama alivyostaafu SAF lkn hali ikawa mby kama ilivyo sasa kwa moyes, jamaa akarudi kwenye umeneger, bado inawezekana kumuondoa moyes,
 
...tutapaki basi afu tunatupia ndefu kwa welbak..
msipaki basi pakini tren kabisa si mnatujua lakini? tarehe 1st march 2013! mnabidi mje kabisa mmejifukiza udi ili msi- ruin our dating! sorry usijiue coz we still need you guyz!
 
...commitment yao inazoroteshwa na kocha, we ngoja atangaze kuondoka utawasikia wanasema oooh ni vema kaondoka, mbona babu alikomaa na hao madogo na akabeba ndooo...???

tofauti ya babu na Moyes nikubwa kwanza heshima babu aliokuwa nayo nizaidi ya Moyes,babu alikuwa anaogopwa mpaka nawapinzani sio kwamba squad aliocha babu ilikuwa nzuri japo ilichukua ubingwa,Moyes mie nampa nafasi nikocha mzuri atachenga tim kama iliyofanya maajabu miaka ya 1990,nazungumzia chama lakina Becks,Giggs,Kean.Cantona n.k..angalia Everton ambao hawa kuwa na budget kubwa alipowafikisha..apewe muda
 
...mkuu nakubaliana na wewe kuhusu falsafa ya man u, lakini hapo kwenye red umenichanganya,haiwezekani kila mtu awe na mbinu zake alafu matokeo yawe sawa, angepewa mourinho isingekuwa hivi au hata guardiola tungetisha kuanzia msimu huu. mgogoro tunalinda falsafa huku tunazama..!. MAN U USHINDI NDO MAISHA YETU SO LAZIMA ROHO ZITURUKE KWA REKODI ANAYOWEKA HUYU MKIMBIZI....

Angalia takwimu hizi:

kwa hawa watu uliowataja (Mourinho na Guardiola): Mourinho katoka FC Porto kaja Chelsea 2004-05 akawakuta Lampard, Terry, Makelele, Joe Cole, Gallas, Geremi, Veron, Adrian Mutu, Wayne Bridge, Glenn Johnson, Damien Duff na wengine katika ubora wao; akawaongeza Drogba, Petr Czech, Ricardo Carvalho, Tiago, Arjen Robben, Cole, Essien, Obi Mikel na wengineo wakiwa katika ubora wao. Hakuwa na kazi ngumu kuchukua EPL. Akaenda Inter Milan 2007 akawakuta wakina Sebastian Cambiaso, Maicon, Zanetti, Zlatan Ibrahimovic, Materrazi, Balotelli na Adriano wakiwa katika ubora wao; akawaongeza Eto'o, Milito, Quaresma na Muntari katika ubora wao. hakuna ambacho kingeshindikana kwa yeye kuchukua Scudeto na Italian Super Cup. Akaenda Madrid 2010-11 akawakuta Cassilas, Ramos, Ronaldo, Marcelo, Pepe, Arbiol, Arbeloa, Guti, Benzema, Kaka, Alonso, Ronaldo na wengineo katika ubora wao; akawaongeza Carvalho, Khedira, Ozil, na Di Maria katika ubora wao. Haikumpa shida kuchukua Copa del Rey msimu huo na La Liga msimu uliofata. Amerudi Chelsea kawakuta Hazard, azpiliqueta, Ivanovic, Luiz, Oscar, Ramires, Cahil na wengineo katika ubora wao; akawaongeza Willian,Schurle, Nemanja Matic na Demba Ba katika ubora na Eto'oo ambaye hachuji. Katika timu zote alizopitia forward line yake iliundwa na wakina Drogba, Eto'o, Ibrahimovic, Milito, Ronaldo, Benzema na sasa Eto'o na Torres.

Guardiola anaichukua barca 2008 aliwakuta Valdes, Marquez, Puyol, Iniesta, Xavi, Messi, henry, Abidal, Eto'o, Toure Yaya, Bojan na wengineo katika ubora wao kabisa; akawaongeza Dani Alves, Seydou Keita, Gerald Pique, Busquets, Rodriguez wakiwa katika ubora wao. Hii ikawa dream team. Forward line yake kutokana na mfumo wake iliongozwa na Messi ambaye ni mchezaji bora mara 4 wa dunia akiwa amevunja rekodi karibu zote unazozifahamu. Ameenda Bayern kawakuta wakina Robben, Muller, Ribbery, Schweinsteiger, Neuer, Mandzutic, Dante, Boateng, Alaba na Lahm katika ubora wao kabisa. Kaongeza Gotze na Alcantara, tegemea ushindi tu.

Moyes ameichukua Utd amewakuta Evra (32), Ferdinand (35), Vidic (32), Carrick (32) na Giggs (40). Evans, Smalling, Jones, Cleverly, Young, Valencia, Kagawa, Welbeck Rooney, RvP. Kutokana na na umajeruhi wa Rooney na RvP foward line ya Moyes kwa muda mrefu sasa ni Welbeck akipokezana na Chicharito.

Kwa takwimu hizo hapo juu ndio maana nasema hata Mourinho au Guardiaola akipewa Utd hii hali itakuwa ni ileile Kwani ulishawahi kusikia mmoja wao ametaja jina la Welbeck au Chicharito kuwa anataka saini yake? Na ndivyo hivyo ambavyo Moyes angepewa Chelsea, Barcelona au Bayern angekuwa na uhakika wa kushinda vikombe vyote tu. Suala la ubora wa kocha tuliangalie baada ya kuwa tumempa muda wa kusajili na kukaa na timu yake anayoiamini yeye.
 
msipaki basi pakini tren kabisa si mnatujua lakini? tarehe 1st march 2013! mnabidi mje kabisa mmejifukiza udi ili msi- ruin our dating! sorry usijiue coz we still need you guyz!
..mkuu usisahau jinaletu bado linatisha,tunaeza wadondokea,ohoooooohh...!
 
..mkuu usisahau jinaletu bado linatisha,tunaeza wadondokea,ohoooooohh...!
yaani nyie sasa hayo matisho ni kama vile waif anitishe eti nisiende nyumbani inaingia akilini?
 
Angalia takwimu hizi:

kwa hawa watu uliowataja (Mourinho na Guardiola): Mourinho katoka FC Porto kaja Chelsea 2004-05 akawakuta Lampard, Terry, Makelele, Joe Cole, Gallas, Geremi, Veron, Adrian Mutu, Wayne Bridge, Glenn Johnson, Damien Duff na wengine katika ubora wao; akawaongeza Drogba, Petr Czech, Ricardo Carvalho, Tiago, Arjen Robben, Cole, Essien, Obi Mikel na wengineo wakiwa katika ubora wao. Hakuwa na kazi ngumu kuchukua EPL. Akaenda Inter Milan 2007 akawakuta wakina Sebastian Cambiaso, Maicon, Zanetti, Zlatan Ibrahimovic, Materrazi, Balotelli na Adriano wakiwa katika ubora wao; akawaongeza Eto'o, Milito, Quaresma na Muntari katika ubora wao. hakuna ambacho kingeshindikana kwa yeye kuchukua Scudeto na Italian Super Cup. Akaenda Madrid 2010-11 akawakuta Cassilas, Ramos, Ronaldo, Marcelo, Pepe, Arbiol, Arbeloa, Guti, Benzema, Kaka, Alonso, Ronaldo na wengineo katika ubora wao; akawaongeza Carvalho, Khedira, Ozil, na Di Maria katika ubora wao. Haikumpa shida kuchukua Copa del Rey msimu huo na La Liga msimu uliofata. Amerudi Chelsea kawakuta Hazard, azpiliqueta, Ivanovic, Luiz, Oscar, Ramires, Cahil na wengineo katika ubora wao; akawaongeza Willian,Schurle, Nemanja Matic na Demba Ba katika ubora na Eto'oo ambaye hachuji. Katika timu zote alizopitia forward line yake iliundwa na wakina Drogba, Eto'o, Ibrahimovic, Milito, Ronaldo, Benzema na sasa Eto'o na Torres.

Guardiola anaichukua barca 2008 aliwakuta Valdes, Marquez, Puyol, Iniesta, Xavi, Messi, henry, Abidal, Eto'o, Toure Yaya, Bojan na wengineo katika ubora wao kabisa; akawaongeza Dani Alves, Seydou Keita, Gerald Pique, Busquets, Rodriguez wakiwa katika ubora wao. Hii ikawa dream team. Forward line yake kutokana na mfumo wake iliongozwa na Messi ambaye ni mchezaji bora mara 4 wa dunia akiwa amevunja rekodi karibu zote unazozifahamu. Ameenda Bayern kawakuta wakina Robben, Muller, Ribbery, Schweinsteiger, Neuer, Mandzutic, Dante, Boateng, Alaba na Lahm katika ubora wao kabisa. Kaongeza Gotze na Alcantara, tegemea ushindi tu.

Moyes ameichukua Utd amewakuta Evra (32), Ferdinand (35), Vidic (32), Carrick (32) na Giggs (40). Evans, Smalling, Jones, Cleverly, Young, Valencia, Kagawa, Welbeck Rooney, RvP. Kutokana na na umajeruhi wa Rooney na RvP foward line ya Moyes kwa muda mrefu sasa ni Welbeck akipokezana na Chicharito.

Kwa takwimu hizo hapo juu ndio maana nasema hata Mourinho au Guardiaola akipewa Utd hii hali itakuwa ni ileile Kwani ulishawahi kusikia mmoja wao ametaja jina la Welbeck au Chicharito kuwa anataka saini yake? Na ndivyo hivyo ambavyo Moyes angepewa Chelsea, Barcelona au Bayern angekuwa na uhakika wa kushinda vikombe vyote tu. Suala la ubora wa kocha tuliangalie baada ya kuwa tumempa muda wa kusajili na kukaa na timu yake anayoiamini yeye.

...mkuuu nakusoma ila kuwa mnyonge ni kazi sana, hata newcastle na everton wanatuchapa...?
 
msipaki basi pakini tren kabisa si mnatujua lakini? tarehe 1st march 2013! mnabidi mje kabisa mmejifukiza udi ili msi- ruin our dating! sorry usijiue coz we still need you guyz!

mkuu bado una hang over ya mwaka jana..
 
Kweli ma-manu hawana subira wenzenu wamekaa misimu tisa bila hata kombe la mbuzi walaaaa hawafikirii kocha afukuzwe nyie miezi sita tu mshaanza kupiga kelele. Wenzenu walipigwa 8-2 wako kimya nyie mmepigwa 3-1 kelele nyingiiiiiii.....
 
Back
Top Bottom