Moyes havumiliki,aondoke..

Moyes havumiliki,aondoke..

klabu haina historia ya kufukuza kocha kwa hiyo acha kujipa moyo kwamba moyes atatoka
sawa wewe mwenye akili kubwa

Na ndo maana kapewa mkataba wa muda mrefu, so asahau kama Moyes atafukuzwa.
 
​Mtalia sana, mlizoea ushindi wa babu kubebwa na marefa wakati timu ni mbovu matokeo yake ndo hayo. Mtamlaumu Moyes bure.
 
Kuwa na subira
Unafahamu wafungaji tegemezi wote majeruhi...
Kufungwa tutegemeee
Inabid kukomaa kurudi kwenye nne bora maana kama ubingwa msimu huu tusahau
kwani bado mlikuwa mnafikiria ubingwa? duh mna roho ngumu!!!!!!!!!!!
 
Man City hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!


Eti Red Devil hawashikiki! hivi ile Post bado ipo?
 
Hivi hii timu ukimuondoa Januzaj na Fellaini,si ni kikosi kile kile ambacho alikiacha mzee mstaafu?
Au wote wamekuwa wazee sasa?

"Nlikuwepo":bolt:
 
ImageUploadedByJamiiForums1390195384.026202.jpg
Ha ha ha muziki unaendelea
 
Nina wasiwasi na big g alizokuwa anatafuna mzee fergie
 
Watu hatuna uhuru,kila gemu tunapigwa tu..!aaaghh...! Hatuwezi kuongea lolote hata mbele ya vibonde wa ligi maana wanaweza kutufunga ! Huyu jama anatupeleka ilipokuwa timu yake,aondoke tu hafai bhana. Naenda kulala..!!??

pole najua umeshaamka.tatizo sio Moyes tatizo niwachezaji bado hawajawa committed
 
Utd fans tunasumbuliwa na winning mentality na kelele+matusi kutoka kwa wapinzani. Tunataka kocha aje alete miujiza kwa muda mfupi kama Mourinho bila kujua kuwa hao huwa hawadumu zaidi ya misimu 5 kwenye timu zao. Guardiola kakaa muda gani barca, Hyneckes muda gani bayern, Mourinho chelsea, inter na real au Benitez na Pelegrini valencia na wengineo. Mpira ni utamaduni kwa kila timu kama ilivyo mfumo wa kisiasa kwa kila nchi. Utd utamaduni wetu ni kuwa na kocha atakayekaa na timu miaka zaidi ya 10, atakayetengeneza timu yake kwa kwa kutumia mix ya wachezaji wakubwa wachache na watoto kwa wingi, Ndio maana Januzaj anacheza mechi zote leo na Pogba ametangazwa kusajiliwa. Babu kastaafu mwili lakini falsafa yake bado ipo na ndio inatumika. Msimu ujao tutarajie watoto wengi kutoka kikosi B na wazoefu wachache kutoka timu za nje na baadhi waliopo. Misimu 2/3 baada ya hapo ndio tumpime DM tutoe maamuzi.....

Kwa timu ya sasa hata angekuwa Mourinho kapewa utd hii angekuwa na matokeo haya haya tunayoyaona, kila mtu ana mbinu zake za ufundishaji, aina ya wachezaji na falsafa. Kabla ya Mourinho Obi Mikel, Mata Na A. Cole walikuwa tegemeo first eleven chelsea lakini now wanaanzia benchi, na bado Mourinho anakwambia timu haijakaa anavyotaka........ DM ni mtu sahihi, hata Liverpool walimpa muda Rodgers leo wako tunavyowaona, huyu ni kocha ambaye atakaa muda mrefu pale. Martinez kaichukua Everton na anafanya vizuri lakini ameondoka Aston Villa kama sikosei baada ya kutangaziwa dau Everton, Utd na Liverpool hawachukui makocha ambao wakitangaziwa dau kwingine wanakimbia na kuondoka na kuiacha timu ijengwe tena upya na kocha mpya.
 
Ondoka wewe au jiue ukiweza.wachezaji wenyewe wako wapi.ndo maana kuns watu wanaamini fergie alikuwa na fitina kuliko ukocha.mpeni hela kocha asajili sio kwa timu ile

Mkuu tuko pamoja hapa. Man U watoe pesa wanunue wachezaji wenye uchu wa kufunga magoli kama vile kina Suarez, Navas, Aguero n.k. Waache biashara ya kumtegemea Rooney na Van Persie peke yao. Sasa wako injured timu inapata kipigo cha mbwa mwizi. Kwa mpira uliochezwa na Man U jana, tungekuwa na wafungaji wazuri dakika 15 za kwanza Chelsea wangekuwa tayari wamefungwa goli kama 2 hivi. Hope wataitumia vizuri January transfer window kununua wachezaji.

Tiba
 
Utd fans tunasumbuliwa na winning mentality na kelele+matusi kutoka kwa wapinzani. Tunataka kocha aje alete miujiza kwa muda mfupi kama Mourinho bila kujua kuwa hao huwa hawadumu zaidi ya misimu 5 kwenye timu zao. Guardiola kakaa muda gani barca, Hyneckes muda gani bayern, Mourinho chelsea, inter na real au Benitez na Pelegrini valencia na wengineo. Mpira ni utamaduni kwa kila timu kama ilivyo mfumo wa kisiasa kwa kila nchi. Utd utamaduni wetu ni kuwa na kocha atakayekaa na timu miaka zaidi ya 10, atakayetengeneza timu yake kwa kwa kutumia mix ya wachezaji wakubwa wachache na watoto kwa wingi, Ndio maana Januzaj anacheza mechi zote leo na Pogba ametangazwa kusajiliwa. Babu kastaafu mwili lakini falsafa yake bado ipo na ndio inatumika. Msimu ujao tutarajie watoto wengi kutoka kikosi B na wazoefu wachache kutoka timu za nje na baadhi waliopo. Misimu 2/3 baada ya hapo ndio tumpime DM tutoe maamuzi.....

Kwa timu ya sasa hata angekuwa Mourinho kapewa utd hii angekuwa na matokeo haya haya tunayoyaona, kila mtu ana mbinu zake za ufundishaji, aina ya wachezaji na falsafa. Kabla ya Mourinho Obi Mikel, Mata Na A. Cole walikuwa tegemeo first eleven chelsea lakini now wanaanzia benchi, na bado Mourinho anakwambia timu haijakaa anavyotaka........ DM ni mtu sahihi, hata Liverpool walimpa muda Rodgers leo wako tunavyowaona, huyu ni kocha ambaye atakaa muda mrefu pale. Martinez kaichukua Everton na anafanya vizuri lakini ameondoka Aston Villa kama sikosei baada ya kutangaziwa dau Everton, Utd na Liverpool hawachukui makocha ambao wakitangaziwa dau kwingine wanakimbia na kuondoka na kuiacha timu ijengwe tena upya na kocha mpya.

...mkuu nakubaliana na wewe kuhusu falsafa ya man u, lakini hapo kwenye red umenichanganya,haiwezekani kila mtu awe na mbinu zake alafu matokeo yawe sawa, angepewa mourinho isingekuwa hivi au hata guardiola tungetisha kuanzia msimu huu. mgogoro tunalinda falsafa huku tunazama..!. MAN U USHINDI NDO MAISHA YETU SO LAZIMA ROHO ZITURUKE KWA REKODI ANAYOWEKA HUYU MKIMBIZI....
 
pole najua umeshaamka.tatizo sio moyes tatizo niwachezaji bado hawajawa committed

...commitment yao inazoroteshwa na kocha, we ngoja atangaze kuondoka utawasikia wanasema oooh ni vema kaondoka, mbona babu alikomaa na hao madogo na akabeba ndooo...???
 
nina wasiwasi na big g alizokuwa anatafuna mzee fergie

....hahaaaahhaaa mkuuu acha masiala msibani bhana,wenzio tunaugua ujue...! Mbona kwenye champions ligue babu tulimpa box zima alafu wapuuuzi barca wakatutoa nishai looh...!!
 
Back
Top Bottom