movies za vichekesho.

movies za vichekesho.

kuna The Heat na Identity thief.ni nzuri sana nazo
 
Wale wahindi wanasoma engineering "imperial college of engineering" huwa c choki kuiangalia hii movie n nzur sana wapi prof.virus na mchizi wa kumeza a.k.a silencer ha ha ha....

yan mlivyotaja hii movie tu mmenipa raha sana. The Silencer anaitwa Chantar. Wapi Rancho, Raju Rastogi and Farhan dah jamaa ni wakali jaman tafteni hii movie
 
Tafuten Soul plane utacheka hadi ukome



Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
yan mlivyotaja hii movie tu mmenipa raha sana. The Silencer anaitwa Chantar. Wapi Rancho, Raju Rastogi and Farhan dah jamaa ni wakali jaman tafteni hii movie

Hii movie hatarii...me napenda pale wameenda kwa kina Raju wamepewa chapati wamefakamia kumbe ule msukumio wa chapati una kazi nyingine ya kumkanda mgonjwa kwapa....lol...

Mr Viruth katisha thanaaaaaa!
 
Tafuten Soul plane utacheka hadi ukome



Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
nimeicheki hii movie. mablack hawako serious kabisa. inachekesha sana hasa yule binti white alipokuwa anamwambia dingi yake jinsi atavyojiachia akitimiza 18.
 
Ni nzur tatzo blacks wahuni sana

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mouse hunt,meya anakufa kwa kula mende,dah movie kali sana hii,hasa huyu mnyama mwenye akil
 
Mr Bons
mzee wa gwaragwara
nimecheka pale chifu aliponyewa na ndege usoni yaan pwaataaaaa
toto moja kibonge likama linacheka...
 
Kwangu Mimi
1. Three ------
2. Mr. Bones
3. Mad buddies
4. The gods must be crazy
5. American pie( japo sio nzuri kucheki na watoto)
 
pia kuna show za chris rock kama
bring the pain
never scared
black and bigger
kill the messenger
zinachekesha sana.
 
the hangover, tafuta zote zipo moja mpaka tatu
ukiwa muelewa mzuri wa lugha utaenjoy sana.
ha ha ha ha ha inanichekesha kila nikiikumbukaga
 
The BIG BANG Theory

Leonard na the master ''SHELDON'' pale kati...
Hahah ikitu ni tamu hatareee
 
wakuu mmeicheki Think like a man too (2014)?. humo kevin haart ishu zinamuendea hovyo sana.
 
Mbona hamuitaji kamili c inaitwa THREE ------
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom