essaumgimba
Member
- Jun 21, 2014
- 24
- 10
movie zote za ray the great ni uongo uliopitiliza
Unapoiangalia ile movie lazima uwe katika ulimwengu wa kiroho, kila kitu kinawezelanaDahhh hizi kweli zimezidi uongo.
Sio kuwa unazungumzia shaolin soccer?Kum Fu soccer.
Ulizani ya kiarabu nini mzee mwenzangukama ni ya kihindi siangalii
Inaitwa "shoot em up" kama sikosei... jamaa aking'ata karoti anaona vizuri hapo hapo.. af karoti hiyo hiyo akamdumbukizia mshkaji jichoni akafa.. daaah.. ila I love ficton movies balaaa.. za ukweli wangalie zile za mandela na dokyumentariKuna muvi moja kuna scene jamaa alikua anakula mzigo ghafla majamba wakaingia akachukua gun huku akiendelea kutomboka akawa anawa shoot wale jamaa. Alivyo waua wote na mchuchu akawa kafika climax... Ni moja ya muvi yenye uongo balaa. Sijui inaitwaje nashukuru kwa anayeifahamu akinijuza.
Itabidi niizingatie hii.Inaitwa "shoot em up" kama sikosei... jamaa aking'ata karoti anaona vizuri hapo hapo.. af karoti hiyo hiyo akamdumbukizia mshkaji jichoni akafa.. daaah.. ila I love ficton movies balaaa.. za ukweli wangalie zile za mandela na dokyumentari
hahahaUlizani ya kiarabu nini mzee mwenzangu
duuh...nimechekaje mkuuKuna movie moja ya Yesu anaongea Kinyakyusa,aisee kaka Yesu kwa kamba