Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 17,534
- 32,757
sometimes series zina nyingi zina uhalisia fulani kuliko movie
True lied..Arnold Schwarzenegger,hahahaha panaponiachaga hoi eti kuna sehemu anakata nondo kwa kutumia gas chini ya barafu kali..pia kuna sehemu limerushwa kombora moto unawaka juu ya maji kama dakika tano hivi.
Harry potter ipi mkuu? Hiyo iko na version nyingi sana, majuu kinatumika kama kitabu cha riwaya lkn ina maudhui ya aina nyingiNingesahau jaman ! Harry potter ndo kiboko ya uongo
Hahaha,huu uongo ni hataiKuna bongo muvi inautwa Zawadi...jb ananza ongea na Irine anamwamkia good morning anapomaliza anamwambia gud nite
haswaa 100%Bongo muvi zmepitiliza uongo na uhalisia ni ziro yaani sifuri
hapana mkuuPulp fiction...director ni quentine Tarantino
HahahajaaaaNa zile za kichina enzi hizo utasikia ''huh hah'' mara master anapaa angani kama ndege!! dah! wachina nao wameanza kitambo kutuibia!!