Movie ambazo zimepitiliza Uwongo

Movie ambazo zimepitiliza Uwongo

Kuna muvi moja kuna scene jamaa alikua anakula mzigo ghafla majamba wakaingia akachukua gun huku akiendelea kutomboka akawa anawa shoot wale jamaa. Alivyo waua wote na mchuchu akawa kafika climax... Ni moja ya muvi yenye uongo balaa. Sijui inaitwaje nashukuru kwa anayeifahamu akinijuza.
Inaitwaje hiyo?
 
coverhobbssaw.jpg


hii movie ni nzuri lakini ni waongo waliotukuka.
Moja ya scene ambapo wanapigana ndani ya kile kisiwa cha SAMOA (nyumbani kwa The Rock) wakati mapambano yanaanza ilikua ni usiku,
hobbsshaw960.jpg


lakin wakiwa wanaendelea kupigana mara panakua mchana.

images (4).jpeg
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Movie zimegawanyika katika category mbali mbali.

Wengi mna kwama hapo.

Kuna Horror, sci-fi, action,drama, adventure etc.

Naona wengi movie za sci-fi ndio mnaziponda bila kujua ndio muundo wake.
 
View attachment 1247417

hii movie ni nzuri lakini ni waongo waliotukuka.
Moja ya scene ambapo wanapigana ndani ya kile kisiwa cha SAMOA (nyumbani kwa The Rock) wakati mapambano yanaanza ilikua ni usiku,
View attachment 1247420

lakin wakiwa wanaendelea kupigana mara panakua mchana.

View attachment 1247421
Labda mapigano yalianza mida ya saa Kumi usiku,
Kwakua walipigana muda mrefu, wakaamua kuskip baadhi ya vipande ndio maana ghafla kumekucha,
(Kidding)


Ngoja nikacheck hicho chuma.
 
Wengi hawajui movie, ndo mana mnasema ni uongo, kila movie inajitosheleza sehemu yake na inawakilisha uhalisia wa sehemu yake, na inapiga hela, movie kama the MATRIX ulitaka iweje ili iwe na ukweli, tena ukweli upi uutakao??!

Sio kila mtu anatakiwa aangarie movie, ukimuona mtu anasema movie hii ni yauongo basi ujue unamtazamisha na yeye hobby yake si movie.
 
Back
Top Bottom