Movement for Change yaingia Simanjiro....!! Ole Sendeka ahahaaa...!!

Movement for Change yaingia Simanjiro....!! Ole Sendeka ahahaaa...!!

Hapa kuna majimbo matatu manne ya kuyapigania nayo ni
1. Longido
2. Simanjiro
3. Kiteto
4. Monduli

Haya ndo majimbo magumu yaliyo bakia ila kwa kumtumia huyu millya nina uhakika yatakubali mziki wa CHADEMA
Rafiki umeacha jimbo la 5 Arumeru magharibi.!
 
ngoja wana memba watujuze

Huyo Jamaa anaitwa YOHANA LAIZER ni Katibu mwenezi wa vijana CCM Longido. Ni mpiganaji sana huyo kijana, hivyo kama kahamia CDm....Oh My God basi CCM kushney......imekula kwao sasa!!
 
hapo ndipo penyewe tusubiri mziki tuucheze na kuona nani atanengua zaidi
 
Si jambo la kubeza Mabadiliko huwa hayapigi hodi uyatake uyakatae yatakukuta tu ndugu zangu zingatia !! hilo kwa umakini sana !si
 
CDM nikama nzige usiombe wavamie shamba lako utajuta kuwa mkulima.m4c ni noma

Movement For Change sasa inapamba moto, Mungu yuko upande wetu naona dalili zote za ukombozi wa tanganyika yetu zikikamikila, pioa nashukuru kuwepo kizazi cha mabadiliko, tutawaachia watoto wetu nchi nzuri yenye muelekeo. Viva Chadema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom