Mathias malange
Member
- Apr 6, 2012
- 6
- 0
Rafiki umeacha jimbo la 5 Arumeru magharibi.!Hapa kuna majimbo matatu manne ya kuyapigania nayo ni
1. Longido
2. Simanjiro
3. Kiteto
4. Monduli
Haya ndo majimbo magumu yaliyo bakia ila kwa kumtumia huyu millya nina uhakika yatakubali mziki wa CHADEMA