ngoja wana memba watujuze
pepo za kaskazi huleta samaki wengi sana.waulize wavuvi wa pwani wakwambie uzuri wa pepo hizi.
Hapa kuna majimbo matatu manne ya kuyapigania nayo ni
1. Longido
2. Simanjiro
3. Kiteto
4. Monduli
Haya ndo majimbo magumu yaliyo bakia ila kwa kumtumia huyu millya nina uhakika yatakubali mziki wa CHADEMA
True! Mwarabu, mhindi, mchina, na mzungu (Sultan Said Seyyid, Vasco da Gama, n.k.) pia waliletwa na pepo hizi hizi Afrika ikashuhudia mabadiliko makubwa ya kijamii. Hizi pepo za enzi zetu sijui zitaleta mabadilko yepi mapya - chanya au hasi? Tusubiri tuone.
Mkuu hapo kwenye red unamaanisha Vasco yupi? Wa Tz aliyeko Brazil sasa au
Mkuu namaanisha yule Mreno aliyekuwa akielekea Uhindini kuhemea maviungo ya msosi akipitia mkiani kabisa mwa bara letu na kutia ngome ya muda pale Mombasa.
Kumekucha, Kamanda James Ole Millya baada ya kuufuata upepo wa Mabadiliko unauvuma vizuri tu ndani ya Tanzania na kuanza kusomba ngome ya CCM- Staminaz ndani ya Arusha,Ataingia ndani ya ngome ya Ole Sendeka,hapa Simanjiro. Vijana wapatao 3,000 ndio watakao msindikiza Kamanda wao huku Simanjiro na kuanza kazi ya kufungua matawi ya Chadema ndani ngome ya Ole Sendeka ( CCM )na kilicho kibaya zaidi ni namna Ole Sendeka anavyo hahaaa kuuzia Maandamano hayo kwa kuwatumia Polisi ! Polisi nao wamekataa kumzuia Ole Millya kwa kudai kuwa ni mzawa wa Simanjiro na ana haki kufanya lolote la kisiasa ndani ya Simanjiro ! Upepo wa Movement for Change unamtisha sana Ole Sendeka.....!
Mkuu mvt4c inaongozwa na mungu na si binadamu hata jk analijua hili hio usishangae sana tukitoka tunarudi bagamoyo ,chalinze kueleza wale watu kwanini wanaongozwa na rais kutoka huko miaka 10 wanaishia kuishi kwenye nyumba za udongo kama si laana ninini??
ngoja wana memba watujuze