Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 19,160
- 15,433
Mwendokasi ni kusimama ww boga na haraka tu umefika kukaa ubahatishe ,kaa kwenye izo bus zenu zenye kunguni ulale kabisa muda ni Mali hujui tuI rather board a manyanga which I'm sure of getting a seat than to board ya fucking BRT that 90% of passengers stand.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba uongeze sauti tafadhali, eti nini?, mlijenga SGR?. Hahahaha, ule upuuzi wa karne unaita SGR?Njaa na ujenzi wa projects wapi na wapi? Njaa haijatuzuia kujenga standard gauge railway, Lamu port au Lake Turkana wind farm. Baki hapo ukiongea kuhusu njaa.
Ngumu kumeza. ..wameongeza miezi 6 mbele so no hadi July ndio itakua readyBtw electric sgr ilikuwa imalizike mwezi December kwani what happened?
By the way, the funding of your BRT second phase ni donation kutoka wapi?Mwendokasi ni kusimama ww boga na haraka tu umefika kukaa ubahatishe ,kaa kwenye izo bus zenu zenye kunguni ulale kabisa muda ni Mali hujui tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama chakula tu kimewashinda mnategemea wachina kuwapa chakula, mtaweza kujenga barabara na kuunganisha UMEME?. Hii tabia ya kupewa misaada na mikopo na mchina, kuweni makini mwisho watawapa mimba.Do you know that your electricity connectivity stands at 32% while that of Kenya is at 75%?
Are you aware that your paved roads are around 7,000km while that of Kenya is at 18,000km?
Sent using Jamii Forums mobile app
The last time I checked the electricity connectivity was 32% for Tanzania and 75% for Kenya.Kama chakula tu kimewashinda mnategemea wachina kuwapa chakula, mtaweza kujenga barabara na kuunganisha UMEME?. Hii tabia ya kupewa misaada na mikopo na mchina, kuweni makini mwisho watawapa mimba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Going green, good work guys.Will Tanzania soon have the largest wind farm on the African continent? This could be possible if the project of the Chinese group Sany Heavy Industries comes to fruition. The group, which specialises in the manufacture of construction machinery, is diversifying its activities, also producing wind turbines.
For several years, the company has been developing its own projects. In Tanzania, it has obtained an agreement with the government to build a wind farm capable of producing 600 MW, making it the largest facility of its kind on the African continent, thus offsetting the Lake Turkana wind farm which supplies 310 MW of electricity to the grid in Kenya.
SOURCE: Sany Heavy Industries will produce 600 MW of wind energy in Tanzania | REVE News of the wind sector in Spain and in the world
Likija kwenye swala la miundo mbinu hata wazimu anayekula jalani anajua Kenya ina miundo mbinu nyingi kushinda Tanzania.Huko kwenu Kaskazini kuna barabara? Reli? Bandari? Sisi kila kwenye source ya umeme (windfarms) kuna aidha barabara ya lami ama reli au vyote na vikiunganishwa na Bandari za Dar na Tanga! Mfano Singida n Hedaru Same! Muache upumbavu kufikiri tupo sawa kimiundombinu! Kingine hatuingii mikataba ya kipumbavu!
Hahaha jamaa usinichekesheBRT inawasumbua ata hamjui pa kuanzia. Miaka inasogea, Mara mnapaka rangi barabara, Mara mnarudi nyuma na kuanza study upya! Huku Tz BRT is up and running mpaka kupewa tuzo za kimataifa na phase two ujenzi unaendelea. Sizani kama kuna nchi Africa inaichukulia Kenya mfano kwenye kujenga miradi. Halafu hao wanaojenga ni wachina, Sasa kama mmeshiba chakula cha misaada mpaka mnajiona mnanguvu kuliko wanao wapa hiyo misaada ya chakula hili ni tatizo kubwa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha jamaa unashida weweStop misleading,Wachina Wamejenga, Huwezi kujenga kitu ikiwa unanjaa.
Kenyans can only do BBI And Handshakes
Mambo ya kusimama kwenye basi sisi hatutaki.Mwendokasi ni kusimama ww boga na haraka tu umefika kukaa ubahatishe ,kaa kwenye izo bus zenu zenye kunguni ulale kabisa muda ni Mali hujui tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ni metre gauge?Naomba uongeze sauti tafadhali, eti nini?, mlijenga SGR?. Hahahaha, ule upuuzi wa karne unaita SGR?
Sent using Jamii Forums mobile app
By the way, the funding of your BRT second phase ni donation kutoka wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha jamaa usinichekeshe
Nikikunukuu: 'Sizani kama kuna nchi Africa inaichukulia Kenya mfano kwenye kujenga miradi' Sisi sasa kwa mifano ya kuigwa ndio sana, hadi tunapewa kandarasi. Waulize wahabeshi kuhusu mradi wao wa nguvu za mvuke halafu urudi!BRT inawasumbua ata hamjui pa kuanzia. Miaka inasogea, Mara mnapaka rangi barabara, Mara mnarudi nyuma na kuanza study upya! Huku Tz BRT is up and running mpaka kupewa tuzo za kimataifa na phase two ujenzi unaendelea. Sizani kama kuna nchi Africa inaichukulia Kenya mfano kwenye kujenga miradi. Halafu hao wanaojenga ni wachina, Sasa kama mmeshiba chakula cha misaada mpaka mnajiona mnanguvu kuliko wanao wapa hiyo misaada ya chakula hili ni tatizo kubwa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfupa uliowashinda wakenya kuutafuna (BRT), watanzania tuna umung'unya.
Jiandaeni kuisema serikali yenu tena uko twitter kwa kutumia picha za Tz tutakapo zindua matumizi ya second phase.
Sent using Jamii Forums mobile app
watanzania pia wanajua kutumia Twitter?!JF kutawaka moto siku tukizindua SGR Trains.