JituParaTupu
Member
- Nov 20, 2008
- 92
- 9
Salaam wakuu,
Gari yangu ilipata ajali wiki iliyopita ikiwa na valid insuarance na MVL. Naomba nielimishwe kama kuna utaratibu wowote ule unaoweza kufanyika ili MVL ya gari hiyo isogezwe mbele mpaka hapo itakapotengemaa. Yaani kwa kipindi hiki ambacho gari haitembei basi na muda wa MVL kwisha (Expire date) nao usogezwe.
Nawasilisha na kutanguliza shukrani.
Asanteni.
Gari yangu ilipata ajali wiki iliyopita ikiwa na valid insuarance na MVL. Naomba nielimishwe kama kuna utaratibu wowote ule unaoweza kufanyika ili MVL ya gari hiyo isogezwe mbele mpaka hapo itakapotengemaa. Yaani kwa kipindi hiki ambacho gari haitembei basi na muda wa MVL kwisha (Expire date) nao usogezwe.
Nawasilisha na kutanguliza shukrani.
Asanteni.