Kasimba G
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,428
- 2,609
Furaha ya maskini sikuzote ni kuona tajiri either anaumwa, kaishiwa, kawekwa ndani maabusu, kapigwa, kauwawa etc! Anachosahau ni kwamba hata tajiri apate madhara gani haitamsaidia yeye maskini kutoka kwenye Rindi la umaskini wake!
Siwapendi watu wenye mawazo na roho za kimaskini ni hatari! Hivi muhandisi kazi yake ni kupanda kwenye milingoti?
Siwapendi watu wenye mawazo na roho za kimaskini ni hatari! Hivi muhandisi kazi yake ni kupanda kwenye milingoti?