Moto wa Rais Magufuli ndani ya TANESCO ni hatari

Hivi inakuwaje thamani ya majengo inashuka... seriously!! Labda ni Tanzania peke yake. Normally thamani ya majengo hupanda. Ndiyo maana watu huinvest kwenye Real Estate. Kumbe Tanzania ni kinyume .... otherwise, weledi wa wataalamu kwenye office ya CAG unatia shaka.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
mtoa post nakuona unaupungufu au unadouble standard na utawala huu,unasema anafanya mema kwa taifa jema suala la uhakiki una2mia mwaka mmoja na zaid na kuwafanya wafanyakaz wawe kama vibaraka na kuish maisha mateso haf we2 unasema anafanya mema huu unyama anaowafanyia wafanyakazi? sio kila kitu cha kusifu unasifu na upumbav! acha wehu mtoa post.
 
mimi sikutegemea kuona watu wakifurahia kukomeshana nilitarajia kuona urasimu unaondoka kabisa katika ofisi zote za umma,mpaka sasa huko kwenye demotion na kupigana vijembe huduma zenu ni mbovu maradufu

Wawaondoe mameneja kwenye vituo vidogo ni majambazi wanazima umeme ili wapelekewe rushwa inatakiwa wabadilishwe nchi nzima Mfano kitu cha mvomelo na mtibwa
 
Wasalaam,
Ndugu wanaJamiiForums, katika pita pita zangu nimeona na kugundua kazi kubwa, na mbegu mpya na bora ya uaminifu na uwajibikaji ktk nyanja zote, yaaani kwenye kilimo, biashara na kazini anayoipandikiza Mh.Rais ndani ya mioyo ya wananchi anaowaongozaa. Sasa mtu akipatwa na njaa haliyi liyi ovyo, bali anaparangana kuhakikisha anapata chakula, halikadhalika makazini hivyo hivyo.

Ndani ya Shirika mama Tanesco, hivi sasa kuna hali ngumu isiyoelezeka ambayo hapoawali hawakuwahi kuona au kukutananayo katika maisha yao kazini na kwenye nafasi zao. Ndani ya TANESCO sasa hivi kuna demotion, kuvunja mkataba,na kuamishwa idara, yote ni kwasababu ya kuondoa mazoea na ku-increase performance ya individuals.

Sasa hivi watu wanatolewa store wanaenda PMU, na PMU wanaenda store kwa maana watu wa store waliokuwa wanakula vumbi na kuchekwa na watu wa ugavi na manunuzi imegeuka juu chini.

Ma injinia wanapanda nguzo pamoja na ma technician kwa sababu kibarua harusiwi na wamepunguzwa.

Wahasibu walarushwa wanakuwa demoted na kupewa kazi za hovyo.Ma HR wanakuwa demoted, haukuna tena safari za hovyo, hawatowi tena safari za kiufisadi ili ukirudi ukipokea chako unawakatia kidogo.

Wale wenye weledi na uwezo waliokuwa wanaonewa wanapandishwa vyeo mpaka wanashanga hawaamini kinachotokea.Kwa ufupi Shirika zima wamevurugwa.
Sote tukubali kuwa kuna kitu Mh.Dr.John Pombe Magufuli anafanya kwa ajili ya mema ya nchi hii, Hivo naona mantiki ya watu wanaotaka aongezewe muda wa zaidi ya miaka kumi.

Tafadhali fanya research kote alikoteua mtu afu fatilia za chini humo ndani ndiyo utajua, mm hii ni study case ya tatu.

Asanteni.
Mimi Leo.
vipi kuhusu zile posho za mwisho wa mwaka bado zipo
 
Uzi wako umejaa nadharia tupu. Weka mifano halisi ya hao watu na sio kuandika kibashite bashite kama hivi.
 
Wasalaam,
Ndugu wanaJamiiForums, katika pita pita zangu nimeona na kugundua kazi kubwa, na mbegu mpya na bora ya uaminifu na uwajibikaji ktk nyanja zote, yaaani kwenye kilimo, biashara na kazini anayoipandikiza Mh.Rais ndani ya mioyo ya wananchi anaowaongozaa. Sasa mtu akipatwa na njaa haliyi liyi ovyo, bali anaparangana kuhakikisha anapata chakula, halikadhalika makazini hivyo hivyo.

Ndani ya Shirika mama Tanesco, hivi sasa kuna hali ngumu isiyoelezeka ambayo hapoawali hawakuwahi kuona au kukutananayo katika maisha yao kazini na kwenye nafasi zao. Ndani ya TANESCO sasa hivi kuna demotion, kuvunja mkataba,na kuamishwa idara, yote ni kwasababu ya kuondoa mazoea na ku-increase performance ya individuals.

Sasa hivi watu wanatolewa store wanaenda PMU, na PMU wanaenda store kwa maana watu wa store waliokuwa wanakula vumbi na kuchekwa na watu wa ugavi na manunuzi imegeuka juu chini.

Ma injinia wanapanda nguzo pamoja na ma technician kwa sababu kibarua harusiwi na wamepunguzwa.

Wahasibu walarushwa wanakuwa demoted na kupewa kazi za hovyo.Ma HR wanakuwa demoted, haukuna tena safari za hovyo, hawatowi tena safari za kiufisadi ili ukirudi ukipokea chako unawakatia kidogo.

Wale wenye weledi na uwezo waliokuwa wanaonewa wanapandishwa vyeo mpaka wanashanga hawaamini kinachotokea.Kwa ufupi Shirika zima wamevurugwa.
Sote tukubali kuwa kuna kitu Mh.Dr.John Pombe Magufuli anafanya kwa ajili ya mema ya nchi hii, Hivo naona mantiki ya watu wanaotaka aongezewe muda wa zaidi ya miaka kumi.

Tafadhali fanya research kote alikoteua mtu afu fatilia za chini humo ndani ndiyo utajua, mm hii ni study case ya tatu.

Asanteni.
Mimi Leo.
Moto wa kugawa umasikini?

Kuna wema gani katika kuwafanya wananchi walalahoi waishi kama mashetani kwa hali ngumu ya maisha na umasikini?

 
Hii taarifa imejaa unafiki na zandiki, wala haina ukweli wowote.

Mtoa mada kapewa stori a shemeji na shemeji yake ambae kapanda cheo kish yeye akakimbilia kuilet humu.

Nilidhani ni mfanyakazi wa Tanesco, aliposema yeye sio ndio nikaju hizi ni stori za vijiweni.

Anyway, kwani watu kupandishwa vyeo na kushushwa ndio maana kua Tanesco imebadilika? Wananchi aa kawaida wanataka kuona umeme unawaka au wanataka kusikia flani kapanda cheo na flani kashushwa?

Hakuna cha maana ukichokiandika.
 
Hii taarifa imejaa unafiki na zandiki, wala haina ukweli wowote.

Mtoa mada kapewa stori a shemeji na shemeji yake ambae kapanda cheo kish yeye akakimbilia kuilet humu.

Nilidhani ni mfanyakazi wa Tanesco, aliposema yeye sio ndio nikaju hizi ni stori za vijiweni.

Anyway, kwani watu kupandishwa vyeo na kushushwa ndio maana kua Tanesco imebadilika? Wananchi aa kawaida wanataka kuona umeme unawaka au wanataka kusikia flani kapanda cheo na flani kashushwa?

Hakuna cha maana ukichokiandika.
Hahahaha! aisee nilijua tu lazima utakuja kunena kidogo, maana mafuriko yamekupitia juzi ulienda safari unarudi ofisi kakalia mwingine ukachanganyikiwa......hahahahah
 
Wasalaam,
Ndugu wanaJamiiForums, katika pita pita zangu nimeona na kugundua kazi kubwa, na mbegu mpya na bora ya uaminifu na uwajibikaji ktk nyanja zote, yaaani kwenye kilimo, biashara na kazini anayoipandikiza Mh.Rais ndani ya mioyo ya wananchi anaowaongozaa. Sasa mtu akipatwa na njaa haliyi liyi ovyo, bali anaparangana kuhakikisha anapata chakula, halikadhalika makazini hivyo hivyo.

Ndani ya Shirika mama Tanesco, hivi sasa kuna hali ngumu isiyoelezeka ambayo hapoawali hawakuwahi kuona au kukutananayo katika maisha yao kazini na kwenye nafasi zao. Ndani ya TANESCO sasa hivi kuna demotion, kuvunja mkataba,na kuamishwa idara, yote ni kwasababu ya kuondoa mazoea na ku-increase performance ya individuals.

Sasa hivi watu wanatolewa store wanaenda PMU, na PMU wanaenda store kwa maana watu wa store waliokuwa wanakula vumbi na kuchekwa na watu wa ugavi na manunuzi imegeuka juu chini.

Ma injinia wanapanda nguzo pamoja na ma technician kwa sababu kibarua harusiwi na wamepunguzwa.

Wahasibu walarushwa wanakuwa demoted na kupewa kazi za hovyo.Ma HR wanakuwa demoted, haukuna tena safari za hovyo, hawatowi tena safari za kiufisadi ili ukirudi ukipokea chako unawakatia kidogo.

Wale wenye weledi na uwezo waliokuwa wanaonewa wanapandishwa vyeo mpaka wanashanga hawaamini kinachotokea.Kwa ufupi Shirika zima wamevurugwa.
Sote tukubali kuwa kuna kitu Mh.Dr.John Pombe Magufuli anafanya kwa ajili ya mema ya nchi hii, Hivo naona mantiki ya watu wanaotaka aongezewe muda wa zaidi ya miaka kumi.

Tafadhali fanya research kote alikoteua mtu afu fatilia za chini humo ndani ndiyo utajua, mm hii ni study case ya tatu.

Asanteni.
Mimi Leo.
Mwandishi hujui kitu chochote, hata tanesco huijui vizuri
 
Raisi wetu anajitaidi sana
Ila tatizo ni kuwa akistaafu MaCCM siyaamini uko badae na MAUKAWA yameonesha udhaifu wao kuwa nayo ni mafisadi tu
 
Wewe ndiyo hujui chochote kwani hujui kinachoendelea humo ndani.
Suala la kuamishwa idara lipo kabla shirika halijaitwa tanesco, inasema pmu unajua maana yake? Vibarua wamepunguzwa nani kasema?leo sasa hv fika hapo posta ya zaman ona vijana wanaotarajiwa kuongezwa. Eti engineer apande nguzo unajua mpk wa kazi wa engineer wewe? Unajua ktk estimation engineer anatakiwa akae site kwa muda gani? unajua kazi ya supervisor au foreman? Acha ujinga wa Inzi ww, no reserch no right to speak
 
Suala la kuamishwa idara lipo kabla shirika halijaitwa tanesco, inasema pmu unajua maana yake? Vibarua wamepunguzwa nani kasema?leo sasa hv fika hapo posta ya zaman ona vijana wanaotarajiwa kuongezwa. Eti engineer apande nguzo unajua mpk wa kazi wa engineer wewe? Unajua ktk estimation engineer anatakiwa akae site kwa muda gani? unajua kazi ya supervisor au foreman? Acha ujinga wa Inzi ww, no reserch no right to speak
Hahahhah najua kuliko wewe, yaani wewe unaujanja wa nje tuu na wewe ni engineer ambaye ni normal ranking, afu katafunua ya Md juzi imekupitia tulia tu ndugu na omba JPM atoke maana hapo nadhani wahafidhina na mafisadi kama wewe mtamwondoa.
 
Back
Top Bottom