Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,660
- 15,744
Nawahurumia sana wafanyakazi wa Tanesco maana sasa wanaishi kwa hofu kama wako Sudani y kusini...
mimi sikutegemea kuona watu wakifurahia kukomeshana nilitarajia kuona urasimu unaondoka kabisa katika ofisi zote za umma,mpaka sasa huko kwenye demotion na kupigana vijembe huduma zenu ni mbovu maradufu
vipi kuhusu zile posho za mwisho wa mwaka bado zipoWasalaam,
Ndugu wanaJamiiForums, katika pita pita zangu nimeona na kugundua kazi kubwa, na mbegu mpya na bora ya uaminifu na uwajibikaji ktk nyanja zote, yaaani kwenye kilimo, biashara na kazini anayoipandikiza Mh.Rais ndani ya mioyo ya wananchi anaowaongozaa. Sasa mtu akipatwa na njaa haliyi liyi ovyo, bali anaparangana kuhakikisha anapata chakula, halikadhalika makazini hivyo hivyo.
Ndani ya Shirika mama Tanesco, hivi sasa kuna hali ngumu isiyoelezeka ambayo hapoawali hawakuwahi kuona au kukutananayo katika maisha yao kazini na kwenye nafasi zao. Ndani ya TANESCO sasa hivi kuna demotion, kuvunja mkataba,na kuamishwa idara, yote ni kwasababu ya kuondoa mazoea na ku-increase performance ya individuals.
Sasa hivi watu wanatolewa store wanaenda PMU, na PMU wanaenda store kwa maana watu wa store waliokuwa wanakula vumbi na kuchekwa na watu wa ugavi na manunuzi imegeuka juu chini.
Ma injinia wanapanda nguzo pamoja na ma technician kwa sababu kibarua harusiwi na wamepunguzwa.
Wahasibu walarushwa wanakuwa demoted na kupewa kazi za hovyo.Ma HR wanakuwa demoted, haukuna tena safari za hovyo, hawatowi tena safari za kiufisadi ili ukirudi ukipokea chako unawakatia kidogo.
Wale wenye weledi na uwezo waliokuwa wanaonewa wanapandishwa vyeo mpaka wanashanga hawaamini kinachotokea.Kwa ufupi Shirika zima wamevurugwa.
Sote tukubali kuwa kuna kitu Mh.Dr.John Pombe Magufuli anafanya kwa ajili ya mema ya nchi hii, Hivo naona mantiki ya watu wanaotaka aongezewe muda wa zaidi ya miaka kumi.
Tafadhali fanya research kote alikoteua mtu afu fatilia za chini humo ndani ndiyo utajua, mm hii ni study case ya tatu.
Asanteni.
Mimi Leo.
Lakini JK n Ben tuhuma zao tumesikia wakiwa madarakaniBaada ya yeye kutoka madarakani ndio tutajua kama nae alikuwa msafi
Moto wa kugawa umasikini?Wasalaam,
Ndugu wanaJamiiForums, katika pita pita zangu nimeona na kugundua kazi kubwa, na mbegu mpya na bora ya uaminifu na uwajibikaji ktk nyanja zote, yaaani kwenye kilimo, biashara na kazini anayoipandikiza Mh.Rais ndani ya mioyo ya wananchi anaowaongozaa. Sasa mtu akipatwa na njaa haliyi liyi ovyo, bali anaparangana kuhakikisha anapata chakula, halikadhalika makazini hivyo hivyo.
Ndani ya Shirika mama Tanesco, hivi sasa kuna hali ngumu isiyoelezeka ambayo hapoawali hawakuwahi kuona au kukutananayo katika maisha yao kazini na kwenye nafasi zao. Ndani ya TANESCO sasa hivi kuna demotion, kuvunja mkataba,na kuamishwa idara, yote ni kwasababu ya kuondoa mazoea na ku-increase performance ya individuals.
Sasa hivi watu wanatolewa store wanaenda PMU, na PMU wanaenda store kwa maana watu wa store waliokuwa wanakula vumbi na kuchekwa na watu wa ugavi na manunuzi imegeuka juu chini.
Ma injinia wanapanda nguzo pamoja na ma technician kwa sababu kibarua harusiwi na wamepunguzwa.
Wahasibu walarushwa wanakuwa demoted na kupewa kazi za hovyo.Ma HR wanakuwa demoted, haukuna tena safari za hovyo, hawatowi tena safari za kiufisadi ili ukirudi ukipokea chako unawakatia kidogo.
Wale wenye weledi na uwezo waliokuwa wanaonewa wanapandishwa vyeo mpaka wanashanga hawaamini kinachotokea.Kwa ufupi Shirika zima wamevurugwa.
Sote tukubali kuwa kuna kitu Mh.Dr.John Pombe Magufuli anafanya kwa ajili ya mema ya nchi hii, Hivo naona mantiki ya watu wanaotaka aongezewe muda wa zaidi ya miaka kumi.
Tafadhali fanya research kote alikoteua mtu afu fatilia za chini humo ndani ndiyo utajua, mm hii ni study case ya tatu.
Asanteni.
Mimi Leo.
Hahahaha! aisee nilijua tu lazima utakuja kunena kidogo, maana mafuriko yamekupitia juzi ulienda safari unarudi ofisi kakalia mwingine ukachanganyikiwa......hahahahahHii taarifa imejaa unafiki na zandiki, wala haina ukweli wowote.
Mtoa mada kapewa stori a shemeji na shemeji yake ambae kapanda cheo kish yeye akakimbilia kuilet humu.
Nilidhani ni mfanyakazi wa Tanesco, aliposema yeye sio ndio nikaju hizi ni stori za vijiweni.
Anyway, kwani watu kupandishwa vyeo na kushushwa ndio maana kua Tanesco imebadilika? Wananchi aa kawaida wanataka kuona umeme unawaka au wanataka kusikia flani kapanda cheo na flani kashushwa?
Hakuna cha maana ukichokiandika.
Zote zimefyekwa pamoja na ile posho ya PDP.vipi kuhusu zile posho za mwisho wa mwaka bado zipo
Mwandishi hujui kitu chochote, hata tanesco huijui vizuriWasalaam,
Ndugu wanaJamiiForums, katika pita pita zangu nimeona na kugundua kazi kubwa, na mbegu mpya na bora ya uaminifu na uwajibikaji ktk nyanja zote, yaaani kwenye kilimo, biashara na kazini anayoipandikiza Mh.Rais ndani ya mioyo ya wananchi anaowaongozaa. Sasa mtu akipatwa na njaa haliyi liyi ovyo, bali anaparangana kuhakikisha anapata chakula, halikadhalika makazini hivyo hivyo.
Ndani ya Shirika mama Tanesco, hivi sasa kuna hali ngumu isiyoelezeka ambayo hapoawali hawakuwahi kuona au kukutananayo katika maisha yao kazini na kwenye nafasi zao. Ndani ya TANESCO sasa hivi kuna demotion, kuvunja mkataba,na kuamishwa idara, yote ni kwasababu ya kuondoa mazoea na ku-increase performance ya individuals.
Sasa hivi watu wanatolewa store wanaenda PMU, na PMU wanaenda store kwa maana watu wa store waliokuwa wanakula vumbi na kuchekwa na watu wa ugavi na manunuzi imegeuka juu chini.
Ma injinia wanapanda nguzo pamoja na ma technician kwa sababu kibarua harusiwi na wamepunguzwa.
Wahasibu walarushwa wanakuwa demoted na kupewa kazi za hovyo.Ma HR wanakuwa demoted, haukuna tena safari za hovyo, hawatowi tena safari za kiufisadi ili ukirudi ukipokea chako unawakatia kidogo.
Wale wenye weledi na uwezo waliokuwa wanaonewa wanapandishwa vyeo mpaka wanashanga hawaamini kinachotokea.Kwa ufupi Shirika zima wamevurugwa.
Sote tukubali kuwa kuna kitu Mh.Dr.John Pombe Magufuli anafanya kwa ajili ya mema ya nchi hii, Hivo naona mantiki ya watu wanaotaka aongezewe muda wa zaidi ya miaka kumi.
Tafadhali fanya research kote alikoteua mtu afu fatilia za chini humo ndani ndiyo utajua, mm hii ni study case ya tatu.
Asanteni.
Mimi Leo.
Wewe ndiyo hujui chochote kwani hujui kinachoendelea humo ndani.Mwandishi hujui kitu chochote, hata tanesco huijui vizuri
Narudia tena haujui kitu, sema ndioWewe ndiyo hujui chochote kwani hujui kinachoendelea humo ndani.
Suala la kuamishwa idara lipo kabla shirika halijaitwa tanesco, inasema pmu unajua maana yake? Vibarua wamepunguzwa nani kasema?leo sasa hv fika hapo posta ya zaman ona vijana wanaotarajiwa kuongezwa. Eti engineer apande nguzo unajua mpk wa kazi wa engineer wewe? Unajua ktk estimation engineer anatakiwa akae site kwa muda gani? unajua kazi ya supervisor au foreman? Acha ujinga wa Inzi ww, no reserch no right to speakWewe ndiyo hujui chochote kwani hujui kinachoendelea humo ndani.
Nani kaonewa sasa acheni bangi zenu jpm anafanya kazi hatari mungu ampe afya njema.MTU kuonewa unashangilia,
Hahahhah najua kuliko wewe, yaani wewe unaujanja wa nje tuu na wewe ni engineer ambaye ni normal ranking, afu katafunua ya Md juzi imekupitia tulia tu ndugu na omba JPM atoke maana hapo nadhani wahafidhina na mafisadi kama wewe mtamwondoa.Suala la kuamishwa idara lipo kabla shirika halijaitwa tanesco, inasema pmu unajua maana yake? Vibarua wamepunguzwa nani kasema?leo sasa hv fika hapo posta ya zaman ona vijana wanaotarajiwa kuongezwa. Eti engineer apande nguzo unajua mpk wa kazi wa engineer wewe? Unajua ktk estimation engineer anatakiwa akae site kwa muda gani? unajua kazi ya supervisor au foreman? Acha ujinga wa Inzi ww, no reserch no right to speak