Njoo ujifiche kwangu mtoto mzuri.Mmmh ,vinatishaa
Swali langu brother ukiwa kwenye eneo la tukio mhusika mkuu bado hajafika? Na je kama ameshafika wewe mwenye ufahamu wa 6 unamuonaje yupo katika hali gani?RRONDO wangekuwa panya tungesema ni panya... Mizoga bado iko eneo la tukio watu wanakaribishwa kuja kushuhudia... Hakuna mipanya mikubwa hivi
Attitude za wavivu katika kujifariji.Ndio maana huwa siamni utajiri wa mtu hata kidogo eti katumia nguvu zake no no!!!!!
YeapAttitude za wavivu katika kujifariji.
Naunga mkonyo hoja yani kuwa tajiri sio tatizo ila Ku maintain hyo status kwa mda urefu lazma upite mlango wa nyuma iwe popote paleNdio maana huwa siamni utajiri wa mtu hata kidogo eti katumia nguvu zake no no!!!!!
Wewe huogopi? Ushavizoea eeh, afu mambo!Njoo ujifiche kwangu mtoto mzuri.
Dunia ina mambo hii
RRONDO wangekuwa panya tungesema ni panya... Mizoga bado iko eneo la tukio watu wanakaribishwa kuja kushuhudia... Hakuna mipanya mikubwa hivi