Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,999
- 46,975
Hapana sio yeye mkuu... Umemtazama vizuri huyu kiumbe?
Anatisha
Hapo naona picha imeletwa tofauti na kafanana na kangaroo
Hapana sio yeye mkuu... Umemtazama vizuri huyu kiumbe?
wee mzee unazeeka vibaya siku hizi. hao si panya hao...!!!
Mbwa wana miguu ya mbele mifupi?Mbwa hao!
Hawajui uzee dawa au ni kati ya misemo iliyofutwaAsante
Eti wanasema ni mipanya
Kweli humu JamiiForums tumekosa mtaalamu wa wanyama?Anatisha
Hapo naona picha imeletwa tofauti na kafanana na kangaroo
Kweli humu JamiiForums tumekosa mtaalamu wa wanyama?
midoliAngalieni picha vizuri jamani... Kuna panya wakubwa hivi? View attachment 1175224
tusaidie kujua ukubwa halisi (urefu wao) maana kama ni jamii ya rodents wapo wakubwa ambao hufikia futi 3.5 mpk futi 4 (mfano ni Capybara) tukijua ukubwa wao halisi hapo tutaanza utafiti wetu mfano kama pimbi (Hyrax) huwa hawazidi cm 70 kwa kawaida nao ni jamii ya panya, hao nahisi walitafuta sehemu dhaifu wakaingia darini wakala nyaya huko mwishowe moto umewaua wote!RRONDO wangekuwa panya tungesema ni panya... Mizoga bado iko eneo la tukio watu wanakaribishwa kuja kushuhudia... Hakuna mipanya mikubwa hivi
tusaidie kujua ukubwa halisi (urefu wao) maana kama ni jamii ya rodents wapo wakubwa ambao hufikia futi 3.5 mpk futi 4 (mfano ni Capybara) tukijua ukubwa wao halisi hapo tutaanza utafiti wetu mfano kama pimbi (Hyrax) huwa hawazidi cm 70 kwa kawaida nao ni jamii ya panya, hao nahisi walitafuta sehemu dhaifu wakaingia darini wakala nyaya huko mwishowe moto umewaua wote!
Kama ilivyoripotiwa na Uwazi lakini sina hakika kama kweli walifika eneo la tukioMbona wanafanana kama fisi, miguu ya nyuma mirefu ya mbele mifup